Waziri Mkuu Kassim Majaliwa afunga maadhimisho ya miaka 20 ya Kanisa la Africa Inland Church Pwani!
Waziri Mkuu, Majaliwa Kassim Majaliwa akisalimiana na baadhi ya viongozi wa kanisa la Africa Inland Church wakati alipohitimisha maadhimisho ya miaka 20 tangu kuanzishwa kwa kanisa hilo katika Dayosisi ya Pwani yaliyofanyika kwenye ukumbi wa PTA katika uwanja wa maonyesho wa Mwalimu Nyerere Kilwa Road jijini Dar es salaam Novemba 29, 2015. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
Dewji Blog
Habari Zinazoendana
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-ML8qcjV3kIQ/Vlr7oh4Z5_I/AAAAAAAIJBA/Shgt_Jnh7NU/s72-c/05c11705-c267-46b2-b4e2-924e1aadf069.jpg)
WAZIRI MKUU MAJALIWA AFUNGA maadhimisho ya miaka 20 ya Dayosisi ya Pwani ya Kanisa la African Inland Church Tanzania (AICT)
![](http://2.bp.blogspot.com/-ML8qcjV3kIQ/Vlr7oh4Z5_I/AAAAAAAIJBA/Shgt_Jnh7NU/s640/05c11705-c267-46b2-b4e2-924e1aadf069.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-bxAO95erVGM/Vlr7prIovVI/AAAAAAAIJBQ/kt0kOnbcKYY/s640/96d329a2-ab6a-49e4-9e40-50497e3d9dff.jpg)
9 years ago
CCM Blog![](http://3.bp.blogspot.com/-slj5kZenQ3E/VmG0l_MVMzI/AAAAAAAA1b4/FHGu_bGtYuo/s72-c/1.jpg)
PICHA RASMI ZA WAZIRI MKUU MAJALIWA KASSIM MAJALIWA NA MKEWE MAMA MARY MAJALIWA
![](http://3.bp.blogspot.com/-slj5kZenQ3E/VmG0l_MVMzI/AAAAAAAA1b4/FHGu_bGtYuo/s640/1.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-Vd0xHojhppo/VmG0lexvtUI/AAAAAAAA1b0/iW1seV--6-0/s640/2.jpg)
9 years ago
Dewji Blog19 Nov
Breaking News: Waziri Mkuu mteule ni Kassim Majaliwa Kassim!
Kassim Majaliwa
Tayari dakika chache zilizopita kutoka ndani ya Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Rais Dk, John Pombe Magufuli ametuma jina la Waziri Mkuu, ambaye ni Kassim Majaliwa aliyekuwa Ofisi ya Waziri Mkuu Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI).
Jina hilo limefikishwa kwa mbwembwe likiwa ndani ya bahasha tatu huku likiwa limeandikwa kwa mkono. Kwa hatua hiyo sasa Bunge limeenda mapumziko na dakika chache kutoka sasa litarejea kwa ajili ya kupigia kura na wabunge...
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-nEjqVtOzpAw/Vk4WgeqDrNI/AAAAAAAIG4U/vLbV7_5mKHo/s72-c/56ea3d30-79b4-4e99-8503-3764367fc668.jpg)
Waziri Mkuu Mteule Mheshimiwa Majaliwa Kassim Majaliwa kuapishwa kesho
![](http://1.bp.blogspot.com/-nEjqVtOzpAw/Vk4WgeqDrNI/AAAAAAAIG4U/vLbV7_5mKHo/s640/56ea3d30-79b4-4e99-8503-3764367fc668.jpg)
Sherehe za kumuapisha Mhe. Majaliwa Kassim Majaliwa (pichani), Waziri Mkuu Mteule wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania zitafanyika katika Ikulu ndogo ya Chamwino Mkoani Dodoma tarehe 20 Novemba, 2015 kuanzia saa 4.00 Asubuhi. Sherehe hizo zinafanyika siku moja baada ya Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitisha jina lake kwa kura nyingi kuwa Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kufuatia uteuzi uliofanywa na Mhe. John Pombe Joseph Magufuli, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa...
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-f9cgpl6i_es/VlDAy_mPpyI/AAAAAAAIHso/NTYySkP7Hso/s72-c/b48c276f-7030-4d1e-af63-e2bdd41e0862.jpg)
WAZIRI MKUU MAJALIWA KASSIM MAJALIWA KWENYE MCHAPALO WA KUZINDUA BUNGE
![](http://2.bp.blogspot.com/-f9cgpl6i_es/VlDAy_mPpyI/AAAAAAAIHso/NTYySkP7Hso/s640/b48c276f-7030-4d1e-af63-e2bdd41e0862.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-C-lADXy_RZI/VlDAx5UUIYI/AAAAAAAIHsc/8TDjhMZUmJU/s640/b5425740-67e0-4ea3-9bb5-1ee65c28cb0c.jpg)
9 years ago
Michuzi![](http://img.youtube.com/vi/ImqiqFDtHe4/default.jpg)
9 years ago
Michuzi21 Dec
WAZIRI MKUU MAJALIWA, KASSIM MAJALIWA AHUTUBIA RUANGWA
![rua1](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2015/12/rua1.jpg)
![rua2](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2015/12/rua2.jpg)
![rua3](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2015/12/rua3.jpg)
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-91OlTIPqjuc/Vk3UYxwpXMI/AAAAAAAIG2Q/syFrnKI7eY0/s72-c/e016df6a-9405-4fcb-8a4c-a6cc56bfa773.jpg)
JINA LA WAZIRI MKUU MTEULE MHE. MAJALIWA KASSIM MAJALIWA LILIPOWASILISHWA BUNGENI DODOMA LEO
![](http://2.bp.blogspot.com/-91OlTIPqjuc/Vk3UYxwpXMI/AAAAAAAIG2Q/syFrnKI7eY0/s640/e016df6a-9405-4fcb-8a4c-a6cc56bfa773.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-SPwNhHsLDZc/Vk3UZe8j8uI/AAAAAAAIG2U/dKvkFwo7AbM/s640/341f65c7-1c03-42f7-b6f5-e556a02db311.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-zVsuTU_qSNo/Vk3UaZa4eYI/AAAAAAAIG2c/kbZMCLNE8kk/s640/70708e25-c1c4-43bb-ad49-a1215b5facba.jpg)
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-7deyA4RdEQI/VlGrqcbO8hI/AAAAAAAIHvc/RMp4d9BfZSw/s72-c/e26121f6-4093-4c72-8361-ea2fe0d3036d.jpg)
WAZIRI MKUU MAJALIWA KASSIM MAJALIWA ASAFIRI KWA GARI TOKA DODOMA KWENDA DAR ES SALAAM
![](http://4.bp.blogspot.com/-7deyA4RdEQI/VlGrqcbO8hI/AAAAAAAIHvc/RMp4d9BfZSw/s640/e26121f6-4093-4c72-8361-ea2fe0d3036d.jpg)