Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Lowassa: Nitalipa posho wenyeviti vijiji, vitongoji

Mgombea urais wa Chadema, Edward Lowassa ameahidi kuwalipa posho wenyeviti wa serikali za mitaa, vijiji na vitongoji iwapo atashinda.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Mtanzania

Lowassa kulipa posho wenyeviti wa vijiji

Pg 1FREDY AZZAH, HANANG

MGOMBEA Urais wa Chama Cha Demokrasia na Maendele (Chadema), Edward Lowassa, amesema akiingia madarakani, Serikali yake itawalipa posho wenyeviti wa Serikali za vijiji, wenyeviti wa mitaa na wenyeviti wa vitongoji kwa kuwa wanafanya kazi kubwa.

Lowassa ambaye jana alifanya mikutano mitano ya kampeni   Magugu, Dongobesh, Bashinet na Haidom, aliyasema hayo akiwa kwenye mkutano wa kampeni Makondeko, Kateshi, wilayani Hanang, Mkoa wa Manyara.

“Serikali yangu ikiingia...

 

5 years ago

Michuzi

RC Gambo Awaonya Wenyeviti wa Mitaa vijiji na Vitongoji

Na Ahmed Mahmoud Arusha

Mkuu wa mkoa wa Arusha Mrisho Gambo amesitisha kwa muda kuendelea na shughuli yeyote kwenye eneo la Losirwa kata ya Moshono hadi Serikali itakapotoa maelekezo Mengine ambapo amewaonya Wenyeviti wa Mitaa kuacha kuchukuwa fedha na kutoa vibali vya Ununuzi wa Ardhi kwenye maeneo yenye Migogoro.

Aidha Amezitaka halmashauri za wilaya kuacha kutoa vibali vya ujenzi kwa wananchi kwenye maeneo yenye migogoro kwa kuwa inaleta mikanganyiko kwenye jamii na kuleta ugumu wakati wa...

 

10 years ago

Mwananchi

Chadema yawabwaga wenyeviti vitongoji 36 wa CCM kortini

Karagwe. Mahakama ya Hakimu wa Wilaya ya Karagwe imebatilisha ushindi wa wenyeviti 36 wa vitongoji, Kata ya Kiruruma kwa tiketi ya CCM, baada ya kuridhika kuwa mwenendo wa uchaguzi haukuwa huru na haki.

 

9 years ago

StarTV

Serikali za vijiji, mitaa, vitongoji zatakiwa kuwajibika

 

Serikali za vijiji, mitaa na vitongoji nchini zimetakiwa kuweka utaratibu wa kuwatambua watoto wenye ulemavu katika maeneo yao ili kuhakikisha kuwa wanaandikishwa shuleni badala ya kuacha jukumu hilo kwa wazazi na walezi ambao baadhi yao wanawaficha majumbani kwa imani potofu.

Wito huo umetolewa na baadhi ya viongozi wa vyama vya walemavu mkoani Singida wanaotekeleza mradi wa My Rights wilayani Iramba baada ya kuwatambua watoto 15 wenye ulemavu ambao licha ya kuwa na umri wa kwenda shule...

 

10 years ago

Tanzania Daima

Vijiji, vitongoji vipya kushiriki chaguzi Serikali za mitaa

MKURUGENZI Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Morogoro, Yona Maki, amesema jumla ya vijiji 151 na vitongoji 746 vitashiriki uchaguzi wa Serikali za Mitaa unaotarajiwa kufanyika Desemba mwaka huu. Akizungunguza...

 

10 years ago

Michuzi

CCM YAONGOZA UCHAGUZI VIJIJI,VITONGOJI NA MITAA MKOA WA PWANI

Na John Gagarini, Kibaha
CHAMA Cha Mapinduzi (CCM) mkoani Pwani kimeonyesha kufanya vizuri kwenye uchaguzi wa serikali za Mitaa, Vitongoji na Vijiji ambapo kwenye matokeo ya awali kimeonekana kushinda maeneo mengi.
Katika Jimbo la Mafia CCM ilishinda vitongoji  96 kati ya 136 sawa na asilimia 70 Chama Cha Wananchi CUF asilimia 40 sawa na asilimia 29,katika vijiji  CCM ilishinda vijiji 19 kati ya 23 sawa na asilimia 82.6 CUF vijiji 4 sawa na asilimia 17.3.
Katika Jimbo la Kibaha Mjini kati ya...

 

10 years ago

Mwananchi

Wenyeviti wa vijiji ‘wapigwa mkwara’

Hamida Shariff, MwananchiMvomero. Mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya ya Mvomero, Jonas VanZeland ameagiza wenyeviti wa vijiji waliochaguliwa hivi karibuni kufungua akaunti za vijiji vyao ndani ya siku 15 baada ya kuapishwa na kuacha kuhifadhi fedha za maendeleo ya vijiji nyumbani ama kwenye akaunti za shule.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Wenyeviti wa vijiji Bukoba wapigwa ‘stop’

WENYEVITI wa vijiji na vitongoji katika Halmashauri ya Bukoba wamezuiwa kugawa au kuuza ardhi kwa wananchi kinyume na sheria. Amri hiyo imetolewa jana na Mwenyekiti wa Halmashauri ya Bukoba, Kapteni...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani