KAMPUNI YA BIA YA SERENGETI YACHANGIA MSAADA WA LITA 1,250 ZA VITAKASA MIKONO KUUNGA MKONO MAPAMBANO DHIDI YA UGONJWA WA CORONA,
Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Ummy Mwalimu (kulia) akipokea kutoka kwa Mkurugenzi wa Uhusiano wa Kampuni ya Bia ya Serengenti, Bw. John Wanyancha sehemu ya lita za Vitakasa mikono,ambapo kampuni hiyo imetoa lita 1,250 ya vitakasa mikono nyenye thamani ya shilingi milioni 15 kwa ajili ya kuunga mkono juhudi za Serikali za kupambana na maambukiza ya virusi.
====== ========== ======== ========
Kampuni ya Bia ya Serengeti (SBL) leo imeunga mkono mapambano dhidi ya...
Michuzi
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-VR88wpJU4fo/XqfVaWeXCrI/AAAAAAALoaM/QIDK9V0sREEUnIZR8wA846Th8zUZ54EiQCLcBGAsYHQ/s72-c/5cbd6997-e3b2-4875-9b79-bcbbfd26b1f0.jpg)
KAMPUNI YA GGML YATOA SHILINGI BILIONI 1.6 KUUNGA MKONO JUHUDI ZA SERIKALI MAPAMBANO DHIDI YA VIRUSI VYA CORONA
![](https://1.bp.blogspot.com/-VR88wpJU4fo/XqfVaWeXCrI/AAAAAAALoaM/QIDK9V0sREEUnIZR8wA846Th8zUZ54EiQCLcBGAsYHQ/s640/5cbd6997-e3b2-4875-9b79-bcbbfd26b1f0.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-8hzk-8xRn10/XqfVaYWwWWI/AAAAAAALoaQ/g2qtls5wKyAx6dDBBt7FiCp5De6LwfsSgCLcBGAsYHQ/s640/9dd985b1-8e22-4aed-ad29-26baf554f655.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-cYuavRird68/XqfVaXTU2rI/AAAAAAALoaU/nqAUM9LZjXAL2mhH1eAjXckC-WGJ1rwvgCLcBGAsYHQ/s640/4034747a-3acf-476d-83d6-8304bb7db49c.jpg)
KAMPUNI ya Geita Gold Mining Limited (GGML) imetoa Shilingi bilioni 1.6 kuunga mkono juhudi za Serikali katika kudhibiti maambukizi ya Virusi vya Corona ambayo hadi sasa yamesambaa katika nchi 210 duniani Tanzania ikiwemo.
Pia GGML imezindua mikakati...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-NIUK8HHZa5I/Xns8xtGqxHI/AAAAAAAAI1g/qNaSBcfMnUE-VlMhoUP4gMI0GIFRc-41ACLcBGAsYHQ/s72-c/IMG-20200325-WA0044.jpg)
KAMPUNI YA PLANET YATOA MSAADA WA VITAKASA MIKONO KWA SERIKALI KATIKA KUPAMBANA NA COVID 19
![](https://1.bp.blogspot.com/-NIUK8HHZa5I/Xns8xtGqxHI/AAAAAAAAI1g/qNaSBcfMnUE-VlMhoUP4gMI0GIFRc-41ACLcBGAsYHQ/s640/IMG-20200325-WA0044.jpg)
Katibu Tawala wa mkoa wa Arusha Richard Kwitega akipokea vifaa vya hivyo vya kutakasa mikono kutoka kwa Meneja wa kampuni ya Planet phamasetcal limited,Joseph Lekumok ikiwa ni katika kusaidiana na Serikali kutatua Janga la Ugonjwa wa Covid 19 kwenye ofisi ya Mkuu wa mkoa wa Arusha
![](https://1.bp.blogspot.com/-uXjAldjPmiU/Xns8tz0aC_I/AAAAAAAAI1c/Xt3cN82pmagIrGs4D-kuqEVL6vnWUFPOACLcBGAsYHQ/s640/IMG-20200325-WA0048.jpg)
Katibu Tawala wa mkoa wa Arusha Richard Kwitega akiongea na wadau waliofika kutoa msaada wa vifaa vya kukabiliana na Ugonjwa wa Covid 19 ikiwemo Dawa ya kuulia bacteria Maalum ya kunawa mikono kwenye ofisi...
10 years ago
MichuziJAMII YATAKIWA KUUNGA MKONO MAPAMBANO DHIDI YA UKOSEFU LISHE BORA-MNG’ONG’O
Hayo ameyasema Mwenyekiti wa Mtandao wa Wabunge wa Masuala ya Lishe pamoja na Haki za Watoto,Lediana Mng’ong’o wakati akizindua ripoti lishe Duniani iliyokutanisha nchi mbalimbali kwa ajili ya kuweza kupata nguvu katika kupamba na lishe iliyofanyika leo katika Hoteli ya Protea,...
5 years ago
MichuziKAMPUNI YA UUZAJI VIFAA VYA UJENZI FMJ YATOA MSAADA WA VITAKASA MIKONO KWA WAANDISHI WA HABARI ...YATUMA UJUMBE KWA WAJENZI
Na Said Mwishehe, Michuzi TV
KATIKA kuunga mkono juhudi za Serikali KUHUSU mapambano ya kupunguza kuenea Kwa ugonjwa wa Covid-19,Kampuni ya uuzaji wa vifaa vya ujenzi ya FMJ Hard Ware Lmt iliyopo Buguruni Kisiwani jijini Dar es Salaam imetoa msaada wa vitakasa mikono kwa vyombo vya habari.
Uongozi wa Kampuni hiyo umesema unatambua kazi kubwa inaayofanywa na vyombo vya habari hasa katika utoaji wa elimu na kuhabarisha umma kuhusu Corona, hivyo wameona haja ya kuwawezesha vitakasa mikono...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-VLnFR9aDeWc/XsUU-Z2iccI/AAAAAAALq8E/AYy-wbLfgWIcvEsUcIuhZsPvX-XNZ7z-ACLcBGAsYHQ/s72-c/eb242f8c-1f4b-45fe-baa4-53379fdea120.jpg)
MSIBWETEKE KATIKA MAPAMBANO DHIDI YA UGONJWA WA CORONA.
Na WAMJW- DSM
Mganga Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Dkt. Rashid Mfaume ametoa wito kwa wananchi, hususan Jijini Dar es Salaam kutobwete na kuwataka kuendelea kuchukua hatua za tahadhari ili kujikinga dhidi ya maambukizi ya virusi vya Corona katika kipindi hiki.
Dkt. Rashid Mfaume ametoa wito huo leo, wakati akipokea msaada wa barakoa 17,500 sawa na maboksi 350, na vipukusi (sanitizers) lita 700 ambayo ni sawa na madumu 140 yenye ujazo wa lita 5 kutoka kwa Shirika lisilo Lakiserikali la...
5 years ago
CCM BlogMAJALIWA APOKEA MISAADA KWA AJILI YA MAPAMBANO DHIDI YA UGONJWA WA CORONA
5 years ago
MichuziBENKI YA CRDB YATOA MILIONI 30 KUSAIDIA MAPAMBANO DHIDI YA UGONJWA WA CORONA (COVID-19)
=== === ===
Benki ya CRDB imetoa msaada wa shilingi milioni 30 kwa Chama...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-P4MQwULCuMQ/Xpgg8RgQKPI/AAAAAAALnJM/XvZWNjTbQKscRFs2PD4B4OG31GBnAmnTACLcBGAsYHQ/s72-c/New%2BPicture.png)
TUME YA HAKI ZA BINADAMU NA UTAWALA BORA YAIPONGEZA SERIKALI DHIDI YA MAPAMBANO YA UGONJWA WA CORONA (COVID-19).
![](https://1.bp.blogspot.com/-P4MQwULCuMQ/Xpgg8RgQKPI/AAAAAAALnJM/XvZWNjTbQKscRFs2PD4B4OG31GBnAmnTACLcBGAsYHQ/s320/New%2BPicture.png)
Itakumbukwa kuwa katikati ya mwezi Machi mwaka huu Serikali ilitangaza mapambano rasmi dhidi ya maradhi yanayosababishwa na virusi vya Corona ambavyo hivi karibuni imekuwa ni janga kubwa duniani.
Serikali ilichukua uamuzi huo baada ya Tanzania kuanza kupata taarifa za uwepo wa wagonjwa wa maradhi hayo nchini na hivyo kuwataka Wananchi kuchukua tahadhari mbalimbali za kujikinga na...
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-xaArJC39MKc/Uvt-1sVgfdI/AAAAAAACams/rANa0fea9rU/s72-c/1st+draw+......pic+...5jpg.jpg)
KAMPUNI YA BIA YA SERENGETI YAENDESHA DROO YA KWANZA YA WINDA SAFARI YA BRAZILI NA SERENGETI.
![](http://2.bp.blogspot.com/-xaArJC39MKc/Uvt-1sVgfdI/AAAAAAACams/rANa0fea9rU/s1600/1st+draw+......pic+...5jpg.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-fmUXTOHXw5A/Uvt-zwpBKpI/AAAAAAACamg/DNeO9tpxvSE/s1600/1st+draw+......pic+...3jpg.jpg)