Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


ALLIANCE ONE YATOA VIFAA VYA UJENZI VYA MILIONI 23.9 KWA WILAYA MBILI ZA MKOA WA TABORA

Mkuu wa Mkoa wa Tabora Aggrey Mwanri(katikati) akizungumza na waandishi wa habri leo wakati wa kupokea vifaa vya ujenzi kwa ajili ya Wilayaya Uyui na Tabora kutoka Kampuni ya Tumbaku ya Alliance One Tanzania (AOTTL) vyenye thamani ya shilingi milioni 23.9.

Mkuu wa Mkoa wa Tabora Aggrey Mwanri (wa tatu kutoka kulia) akiipokea nondo za ujenzi kwa ajili ya Wilaya ya Uyui na Tabora kutoka MKurugenzi wa Uzalishaji wa Kampuni ya Tumbaku ya Alliance One Tanzania (AOTTL) David Mayunga (wa pili...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

Michuzi

WORLD VISION YATOA VIFAA VYA KUJIKINGA NA COVID-19 VYA MILIONI 17 KWA MKOA WA TABORA

NA TIGANYA VINCENT

SHIRIKA la World Vision Tanzania limekabidhi vifaa vya thamani ya shilingi milioni 17.1 vya kudhibiti virusi vya Corona vinavyosababisha ugonjwa wa homa kali ya mapafu ya Covid -19 kwa Mkoa wa Tabora

Msaada huo umekabidhiwa jana mjini Nzega na Meneja wa Kanda wa Shirika World Vision John Masenza kwa Mkuu wa Mkoa wa Tabora Aggrey Mwanri.

Alitaja msaada huo unajumuisha glovu boksi 990, magauni ya wahudumu wa afya ya kuwafaa wakati wa kuwahudumia wagonjwa 80 , lita 290 ya...

 

10 years ago

GPL

MBUNGE FILIKUNJOME ATIMIZA PIA AHADI YA UJENZI WA DARAJA MTO KITEWAKA KWA TSH MILIONI 248, ASAIDIA VIFAA VYA UJENZI KWA TSH MILIONI 248

 Mbunge  Filikunjombe akilitazama daraja la mbao la mto Kitewaka ambalo litajengwa  kisasa 
 Wannchi  wa  kijiji  cha Maholong'wa  wakimpongeza  mbunge  Filikunjombe kwa kutimiza ahadi yake…

 

5 years ago

Michuzi

KAMPUNI YA UUZAJI VIFAA VYA UJENZI FMJ YATOA MSAADA WA VITAKASA MIKONO KWA WAANDISHI WA HABARI ...YATUMA UJUMBE KWA WAJENZI


Na Said Mwishehe, Michuzi TV

KATIKA kuunga mkono juhudi za Serikali KUHUSU mapambano ya kupunguza kuenea Kwa ugonjwa wa Covid-19,Kampuni ya uuzaji wa vifaa vya ujenzi ya FMJ Hard Ware Lmt iliyopo Buguruni Kisiwani jijini Dar es Salaam imetoa msaada wa vitakasa mikono kwa vyombo vya habari.

Uongozi wa Kampuni hiyo umesema unatambua kazi kubwa inaayofanywa na vyombo vya habari hasa katika utoaji wa elimu na kuhabarisha umma kuhusu Corona, hivyo wameona haja ya kuwawezesha vitakasa mikono...

 

5 years ago

CCM Blog

TAASISI YA ANDALUSIA NA GROUP YA HAPPY HANDS YATOA VIFAA VYA KUJIKINGA NA CORONA KWA MADAKTARI NA WAUGUZI VYENYE THAMANI YA SH. MILIONI SABA

 Kiongozi wa Taasisi ya Andalusia na Group ya Happy Hands Zainab Bunamay (kushoto) akimkabidhi Mkuu wa Wilaya ya Ilala Bi. Sofia Mjema vifaa mbalimbali vikiwemo vya kujikinga na CORONA kwa Madaktari na Wauguzi vyenye thamani Sh. Milioni Saba
 
   Kiongozi wa Taasisi ya Andalusia na Group ya Happy Hands Zainab Bunamay (kushoto)  akikabidhi msaada wa vifaa mbalimbali kwa Mkuu wa Wilaya ya Ilala Bi. Sophia mjema wenye dhamani ya Sh. Milioni Saba uliotole kwa niaba ya Taasisi hiyo vikiwemo vifaa...

 

5 years ago

Michuzi

KAMATI YA BUNGE YA NISHATI NA MADINI YATOA USHAURI KWA SERIKALI KUHUSU KUVILINDA VIWANDA VYA VIFAA VYA UMEME

Na Mwandishi Wetu, Michuzi Globu ya jamii

KAMATI ya Kudumu ya Bunge ya Nishati na Madini imeishauri Serikali kuvilinda viwanda vya uzalishaji wa vifaa vya umeme vilivyopo nchini ili kuongeza tija na ufanisi wa viwanda hivyo vilivyopewa jukumu la kuzalishaji vifaa hivyo kwa ajili ya utekelezaji wa miradi mbalimbali ya umeme inayoendelea nchini.

Akizungumza wakati wa ziara ya Kamati hiyo kutembelea kiwanda cha uzalishaji wa vifaa vya umeme na Transfoma cha AFRICAB kilichopo Kurasini jijini...

 

5 years ago

CCM Blog

BARRICK BUZWAGI YATOA VIFAA VYA KUJIKINGA NA CORONA VYENYE THAMANI YA SH. MILIONI 48

Mkuu wa mkoa wa Shinyanga Mhe. Zainab Telack akiishukuru Kampuni ya Barrick kwa kuiunga mkono serikali katika kukabiliana na ugonjwa wa Corona. Kulia ni Mkuu wa Kitengo cha Afya na Usalama mgodi wa Barrick Buzwagi, Dkt. Antoinette George.(PICHA NA MALUNDE-MALUNDE 1 BLOG)
Kampuni ya Uchimbaji Madini ya Dhahabu ya Barrick kupitia Mgodi wa Buzwagi uliopo wilayani Kahama imetoa msaada vifaa vyenye thamani ya shilingi milioni 48 kwa ajili ya kujikinga dhidi ya maambukizi ya homa kali ya mapafu...

 

5 years ago

Michuzi

AIRTEL YATOA MSAADA WA VIFAA VYA UJENZI WA CHOO SHULE YA KIGUZA MKURANGA

 Ofisa Uhusiano na Matukio wa Airtel Tanzania, Dangio Kaniki, akizungumza na wanafunzi wa Shule ya Msingi Kiguza iliyopo Wilaya ya Mkuranga mkoani Pwani baada ya kukabidhi msaada wa vitu mbalimbali vilivyotolewa na wafanyakazi ikiwa ni msaada toka kwa wafanyakazi  Wanawake wnaofanya kazi Airtel. Hafla hiyo ilifanyika mwishoni mwa wiki.  Meneja wa Kitengo cha kuhudumia wateja wakubwa Airtel Tanzania, Alice Maziku, akizungumza na wanafunzi wa Shule ya Msingi Kiguza iliyopo Wilaya ya...

 

10 years ago

Vijimambo

HOSPTIALI ZA WILAYA ZA MISUNGWI, SENGEREMA, MAGU NA KWIMBA ZAPEWA VIFAA VYA THAMANI YA SHILINGI MILIONI 68


TAASISI ya Afrika ya Brien Holden Vision Institute (BHVI) imezipiga jeki ya vifaa tiba vyenye thamani ya Sh milioni 68 ili kukabiliana na tatizo la wagonjwa wa macho katika Hosptali za Wilaya ya Misungwi na Sengerema, Magu na Kwimba mkoani Mwanza.
Msaada huo ulikabidhiwa mwishoni mwa juma lililopita na Meneja Mipango wa BHVI Afrika, Mary Wepo kwenye hafla fupi iliyofanyika ofisi za Mganga Mkuu wa Mkoa wa Mwanza chini ya ufadhili wa Stanard Chartered Bank Tanzania Ltd kupitia mpango wa miaka...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani