Kamati ya Bunge ya Nishati na Madini yasusa chai ya Mkuu wa Mkoa wa SIngida
Mshauri wa kampuni ya kufua umeme wa upepo Geo Wind, Machwa Kagoswe, akitoa ufafanuzi juu ya kazi ya ufuaji umeme wa upepo katika eneo la kijiji cha Kisasida manispaa ya Singida mbele ya kamati ya Bunge ya Nishati na madini iliyotembelea mkoa wa Singida hivi karibuni.Mwenye miwani ni mwenyekiti wa kamati hiyo Richard Ndassa.
Na Nathaniel Limu, Singida
KAMPUNI ya ubia ya Geo Wind Power Tanzania ltd,inatarajia kutumia zaidi ya dola ya Marekani 136 milioni kwa ajili ya kugharamia uzalishaji wa...
Dewji Blog
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-AfIOdOyIZZQ/VMY6jawiuUI/AAAAAAAG_ko/7_LmgA5L-cY/s72-c/unnamed%2B(38).jpg)
Ndassa awa Mwenyekiti Mpya wa Kamati ya Bunge ya Nishati na Madini
![](http://2.bp.blogspot.com/-AfIOdOyIZZQ/VMY6jawiuUI/AAAAAAAG_ko/7_LmgA5L-cY/s1600/unnamed%2B(38).jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-ONvNR1EsGTM/VMY6jYdG0_I/AAAAAAAG_ks/uEXX0GM61Sk/s1600/unnamed%2B(39).jpg)
10 years ago
MichuziKAMATI YA BUNGE YA NISHATI NA MADINI YAFANYA ZIARA KATIKA MITAMBO YA KUFUA UMEME YA KINYEREZI 1
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-61zJ4OQsTNY/VJ-F17q-5xI/AAAAAAADS2w/1uEEzbqtg6E/s72-c/Mwakyembe-Mwamba.jpg)
TUHUMA YA ESCROW ZAMFANYA MWENYEKITI WA KAMATI YA KUDUMU YA BUNGE YA NISHATI NA MADINI, VICTOR MWAMBALASWA, KUSALIMU AMRI
![](http://1.bp.blogspot.com/-61zJ4OQsTNY/VJ-F17q-5xI/AAAAAAADS2w/1uEEzbqtg6E/s1600/Mwakyembe-Mwamba.jpg)
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/DmFIhqID0FqgvUfNlsmCriJ28Z5cIOqUpJFcMFEZW*WPHMMnI4NnYGfgKmpyof*awNdH66r3aX1IKE9UlXHBsQYaBVsVETQu/pinda.jpg)
KAMATI YA PAC YAMTAKA WAZIRI MKUU, MWANASHERIA MKUU, WAZIRI WA NISHATI NA MADINI WAWAJIBIKE KUHUSU RIPOTI YA TEGETA ESCROW
Waziri Mkuu Mizengo Pinda. WAZIRI MKUU - Kamati imesema imejiridhisha pasipo mashaka kuwa, Waziri Mkuu, alikuwa ana taarifa zote kuhusiana na mchakato mzima wa kuchotwa fedha kutoka katika akaunti ya ESCROW. -Kamati, kwa kuzingatia kielelezo namba 22, inathibitisha bila shaka kwamba, Waziri Mkuu alikuwa analijua jambo hili vizuri na kwamba aliridhia muamala huu ufanyike. Ndiyo maana katika maelezo yake ya
Bungeni mara kadhaa...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-IQsdg8UMk10/Xm58-U5SQrI/AAAAAAALjyY/q4N7VvdOXq02vfq9ucvQmGCiRqiLvedJACLcBGAsYHQ/s72-c/Picha-Na-2-1-2048x1365.jpg)
Kamati ya Nishati na Madini yapongeza Soko la Madini Dar
![](https://1.bp.blogspot.com/-IQsdg8UMk10/Xm58-U5SQrI/AAAAAAALjyY/q4N7VvdOXq02vfq9ucvQmGCiRqiLvedJACLcBGAsYHQ/s640/Picha-Na-2-1-2048x1365.jpg)
Fundi Sanifu Madini kutoka Ofisi ya Afisa Madini Mkazi wa Mkoa wa Dar es Salaam, Marko Massaba (katikati) akihakiki madini yaliyopokelewa kutoka mikoani kwenye soko hilo mbele ya wajumbe wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Nishati na Madini.
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/03/Picha-Na-3-1-scaled.jpg)
Mwenyekiti wa Tume ya Madini, Profesa Idris Kikula (kushoto) akibadilishana mawazo na Naibu Waziri wa Madini, Stanslaus Nyongo (kulia) kwenye Soko la Kimataifa la Madini la Dar es Salaam wakati wa ziara ya Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Nishati na Madini kwenye...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-JBH6EnXHHYI/Xm8F2FS6SsI/AAAAAAALj20/iguVWyX29LgIJ5XvZqI9T4WSKX_Y2bdhwCLcBGAsYHQ/s72-c/04.jpg)
KAMATI YA BUNGE YA NISHATI NA MADINI YATOA USHAURI KWA SERIKALI KUHUSU KUVILINDA VIWANDA VYA VIFAA VYA UMEME
Na Mwandishi Wetu, Michuzi Globu ya jamii
KAMATI ya Kudumu ya Bunge ya Nishati na Madini imeishauri Serikali kuvilinda viwanda vya uzalishaji wa vifaa vya umeme vilivyopo nchini ili kuongeza tija na ufanisi wa viwanda hivyo vilivyopewa jukumu la kuzalishaji vifaa hivyo kwa ajili ya utekelezaji wa miradi mbalimbali ya umeme inayoendelea nchini.
Akizungumza wakati wa ziara ya Kamati hiyo kutembelea kiwanda cha uzalishaji wa vifaa vya umeme na Transfoma cha AFRICAB kilichopo Kurasini jijini...
KAMATI ya Kudumu ya Bunge ya Nishati na Madini imeishauri Serikali kuvilinda viwanda vya uzalishaji wa vifaa vya umeme vilivyopo nchini ili kuongeza tija na ufanisi wa viwanda hivyo vilivyopewa jukumu la kuzalishaji vifaa hivyo kwa ajili ya utekelezaji wa miradi mbalimbali ya umeme inayoendelea nchini.
Akizungumza wakati wa ziara ya Kamati hiyo kutembelea kiwanda cha uzalishaji wa vifaa vya umeme na Transfoma cha AFRICAB kilichopo Kurasini jijini...
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-qR3mZchJ2j4/VMzw1eLqr0I/AAAAAAAHAjQ/YXv1dH0-69E/s72-c/1.jpg)
Bunge laridhishwa na utendaji wa serikali, lapitisha taarifa za za Kamati ya Bajeti, Hesabu za Serikali za Mitaa (LAAC), Hesabu za Serikali (PAC), Miundombinu na Nishati na Madini.
Na Hussein Makame, MAELEZO, DodomaKAMATI za Bunge za Serikali za Mitaa (LAAC) na ile ya Hesabu za Serikali (PAC), zimeridhishwa na mafanikio na hatua zilizochukuliwa na Serikali kwa kuongeza mapato yake na kushughulikia changamoto zinazoikabili katika kutekelza majukumu yake.Kufuatia hali hiyo, Bunge limepitisha taarifa za kamati hizo na nyingine tatu, huku Serikali ikiahidi kufanyia kazi yale yote yaliyopendekezwa kwenye taarifa hizo ili kulipeleka Taifa kule kunakotakiwa.Taarifa za Kamati...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-3-IltzVBeoY/VY0lo-gnoVI/AAAAAAAHkNs/1xjxHPJnidg/s72-c/IMG_3318.jpg)
WIZARA YA NISHATI NA MADINI KUUNDA KITENGO MAALUMU KWAAJILI YA USHIRIKI WA WATANZANIA KATIKA SERA YA NISHATI NA MADINI
![](http://4.bp.blogspot.com/-3-IltzVBeoY/VY0lo-gnoVI/AAAAAAAHkNs/1xjxHPJnidg/s640/IMG_3318.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-eP1noyCn96g/VY0lnwv1nfI/AAAAAAAHkNg/m_fD72zB-aI/s640/IMG_3291.jpg)
10 years ago
VijimamboKANUSHO KUTOKA WIZARA YA NISHATI NA MADINI KUHUSU WAZIRI WA NISHATI NA MADINI PROFESA SOSPETER MUHONGO
![](http://4.bp.blogspot.com/-2TdsXVCxyBM/VKLEoGpQUWI/AAAAAAADK_Q/fLIBFnrqdds/s1600/Coat_of_arms_of_Tanzania.svg.png)
Utendaji wa Wizara chini ya Waziri wa...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
12-February-2025 in Tanzania