KAMATI YA BUNGE YA NISHATI NA MADINI YATOA USHAURI KWA SERIKALI KUHUSU KUVILINDA VIWANDA VYA VIFAA VYA UMEME
![](https://1.bp.blogspot.com/-JBH6EnXHHYI/Xm8F2FS6SsI/AAAAAAALj20/iguVWyX29LgIJ5XvZqI9T4WSKX_Y2bdhwCLcBGAsYHQ/s72-c/04.jpg)
Na Mwandishi Wetu, Michuzi Globu ya jamii
KAMATI ya Kudumu ya Bunge ya Nishati na Madini imeishauri Serikali kuvilinda viwanda vya uzalishaji wa vifaa vya umeme vilivyopo nchini ili kuongeza tija na ufanisi wa viwanda hivyo vilivyopewa jukumu la kuzalishaji vifaa hivyo kwa ajili ya utekelezaji wa miradi mbalimbali ya umeme inayoendelea nchini.
Akizungumza wakati wa ziara ya Kamati hiyo kutembelea kiwanda cha uzalishaji wa vifaa vya umeme na Transfoma cha AFRICAB kilichopo Kurasini jijini...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
MichuziKAMATI YA BUNGE YA NISHATI NA MADINI YAFANYA ZIARA KATIKA MITAMBO YA KUFUA UMEME YA KINYEREZI 1
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-9D-pkfgTUoI/VPwnAbhVSQI/AAAAAAAAqn0/YjiABC1CFas/s72-c/Untitled.png)
VETA YAKUTANA NA WADAU WA VIWANDA VYA UMEME NA MAGARI KUJADILI KUHUSU MRADI WA MAFUNZO YANAYOTOLEWA NA VETA KWA KUSHIRIKIANA NA VIWANDA
Mradi huo uliopo kwenye majaribio tangu kuanzishwa kwake mwaka 2011 kwa ushirikiano kati ya Hamburg Chamber of Skills Craft ya Ujerumani na VETA,unalenga kuandaa idadi kubwa ya mafundi stadi wenye ujuzi zaidi kwa vitendo kwa...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/ZGGCrW1JrgitixY1fXblQOEf0kNJ4I7szo0nOIUHM2o7TfXSwo7Cpgq8HSfI4fUI3FyoaAJDglRYkOCnOyzkHCYSDgmcut48/Untitled.png?width=650)
VETA YAKUTANA NA WADAU WA VIWANDA VYA UMEME NA MAGARI KUJADILI KUHUSU MRADI WA MAFUNZO YANAYOTOLEWA NA VETA KWA KUSHIRIKIANA NA VIWANDA
10 years ago
Habarileo09 Jun
Serikali yatoa vibali vya madini kwa wananchi
NAIBU Waziri wa Nishati na Madini, Charles Kitwanga amesema, serikali imekuwa ikitoa vibali vya uchimbaji wa madini kwa wananchi wanaohitaji kufanya hivyo, pindi inapogundua kuna maeneo yana madini.
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-qR3mZchJ2j4/VMzw1eLqr0I/AAAAAAAHAjQ/YXv1dH0-69E/s72-c/1.jpg)
Bunge laridhishwa na utendaji wa serikali, lapitisha taarifa za za Kamati ya Bajeti, Hesabu za Serikali za Mitaa (LAAC), Hesabu za Serikali (PAC), Miundombinu na Nishati na Madini.
10 years ago
VijimamboWHO YATOA VIFAA VYA DOLA ZA MAREKANI 46,000 KWA SERIKALI YA TANZANIA KUJIAMI NA EBOLAâ€
10 years ago
Dewji Blog21 Feb
WHO yatoa vifaa vya dola za Marekani 46,000 kwa serikali ya Tanzania kujihami na Ebola
Mwakilishi Mkazi wa Shirika la Afya Duniani (HWO) nchini, Rutaro Chatora (kulia), akimkabidhi Katibu Mkuu wa Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii, Dk. Donan Mmbando, moja ya kompyuta na baadhi ya vifaa tiba vyenye thamani ya dola za Marekani 46,000 vilivyotolewa na WHO kwa Serikali ya Tanzania Dar es Salaam jana, kwa ajili ya maandalizi ya udhibiti wa magonjwa ya kuambukiza na ebola.
Mwakilishi Mkazi wa Shirika la Afya Duniani (WHO) nchini, Rutaro Chatora (kulia), na Katibu Mkuu wa Wizara ya...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-1ZAu-WfB19s/XmJXb_qn8JI/AAAAAAALhiM/0Wz3TjlspnUw51FuzGpz6k8V_vQIr7EsACLcBGAsYHQ/s72-c/PRESS%2BRELASE%2BKAMATI.jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-iufBhI78XOw/Xn9C2l-Cq3I/AAAAAAALlX4/rat72Zt2duM9AMoNGmlJVDx0QjPjcf1AwCLcBGAsYHQ/s72-c/1-61.jpg)
ALLIANCE ONE YATOA VIFAA VYA UJENZI VYA MILIONI 23.9 KWA WILAYA MBILI ZA MKOA WA TABORA
![](https://1.bp.blogspot.com/-iufBhI78XOw/Xn9C2l-Cq3I/AAAAAAALlX4/rat72Zt2duM9AMoNGmlJVDx0QjPjcf1AwCLcBGAsYHQ/s640/1-61.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/03/2-59.jpg)
Mkuu wa Mkoa wa Tabora Aggrey Mwanri (wa tatu kutoka kulia) akiipokea nondo za ujenzi kwa ajili ya Wilaya ya Uyui na Tabora kutoka MKurugenzi wa Uzalishaji wa Kampuni ya Tumbaku ya Alliance One Tanzania (AOTTL) David Mayunga (wa pili...