Lowassa kulipa posho wenyeviti wa vijiji
FREDY AZZAH, HANANG
MGOMBEA Urais wa Chama Cha Demokrasia na Maendele (Chadema), Edward Lowassa, amesema akiingia madarakani, Serikali yake itawalipa posho wenyeviti wa Serikali za vijiji, wenyeviti wa mitaa na wenyeviti wa vitongoji kwa kuwa wanafanya kazi kubwa.
Lowassa ambaye jana alifanya mikutano mitano ya kampeni Magugu, Dongobesh, Bashinet na Haidom, aliyasema hayo akiwa kwenye mkutano wa kampeni Makondeko, Kateshi, wilayani Hanang, Mkoa wa Manyara.
“Serikali yangu ikiingia...
Mtanzania
Habari Zinazoendana
9 years ago
Mwananchi05 Oct
Lowassa: Nitalipa posho wenyeviti vijiji, vitongoji
10 years ago
Mwananchi10 Jan
Wenyeviti wa vijiji ‘wapigwa mkwara’
11 years ago
Tanzania Daima02 May
Wenyeviti wa vijiji Bukoba wapigwa ‘stop’
WENYEVITI wa vijiji na vitongoji katika Halmashauri ya Bukoba wamezuiwa kugawa au kuuza ardhi kwa wananchi kinyume na sheria. Amri hiyo imetolewa jana na Mwenyekiti wa Halmashauri ya Bukoba, Kapteni...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-tDFztm2iUjo/XqMBmykJtUI/AAAAAAALoGo/43ieivMZ6C4zpi9U3Dq6B14US1OiGltIQCLcBGAsYHQ/s72-c/92ca58b2-cc17-49dd-9ff7-adbfe25e2d0e.jpg)
RC Gambo Awaonya Wenyeviti wa Mitaa vijiji na Vitongoji
Mkuu wa mkoa wa Arusha Mrisho Gambo amesitisha kwa muda kuendelea na shughuli yeyote kwenye eneo la Losirwa kata ya Moshono hadi Serikali itakapotoa maelekezo Mengine ambapo amewaonya Wenyeviti wa Mitaa kuacha kuchukuwa fedha na kutoa vibali vya Ununuzi wa Ardhi kwenye maeneo yenye Migogoro.
Aidha Amezitaka halmashauri za wilaya kuacha kutoa vibali vya ujenzi kwa wananchi kwenye maeneo yenye migogoro kwa kuwa inaleta mikanganyiko kwenye jamii na kuleta ugumu wakati wa...
5 years ago
MichuziMAJALIWA: WENYEVITI WA VIJIJI ACHENI BIASHARA YA ARDHI
WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa ameonya tabia ya baadhi ya wenyeviti wa vijiji wanaofanya biashara ya ardhi waache na badala yake amewataka wajihusishe katika kutekeleza majukumu yao ya msingi.
Ameyasema leo(Jumatano, Machi 4, 2020) wakati akizungumza na wananchi kwenye mkutano wa hadhara uliofanyika katika uwanja wa Shule ya Msingi Bokwa wilayani Kilindi akiwa kwenye ziara yake ya kikazi mkoani Tanga.
Waziri Mkuu amesema tabia ya baadhi ya wenyeviti wa vijiji kujihusisha na biashara ya uuzaji wa...
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-bfnO97HbatE/Vao76j47x3I/AAAAAAAATQI/_335TRmIXAs/s72-c/IMG-20150718-WA0005.jpg)
10 years ago
Mwananchi17 Mar
Raia wa kigeni wadaiwa kuchaguliwa kuwa wenyeviti wa vijiji
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-Uvn2v8EsoTU/Xkv4Tfr_4jI/AAAAAAAAIHQ/78ZnBc47oZkR2ggV1rtNEO3E76aLYSbiQCEwYBhgL/s72-c/IMG-20200218-WA0061.jpg)
GAMBO WENYEVITI WA MITAA VIJIJI TEMBEENI KIFUA MBELE KWA KUJIAMINI
![](https://1.bp.blogspot.com/-Uvn2v8EsoTU/Xkv4Tfr_4jI/AAAAAAAAIHQ/78ZnBc47oZkR2ggV1rtNEO3E76aLYSbiQCEwYBhgL/s640/IMG-20200218-WA0061.jpg)
Aidha Mkoa wa Arusha unaweza kudhibiti vitendo vya kiuhalifu kwa raia iwapo viongozi kuanzia ngazi ya mtaa wataweza kuwajibika kwa nafasi zao kutekeleza majukumu ya kulinda usalama wa maeneo yao kwa kufichua wahalifu na vitendo vya kihalifu.
Hayo yameelezwa na Mkuu wa mkoa wa Arusha Mrisho Gambo...
10 years ago
Habarileo12 Oct
JK- Msitumie fedha za maendeleo kulipa posho
RAIS Jakaya Kikwete amezitaka halmashauri nchini kuepukana na vishawishi vya kutumia fedha za maendeleo ya wananchi kulipia posho za vikao vya madiwani.