WAZIRI MKUU MAJALIWA KASSIM MAJALIWA KWENYE MCHAPALO WA KUZINDUA BUNGE
![](http://2.bp.blogspot.com/-f9cgpl6i_es/VlDAy_mPpyI/AAAAAAAIHso/NTYySkP7Hso/s72-c/b48c276f-7030-4d1e-af63-e2bdd41e0862.jpg)
Waziri Mkuu Mhe. Majaliwa Kassim Majaliwa akizungumza na Mke wa Rais Mstaafu wa Awamu ya Nnne , Mama Salma Kikwete katika hafla fupi iliyoyofanyika kwenye viwanja vya Bunge mjiniDodoma baada ya Rais John Magufuli kuzindua Bunge Novemba 2015
Waziri Mkuu, Majaliwa Kassim Majaliwa akisalimiana na Rais Mstaafu wa Zanzibar, Aman Abeid Karume katika hafla fupi iliyofuatia kuzinduliwa kwa Bunge na Rais John Magufuli kwenye mjini Dodoma Novemba 20, 2015. Hafla hiyo ilifanyika kwenye...
Michuzi
Habari Zinazoendana
9 years ago
CCM Blog![](http://3.bp.blogspot.com/-slj5kZenQ3E/VmG0l_MVMzI/AAAAAAAA1b4/FHGu_bGtYuo/s72-c/1.jpg)
PICHA RASMI ZA WAZIRI MKUU MAJALIWA KASSIM MAJALIWA NA MKEWE MAMA MARY MAJALIWA
![](http://3.bp.blogspot.com/-slj5kZenQ3E/VmG0l_MVMzI/AAAAAAAA1b4/FHGu_bGtYuo/s640/1.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-Vd0xHojhppo/VmG0lexvtUI/AAAAAAAA1b0/iW1seV--6-0/s640/2.jpg)
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-nEjqVtOzpAw/Vk4WgeqDrNI/AAAAAAAIG4U/vLbV7_5mKHo/s72-c/56ea3d30-79b4-4e99-8503-3764367fc668.jpg)
Waziri Mkuu Mteule Mheshimiwa Majaliwa Kassim Majaliwa kuapishwa kesho
![](http://1.bp.blogspot.com/-nEjqVtOzpAw/Vk4WgeqDrNI/AAAAAAAIG4U/vLbV7_5mKHo/s640/56ea3d30-79b4-4e99-8503-3764367fc668.jpg)
Sherehe za kumuapisha Mhe. Majaliwa Kassim Majaliwa (pichani), Waziri Mkuu Mteule wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania zitafanyika katika Ikulu ndogo ya Chamwino Mkoani Dodoma tarehe 20 Novemba, 2015 kuanzia saa 4.00 Asubuhi. Sherehe hizo zinafanyika siku moja baada ya Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitisha jina lake kwa kura nyingi kuwa Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kufuatia uteuzi uliofanywa na Mhe. John Pombe Joseph Magufuli, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa...
9 years ago
Michuzi![](http://img.youtube.com/vi/ImqiqFDtHe4/default.jpg)
9 years ago
Michuzi21 Dec
WAZIRI MKUU MAJALIWA, KASSIM MAJALIWA AHUTUBIA RUANGWA
![rua1](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2015/12/rua1.jpg)
![rua2](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2015/12/rua2.jpg)
![rua3](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2015/12/rua3.jpg)
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-91OlTIPqjuc/Vk3UYxwpXMI/AAAAAAAIG2Q/syFrnKI7eY0/s72-c/e016df6a-9405-4fcb-8a4c-a6cc56bfa773.jpg)
JINA LA WAZIRI MKUU MTEULE MHE. MAJALIWA KASSIM MAJALIWA LILIPOWASILISHWA BUNGENI DODOMA LEO
![](http://2.bp.blogspot.com/-91OlTIPqjuc/Vk3UYxwpXMI/AAAAAAAIG2Q/syFrnKI7eY0/s640/e016df6a-9405-4fcb-8a4c-a6cc56bfa773.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-SPwNhHsLDZc/Vk3UZe8j8uI/AAAAAAAIG2U/dKvkFwo7AbM/s640/341f65c7-1c03-42f7-b6f5-e556a02db311.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-zVsuTU_qSNo/Vk3UaZa4eYI/AAAAAAAIG2c/kbZMCLNE8kk/s640/70708e25-c1c4-43bb-ad49-a1215b5facba.jpg)
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-7deyA4RdEQI/VlGrqcbO8hI/AAAAAAAIHvc/RMp4d9BfZSw/s72-c/e26121f6-4093-4c72-8361-ea2fe0d3036d.jpg)
WAZIRI MKUU MAJALIWA KASSIM MAJALIWA ASAFIRI KWA GARI TOKA DODOMA KWENDA DAR ES SALAAM
![](http://4.bp.blogspot.com/-7deyA4RdEQI/VlGrqcbO8hI/AAAAAAAIHvc/RMp4d9BfZSw/s640/e26121f6-4093-4c72-8361-ea2fe0d3036d.jpg)
9 years ago
Dewji Blog19 Nov
Breaking News: Waziri Mkuu mteule ni Kassim Majaliwa Kassim!
Kassim Majaliwa
Tayari dakika chache zilizopita kutoka ndani ya Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Rais Dk, John Pombe Magufuli ametuma jina la Waziri Mkuu, ambaye ni Kassim Majaliwa aliyekuwa Ofisi ya Waziri Mkuu Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI).
Jina hilo limefikishwa kwa mbwembwe likiwa ndani ya bahasha tatu huku likiwa limeandikwa kwa mkono. Kwa hatua hiyo sasa Bunge limeenda mapumziko na dakika chache kutoka sasa litarejea kwa ajili ya kupigia kura na wabunge...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-sHsjaMIG2oI/XoSBCzmQPyI/AAAAAAALlx4/-jfBkdLO_Xoc5ul2wybDIwkTt5LCHmJTACLcBGAsYHQ/s72-c/IMGM6409-660x400.jpg)
WAZIRI MKUU KASSIM MAJALIWA ALIELEZA BUNGE HATUA ZILIZOCHUKULIWA NA SERIKALI KUKABILIANA NA VIRUSI VYA CORONA...AGUSIA UZUSHI MTANDAONI
![](https://1.bp.blogspot.com/-sHsjaMIG2oI/XoSBCzmQPyI/AAAAAAALlx4/-jfBkdLO_Xoc5ul2wybDIwkTt5LCHmJTACLcBGAsYHQ/s400/IMGM6409-660x400.jpg)
WAZIRI Mkuu Kasim Majaliwa amelieleza Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania hatua mbalimbali ambazo Serikali ya Awamu ya Tano chini ya Rais Dkt.John Magufuli ambazo inazichukua katika kukabiliana na virusi vya Corona ambavyo vinasababisha ugonjwa wa COVID-19.
Akizungumza mchana huu Bungeni Mjini Dodoma katika mkutano wa kumi na tisa, kikao cha pili cha bajeti ya mwaka 2019/2020 Waziri Mkuu Kasim Majaliwa ametaja hatua kadhaa ambazo zimechukuliwa hadi sasa kama...
9 years ago
Mtanzania20 Nov
Waziri Mkuu Mpya ni Majaliwa Kassim
NA MAREGESI PAUL, DODOMA
WAZIRI Mkuu mteule, Kassim Majaliwa, amesema hakutegemea kupata nafasi hiyo baada ya Bunge kumpitisha kwa kura nyingi jana.
Majaliwa alitoa kauli hiyo bungeni alipokuwa akiwashukuru wabunge dakika chache baada ya Bunge kumthibitisha kuwa Waziri Mkuu wa Serikali ya awamu ya tano kwa kupata kura 258 kati ya 351 zilizopigwa.
“Kwanza kabisa napenda kumshukuru Mwenyezi Mungu kwa kutuongoza wote kuwa hapa leo, na nawashukuru wabunge wote kwa kupitisha jina...