GAMBO WENYEVITI WA MITAA VIJIJI TEMBEENI KIFUA MBELE KWA KUJIAMINI
![](https://1.bp.blogspot.com/-Uvn2v8EsoTU/Xkv4Tfr_4jI/AAAAAAAAIHQ/78ZnBc47oZkR2ggV1rtNEO3E76aLYSbiQCEwYBhgL/s72-c/IMG-20200218-WA0061.jpg)
Na Ahmed Mahmoud ArushaViongozi wa mitaa,vijiji na kata fanyenikazi kwa kujiamini bila woga kwa kuwa utaratibu wa Serikali unaanzia ngazi hiyo ili muweze kutatua na kushughulika na shida za wananchi.
Aidha Mkoa wa Arusha unaweza kudhibiti vitendo vya kiuhalifu kwa raia iwapo viongozi kuanzia ngazi ya mtaa wataweza kuwajibika kwa nafasi zao kutekeleza majukumu ya kulinda usalama wa maeneo yao kwa kufichua wahalifu na vitendo vya kihalifu.
Hayo yameelezwa na Mkuu wa mkoa wa Arusha Mrisho Gambo...
Michuzi
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-tDFztm2iUjo/XqMBmykJtUI/AAAAAAALoGo/43ieivMZ6C4zpi9U3Dq6B14US1OiGltIQCLcBGAsYHQ/s72-c/92ca58b2-cc17-49dd-9ff7-adbfe25e2d0e.jpg)
RC Gambo Awaonya Wenyeviti wa Mitaa vijiji na Vitongoji
Mkuu wa mkoa wa Arusha Mrisho Gambo amesitisha kwa muda kuendelea na shughuli yeyote kwenye eneo la Losirwa kata ya Moshono hadi Serikali itakapotoa maelekezo Mengine ambapo amewaonya Wenyeviti wa Mitaa kuacha kuchukuwa fedha na kutoa vibali vya Ununuzi wa Ardhi kwenye maeneo yenye Migogoro.
Aidha Amezitaka halmashauri za wilaya kuacha kutoa vibali vya ujenzi kwa wananchi kwenye maeneo yenye migogoro kwa kuwa inaleta mikanganyiko kwenye jamii na kuleta ugumu wakati wa...
10 years ago
Vijimambo24 Dec
Mkwasa: Yanga tembeeni kifua mbele.
![](http://www.ippmedia.com/media/picture/large/maswa-24Dec2014.jpg)
Kocha msaidizi wa Yanga, Boniface Mkwasa amewataka mashabiki wao kutembea kifua mbele kwa kuwa mafanikio yanakuja.Katika mkutano na waandishi wa habari kwenye ofisi za makao makuu ya Yanga jijini Dar es Salaam jana, Mkuu wa Idara ya Habari na Mawasiliano ya klabu hiyo, Jerry Muro alisema Mkwasa amemhakikisha kikosi chao kiko vizuri kambini mjini Bagamoyo, Pwani kujiandaa kwa mechi inayofuata dhidi ya Azam FC.
"Tumewasiliana na kocha msaidizi (Mkwasa)...
11 years ago
Habarileo13 Apr
Watanzania watembea kifua mbele kwa tuzo ya Kikwete
TUZO ya uongozi bora aliyotunukiwa Rais Jakaya Kikwete jijini hapa Jumatano iliyopita na jarida moja la kimataifa la African Leadership imeelezwa kuwa imeliongezea nuru bara la Afrika na Tanzania kwa kutambua uongozi wake mahiri katika utawala na maendeleo.
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-GHj0aXUtmGc/VLAljH2GZHI/AAAAAAAG8TQ/8b4wh4h91v8/s72-c/image061.jpg)
TAMKO LA POLISI KUHUSU ZOEZI LA KUAPISHWA KWA WENYEVITI NA WAJUMBE WA SERIKALI ZA MITAA
![](http://4.bp.blogspot.com/-GHj0aXUtmGc/VLAljH2GZHI/AAAAAAAG8TQ/8b4wh4h91v8/s1600/image061.jpg)
Baadhi ya wananchi wamekuwa wakijihusisha na vitendo vya kihalifu kwa kufanya fujo na vitendo vya vurugu ikiwemo kuwapiga baadhi ya watendaji wanaosimamia zoezi la kuapisha na kuwapiga viongozi wateule...
10 years ago
Mwananchi10 Jan
Wenyeviti wa vijiji ‘wapigwa mkwara’
11 years ago
Tanzania Daima02 May
Wenyeviti wa vijiji Bukoba wapigwa ‘stop’
WENYEVITI wa vijiji na vitongoji katika Halmashauri ya Bukoba wamezuiwa kugawa au kuuza ardhi kwa wananchi kinyume na sheria. Amri hiyo imetolewa jana na Mwenyekiti wa Halmashauri ya Bukoba, Kapteni...
9 years ago
Mtanzania05 Oct
Lowassa kulipa posho wenyeviti wa vijiji
FREDY AZZAH, HANANG
MGOMBEA Urais wa Chama Cha Demokrasia na Maendele (Chadema), Edward Lowassa, amesema akiingia madarakani, Serikali yake itawalipa posho wenyeviti wa Serikali za vijiji, wenyeviti wa mitaa na wenyeviti wa vitongoji kwa kuwa wanafanya kazi kubwa.
Lowassa ambaye jana alifanya mikutano mitano ya kampeni Magugu, Dongobesh, Bashinet na Haidom, aliyasema hayo akiwa kwenye mkutano wa kampeni Makondeko, Kateshi, wilayani Hanang, Mkoa wa Manyara.
“Serikali yangu ikiingia...
9 years ago
Mwananchi05 Oct
Lowassa: Nitalipa posho wenyeviti vijiji, vitongoji
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-bfnO97HbatE/Vao76j47x3I/AAAAAAAATQI/_335TRmIXAs/s72-c/IMG-20150718-WA0005.jpg)