Mkuu wa mkoa atangaza kufuta maadhimisho ya miaka 50 ya mkoa wa singida
Mkoa wa Singida umefuta sherehe za maadhimsho ya miaka 50 ya tangu kuanzishwa kwake badala yake kiasi cha shilingi milioni 60.6 zilizochangwa na wadau mbalimbali kwa ajili ya siku hiyo zitatumika kwa ununuzi wa vifaa tiba katika Hospitali yake ya Rufaa inayoendelea kujengwa.
Lengo la hatua hiyo ni kuunga mkono hatua ya Rais John Magufuli kupunguza sherehe zisizo za lazima na fedha hizo kuelekezwa kwenye shughuli nyingine zenye umuhimu na manufaa zaidi kwa jamii.
Baada ya Serikali kufuta...
StarTV
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi12 Apr
MAADHIMISHO YA WIKI YA ELIMU MKOA WA NJOMBE YAFANA, MKUU WA MKOA ATILIA MKAZO SUALA LA ELIMU
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-OdezeTmklgU/Xkg6RqxUtgI/AAAAAAALdgs/ChkPrBbMuY8cFiKKUM4qlLVinbr2070HACLcBGAsYHQ/s72-c/F87A2752-2.jpg)
MAADHIMISHO MIAKA 43 YA CCM MKOA WA PWANI
![](https://1.bp.blogspot.com/-OdezeTmklgU/Xkg6RqxUtgI/AAAAAAALdgs/ChkPrBbMuY8cFiKKUM4qlLVinbr2070HACLcBGAsYHQ/s640/F87A2752-2.jpg)
9 years ago
Dewji Blog03 Nov
Mkoa wa Singida mwenyeji maadhimisho ya siku ya Ukimwi duniani, Desemba Mosi mwaka huu
![DSCN5254](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/11/DSCN5254.jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-pemkGiPUZjU/UzwqevwUKcI/AAAAAAAAoLw/45Dz1ruKXfQ/s72-c/3.jpg)
MKOA WA DODOMA WASHIRIKI SHEREHE ZA MAADHIMISHO YA MIAKA 50 YA BODI YA HUDUMA ZA MAKTABA NCHINI
![](http://1.bp.blogspot.com/-pemkGiPUZjU/UzwqevwUKcI/AAAAAAAAoLw/45Dz1ruKXfQ/s1600/3.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-6FuQXhXJDk0/UzwqgRW5BXI/AAAAAAAAoME/wP1iNRYPkBw/s1600/4.jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-B1SewksR130/UuzGlz2mLfI/AAAAAAAFKEo/SzeFhCPka3k/s72-c/unnamed+(51).jpg)
MAANDALIZI YA MAADHIMISHO YA MIAKA 37 YA CCM MKOA WA MBEYA YAIVA,KINANA ASHIRIKI SHUGHULI ZA KIJAMII.
![](http://4.bp.blogspot.com/-B1SewksR130/UuzGlz2mLfI/AAAAAAAFKEo/SzeFhCPka3k/s1600/unnamed+(51).jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-YT44MPu7bAI/UuzJAFw0WAI/AAAAAAACZy8/s5gGAoVZvvg/s1600/1.jpg)
Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana akisalimiana na Bi.Magreth Kalimwa mara baada ya kuwasili kwenye shamba lake kwa ajili ya kushiriki kupalilia shamba hilo lenye ekari moja...
10 years ago
MichuziMENEJIMENTI YA OFISI YA MKUU WA MKOA WA RUKWA YAMPONGEZA MKUU WA MKOA HUO ENG. STELLA MANYANYA KWA USHINDI WA KISHINDO KURA ZA MAONI CCM JIMBO LA MBINGA MAGHARIBI
9 years ago
Dewji Blog24 Dec
Zaidi ya Mil 60 zilizotengwa kwa sherehe za miaka 50 ya Mkoa wa Singida kutumia kununulia vifaa tiba
![IMG_1426](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/12/IMG_1426.jpg)
![IMG_1439](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/12/IMG_1439.jpg)
10 years ago
Dewji Blog11 Mar
Kamati ya Bunge ya Nishati na Madini yasusa chai ya Mkuu wa Mkoa wa SIngida
Mshauri wa kampuni ya kufua umeme wa upepo Geo Wind, Machwa Kagoswe, akitoa ufafanuzi juu ya kazi ya ufuaji umeme wa upepo katika eneo la kijiji cha Kisasida manispaa ya Singida mbele ya kamati ya Bunge ya Nishati na madini iliyotembelea mkoa wa Singida hivi karibuni.Mwenye miwani ni mwenyekiti wa kamati hiyo Richard Ndassa.
Na Nathaniel Limu, Singida
KAMPUNI ya ubia ya Geo Wind Power Tanzania ltd,inatarajia kutumia zaidi ya dola ya Marekani 136 milioni kwa ajili ya kugharamia uzalishaji wa...
11 years ago
MichuziMkuu wa Mkoa wa Mkoa wa Dar atembelea eneo la mafuriko mkoani morogoro
![](http://1.bp.blogspot.com/-aQiUAz97tKU/Uu6GSSVh4KI/AAAAAAAFKZc/OEVt4B_vw2o/s1600/Pic+three+mafuriko.jpg)