Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


CCM YAONGOZA UCHAGUZI VIJIJI,VITONGOJI NA MITAA MKOA WA PWANI

Na John Gagarini, Kibaha
CHAMA Cha Mapinduzi (CCM) mkoani Pwani kimeonyesha kufanya vizuri kwenye uchaguzi wa serikali za Mitaa, Vitongoji na Vijiji ambapo kwenye matokeo ya awali kimeonekana kushinda maeneo mengi.
Katika Jimbo la Mafia CCM ilishinda vitongoji  96 kati ya 136 sawa na asilimia 70 Chama Cha Wananchi CUF asilimia 40 sawa na asilimia 29,katika vijiji  CCM ilishinda vijiji 19 kati ya 23 sawa na asilimia 82.6 CUF vijiji 4 sawa na asilimia 17.3.
Katika Jimbo la Kibaha Mjini kati ya...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

Michuzi

RC Gambo Awaonya Wenyeviti wa Mitaa vijiji na Vitongoji

Na Ahmed Mahmoud Arusha

Mkuu wa mkoa wa Arusha Mrisho Gambo amesitisha kwa muda kuendelea na shughuli yeyote kwenye eneo la Losirwa kata ya Moshono hadi Serikali itakapotoa maelekezo Mengine ambapo amewaonya Wenyeviti wa Mitaa kuacha kuchukuwa fedha na kutoa vibali vya Ununuzi wa Ardhi kwenye maeneo yenye Migogoro.

Aidha Amezitaka halmashauri za wilaya kuacha kutoa vibali vya ujenzi kwa wananchi kwenye maeneo yenye migogoro kwa kuwa inaleta mikanganyiko kwenye jamii na kuleta ugumu wakati wa...

 

9 years ago

StarTV

Serikali za vijiji, mitaa, vitongoji zatakiwa kuwajibika

 

Serikali za vijiji, mitaa na vitongoji nchini zimetakiwa kuweka utaratibu wa kuwatambua watoto wenye ulemavu katika maeneo yao ili kuhakikisha kuwa wanaandikishwa shuleni badala ya kuacha jukumu hilo kwa wazazi na walezi ambao baadhi yao wanawaficha majumbani kwa imani potofu.

Wito huo umetolewa na baadhi ya viongozi wa vyama vya walemavu mkoani Singida wanaotekeleza mradi wa My Rights wilayani Iramba baada ya kuwatambua watoto 15 wenye ulemavu ambao licha ya kuwa na umri wa kwenda shule...

 

10 years ago

Tanzania Daima

Vijiji, vitongoji vipya kushiriki chaguzi Serikali za mitaa

MKURUGENZI Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Morogoro, Yona Maki, amesema jumla ya vijiji 151 na vitongoji 746 vitashiriki uchaguzi wa Serikali za Mitaa unaotarajiwa kufanyika Desemba mwaka huu. Akizungunguza...

 

10 years ago

Habarileo

Vitongoji 5 vyatishia kutoshiriki uchaguzi serikali za mitaa

VITONGOJI vitano katika Wilaya ya Chamwino mkoani Dodoma vimetishia kutoshiriki uchaguzi wa serikali za mitaa iwapo havitapewa hadhi ya kuwa vijiji.

 

10 years ago

Michuzi

CCM YAONGOZA UWENYEKITI WA MTAA MKOA WA ARUSHA

Na Woinde Shizza,Arusha
Chama cha mapinduzi kimeibuka kidedea katika uchaguzi wa uwenyekiti wa mitaa katika mitaa yote iliopo ndani ya mkoa wa Arusha baada ya kuvishinda vyama vingine vya upinzani .
Akitangaza  matokeo ya uwenyeviti wa mitaa Mkurugenzi wa jiji la Arusha Iddi Juma alisema kuwa mpaka sasa uchaguzi wa uwenyekiti umekamilika katika mitaa yote na vituo vyote isipokuwa kituo kimoja ambacho uchaguzi wake utarudiwa siku ya kesho.
Alisema kuwa   katika uchaguzi huu jumla ya wananchi ...

 

9 years ago

Mwananchi

Lowassa: Nitalipa posho wenyeviti vijiji, vitongoji

Mgombea urais wa Chadema, Edward Lowassa ameahidi kuwalipa posho wenyeviti wa serikali za mitaa, vijiji na vitongoji iwapo atashinda.

 

5 years ago

Michuzi

MAADHIMISHO MIAKA 43 YA CCM MKOA WA PWANI


Mjumbe wa Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya Taifa ya CCM na Mlezi  wa CCM Mkoa wa Dar es salaam na Pwani ambae pia ni Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan, akionesha Fedha Taslim Shilingi Milioni Tano alizochangia kwenye ujenzi wa JENGO LA ccm Mkoa wa Pwani wakati wa Harambee iliyofanyika leo Febuari 15,2020 kwenye...

 

5 years ago

CCM Blog

MAMA SAMIA ANOGESHA MADHIMISHO MIAKA 43 YA CCM MKOA WA PWANI

 Mjumbe wa Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya Taifa ya CCM na Mlezi  wa CCM Mkoa wa Dar es salaam na Pwani ambae pia ni Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan, akionesha Fedha Taslim Shilingi Milioni Tano alizochangia kwenye ujenzi wa JENGO LA ccm Mkoa wa Pwani wakati wa Harambee iliyofanyika leo Febuari 15,2020 kwenye  Maadhimisho ya Miaka 43 ya CCM Mkoa wa Pwani  leo Febuari 15,2020 katika Uwanja wa sabasaba Mjini kihaba ambapo Jumla ya Shilingi Milioni...

 

10 years ago

Mwananchi

Diwani CCM asaidia uchaguzi wa mitaa

Diwani wa Kata ya Vijibweni (CCM) , Suleiman Methew amekabidhi msaada wa pikipiki mbili zenye thamani ya zaidi ya Sh3 milioni ili kusaidia harakati za Uchaguzi wa Serikali za Mitaa katika kata hiyo.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani