MAADHIMISHO MIAKA 43 YA CCM MKOA WA PWANI
![](https://1.bp.blogspot.com/-OdezeTmklgU/Xkg6RqxUtgI/AAAAAAALdgs/ChkPrBbMuY8cFiKKUM4qlLVinbr2070HACLcBGAsYHQ/s72-c/F87A2752-2.jpg)
Mjumbe wa Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya Taifa ya CCM na Mlezi wa CCM Mkoa wa Dar es salaam na Pwani ambae pia ni Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan, akionesha Fedha Taslim Shilingi Milioni Tano alizochangia kwenye ujenzi wa JENGO LA ccm Mkoa wa Pwani wakati wa Harambee iliyofanyika leo Febuari 15,2020 kwenye...
Michuzi
Habari Zinazoendana
5 years ago
CCM BlogMAMA SAMIA ANOGESHA MADHIMISHO MIAKA 43 YA CCM MKOA WA PWANI
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-B1SewksR130/UuzGlz2mLfI/AAAAAAAFKEo/SzeFhCPka3k/s72-c/unnamed+(51).jpg)
MAANDALIZI YA MAADHIMISHO YA MIAKA 37 YA CCM MKOA WA MBEYA YAIVA,KINANA ASHIRIKI SHUGHULI ZA KIJAMII.
![](http://4.bp.blogspot.com/-B1SewksR130/UuzGlz2mLfI/AAAAAAAFKEo/SzeFhCPka3k/s1600/unnamed+(51).jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-YT44MPu7bAI/UuzJAFw0WAI/AAAAAAACZy8/s5gGAoVZvvg/s1600/1.jpg)
Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana akisalimiana na Bi.Magreth Kalimwa mara baada ya kuwasili kwenye shamba lake kwa ajili ya kushiriki kupalilia shamba hilo lenye ekari moja...
9 years ago
StarTV24 Dec
Mkuu wa mkoa atangaza kufuta maadhimisho ya miaka 50 ya mkoa wa singida
Mkoa wa Singida umefuta sherehe za maadhimsho ya miaka 50 ya tangu kuanzishwa kwake badala yake kiasi cha shilingi milioni 60.6 zilizochangwa na wadau mbalimbali kwa ajili ya siku hiyo zitatumika kwa ununuzi wa vifaa tiba katika Hospitali yake ya Rufaa inayoendelea kujengwa.
Lengo la hatua hiyo ni kuunga mkono hatua ya Rais John Magufuli kupunguza sherehe zisizo za lazima na fedha hizo kuelekezwa kwenye shughuli nyingine zenye umuhimu na manufaa zaidi kwa jamii.
Baada ya Serikali kufuta...
9 years ago
Dewji Blog30 Nov
Waziri Mkuu Kassim Majaliwa afunga maadhimisho ya miaka 20 ya Kanisa la Africa Inland Church Pwani!
Waziri Mkuu, Majaliwa Kassim Majaliwa akisalimiana na baadhi ya viongozi wa kanisa la Africa Inland Church wakati alipohitimisha maadhimisho ya miaka 20 tangu kuanzishwa kwa kanisa hilo katika Dayosisi ya Pwani yaliyofanyika kwenye ukumbi wa PTA katika uwanja wa maonyesho wa Mwalimu Nyerere Kilwa Road jijini Dar es salaam Novemba 29, 2015. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-ML8qcjV3kIQ/Vlr7oh4Z5_I/AAAAAAAIJBA/Shgt_Jnh7NU/s72-c/05c11705-c267-46b2-b4e2-924e1aadf069.jpg)
WAZIRI MKUU MAJALIWA AFUNGA maadhimisho ya miaka 20 ya Dayosisi ya Pwani ya Kanisa la African Inland Church Tanzania (AICT)
![](http://2.bp.blogspot.com/-ML8qcjV3kIQ/Vlr7oh4Z5_I/AAAAAAAIJBA/Shgt_Jnh7NU/s640/05c11705-c267-46b2-b4e2-924e1aadf069.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-bxAO95erVGM/Vlr7prIovVI/AAAAAAAIJBQ/kt0kOnbcKYY/s640/96d329a2-ab6a-49e4-9e40-50497e3d9dff.jpg)
10 years ago
Dewji Blog03 Feb
Mjumbe wa Kamati kuu ya CCM Dkt. Bilal aongoza maadhimisho miaka 38 ya CCM Dar
Mjumbe wa Kamati Kuu ya CCM na Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akisalimiana na Wananchi na Wanachama wa CCM Mkoa wa Dar es salaam alipowasili Viwanja vya Tawi la CCM kwa Mwinjuma Kinondoni Dar es salaam jana Februari 02,2015 kwa ajili ya kuhudhuria Maadhimisho ya Miaka 38 ya CCM.
Mjumbe wa Kamati Kuu ya CCM na Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akipokea CD yenye mashairi maalum ya...
11 years ago
GPL![](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2014/02/32.jpg)
MWENYEKITI WA CCM DK. KIKWETE AONGOZA MATEMBEZI YA MSHIKAMANO MAADHIMISHO YA MIAKA 37 YA CCM JIJINI MBEYA