KAMPUNI YA UUZAJI VIFAA VYA UJENZI FMJ YATOA MSAADA WA VITAKASA MIKONO KWA WAANDISHI WA HABARI ...YATUMA UJUMBE KWA WAJENZI
Na Said Mwishehe, Michuzi TV
KATIKA kuunga mkono juhudi za Serikali KUHUSU mapambano ya kupunguza kuenea Kwa ugonjwa wa Covid-19,Kampuni ya uuzaji wa vifaa vya ujenzi ya FMJ Hard Ware Lmt iliyopo Buguruni Kisiwani jijini Dar es Salaam imetoa msaada wa vitakasa mikono kwa vyombo vya habari.
Uongozi wa Kampuni hiyo umesema unatambua kazi kubwa inaayofanywa na vyombo vya habari hasa katika utoaji wa elimu na kuhabarisha umma kuhusu Corona, hivyo wameona haja ya kuwawezesha vitakasa mikono...
Michuzi
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-NIUK8HHZa5I/Xns8xtGqxHI/AAAAAAAAI1g/qNaSBcfMnUE-VlMhoUP4gMI0GIFRc-41ACLcBGAsYHQ/s72-c/IMG-20200325-WA0044.jpg)
KAMPUNI YA PLANET YATOA MSAADA WA VITAKASA MIKONO KWA SERIKALI KATIKA KUPAMBANA NA COVID 19
![](https://1.bp.blogspot.com/-NIUK8HHZa5I/Xns8xtGqxHI/AAAAAAAAI1g/qNaSBcfMnUE-VlMhoUP4gMI0GIFRc-41ACLcBGAsYHQ/s640/IMG-20200325-WA0044.jpg)
Katibu Tawala wa mkoa wa Arusha Richard Kwitega akipokea vifaa vya hivyo vya kutakasa mikono kutoka kwa Meneja wa kampuni ya Planet phamasetcal limited,Joseph Lekumok ikiwa ni katika kusaidiana na Serikali kutatua Janga la Ugonjwa wa Covid 19 kwenye ofisi ya Mkuu wa mkoa wa Arusha
![](https://1.bp.blogspot.com/-uXjAldjPmiU/Xns8tz0aC_I/AAAAAAAAI1c/Xt3cN82pmagIrGs4D-kuqEVL6vnWUFPOACLcBGAsYHQ/s640/IMG-20200325-WA0048.jpg)
Katibu Tawala wa mkoa wa Arusha Richard Kwitega akiongea na wadau waliofika kutoa msaada wa vifaa vya kukabiliana na Ugonjwa wa Covid 19 ikiwemo Dawa ya kuulia bacteria Maalum ya kunawa mikono kwenye ofisi...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-8LeaBgu4vnM/XqvuGGyaDYI/AAAAAAALov4/09x_B3L3zpA4rAfMgX_6DG2OeQ9JKT-UwCLcBGAsYHQ/s72-c/IMG-20200430-WA0234.jpg)
DIWANI KATA YA BOMAMBUZI ATOA MSAADA WA BARAKOA,VITAKASA MIKONO KWA WAFANYABIASHARA
![](https://1.bp.blogspot.com/-8LeaBgu4vnM/XqvuGGyaDYI/AAAAAAALov4/09x_B3L3zpA4rAfMgX_6DG2OeQ9JKT-UwCLcBGAsYHQ/s400/IMG-20200430-WA0234.jpg)
DIWANI wa Kata ya Bomambuzi na Mjumbe wa Kamati ya Fedha na Uongozi Manispaa ya Moshi mkoani Kilimanjaro Juma Raibu amekabidhi barakoa 100,vitakasa mikono pamoja na ndoo kwa wafanyabiashara wa Soko la Pasua ili kujikinga na virusi vya Corona ambavyo vinaendelea kutikisa Dunia.
Akizungumza wakati akikabidhi vifaa hivyo, Diwani huyo amesema kuwa ameamua kutoa vifaa vya kujikinga na Corona kwa wananchi hao ,ili kuendelea kuchukuwa taathari
Amesemambali na kutoa...
5 years ago
MichuziKAMPUNI YA BIA YA SERENGETI YACHANGIA MSAADA WA LITA 1,250 ZA VITAKASA MIKONO KUUNGA MKONO MAPAMBANO DHIDI YA UGONJWA WA CORONA,
====== ========== ======== ========
Kampuni ya Bia ya Serengeti (SBL) leo imeunga mkono mapambano dhidi ya...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-iufBhI78XOw/Xn9C2l-Cq3I/AAAAAAALlX4/rat72Zt2duM9AMoNGmlJVDx0QjPjcf1AwCLcBGAsYHQ/s72-c/1-61.jpg)
ALLIANCE ONE YATOA VIFAA VYA UJENZI VYA MILIONI 23.9 KWA WILAYA MBILI ZA MKOA WA TABORA
![](https://1.bp.blogspot.com/-iufBhI78XOw/Xn9C2l-Cq3I/AAAAAAALlX4/rat72Zt2duM9AMoNGmlJVDx0QjPjcf1AwCLcBGAsYHQ/s640/1-61.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/03/2-59.jpg)
Mkuu wa Mkoa wa Tabora Aggrey Mwanri (wa tatu kutoka kulia) akiipokea nondo za ujenzi kwa ajili ya Wilaya ya Uyui na Tabora kutoka MKurugenzi wa Uzalishaji wa Kampuni ya Tumbaku ya Alliance One Tanzania (AOTTL) David Mayunga (wa pili...
10 years ago
MichuziTWIGA CEMENT YAMWAGA MSAADA WA VIFAA VYA UJENZI KWA JESHI LA MAGEREZA KATIKA MRADI WA UJENZI WA MAKAZI YA ASKARI GEREZA WAZO JIJINI DAR
10 years ago
VijimamboTWIGA CEMENT YAMWAGA MSAADA WA VIFAA VYA UJENZI KWA JESHI LA MAGEREZA KATIKA MRADI WA UJENZI WA MAKAZI YA ASKARI GEREZA WAZO JIJINI DAR ES SALAAM
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-xzEi9Ez-wu0/XmYSf9d7LNI/AAAAAAALiL0/kiY9yt1fKzomKTH5zcxx_tqVH4tDQcGkwCLcBGAsYHQ/s72-c/2.jpg)
AIRTEL YATOA MSAADA WA VIFAA VYA UJENZI WA CHOO SHULE YA KIGUZA MKURANGA
![](https://1.bp.blogspot.com/-xzEi9Ez-wu0/XmYSf9d7LNI/AAAAAAALiL0/kiY9yt1fKzomKTH5zcxx_tqVH4tDQcGkwCLcBGAsYHQ/s640/2.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-2m95dxQdZ7g/XmYSg36usdI/AAAAAAALiL4/hBrvDs0BFooTtOqNKSCGTOprMVIY84jXQCLcBGAsYHQ/s640/3.jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-YuttQwCQN8s/XuPhjwBbYpI/AAAAAAALtpk/zKghxrHjirgAXwj-EkfdpA6xA96gZ3wygCLcBGAsYHQ/s72-c/4d81dcb5-8b7e-478a-887d-52f24ee133cc.jpg)
Katibu Mkuu Maji, Prof. Mkumbo awatoa hofu wanafunzi wanaojiandaa kwa mtihani shule ya Sekondari Tumaini, wapewa vitakasa mikono vya kutumia kwa siku 60
![](https://1.bp.blogspot.com/-YuttQwCQN8s/XuPhjwBbYpI/AAAAAAALtpk/zKghxrHjirgAXwj-EkfdpA6xA96gZ3wygCLcBGAsYHQ/s640/4d81dcb5-8b7e-478a-887d-52f24ee133cc.jpg)
Katibu Mkuu, Wizara ya Maji Prof. Kitila Mkumbo akizindua eneo la kunawa mikono katika kukabiliana na maambukizi ya Virusi vinavyosababisha ugonjwa wa Corona (COVID-19) katika shule ya sekondari ya Tumaini, mkoani Singida ambapo wanafunzi zaidi ya 100 wanajiandaa kwa mtihani wa kidato cha Sita. Kulia kwake anayeshuhudia ni Mkuu wa wilaya ya...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/--fdhWpI7sJQ/Xucxc8xZ5wI/AAAAAAALt38/l3GZfr4DzT4Xy0yTrtLPDAaVkzpwPTNOQCLcBGAsYHQ/s72-c/1.jpg)
BENKI YA NMB YATOA MSAADA WA VIFAA VYA UJENZI SHULE TATU ZA AWALI ZANZIBAR
![](https://1.bp.blogspot.com/--fdhWpI7sJQ/Xucxc8xZ5wI/AAAAAAALt38/l3GZfr4DzT4Xy0yTrtLPDAaVkzpwPTNOQCLcBGAsYHQ/s640/1.jpg)