Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


JAMII YATAKIWA KUUNGA MKONO MAPAMBANO DHIDI YA UKOSEFU LISHE BORA-MNG’ONG’O

Na Chalila Kibuda,Globu ya Jamii.JAMII imeaswa kuunga mkono juhudi mbalimbali dhidi ya mapambano  ya ukosefu lishe bora  kutokana kudumaza watoto na kushindwa taifa kukosa nguvu kazi katika jitihada za kusukuma uchumi.


Hayo ameyasema Mwenyekiti wa Mtandao wa Wabunge wa Masuala ya Lishe pamoja na Haki za Watoto,Lediana Mng’ong’o wakati akizindua ripoti lishe Duniani iliyokutanisha nchi mbalimbali kwa ajili ya kuweza kupata nguvu katika kupamba na lishe iliyofanyika leo katika Hoteli ya Protea,...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

Michuzi

KAMPUNI YA GGML YATOA SHILINGI BILIONI 1.6 KUUNGA MKONO JUHUDI ZA SERIKALI MAPAMBANO DHIDI YA VIRUSI VYA CORONA

 Baadhi ya wananchi wanaozunguka mgodi wa kampuni hiyo wakinawa mikono kwa maji tiririka na sabuni, vifaa hivyo vimetolewa na GGML kudhibiti maambukizi ya Corona katika mji wa Geita Mkurugenzi Mkuu wa GGML, Richard Jordinson akifafanua jambo
KAMPUNI  ya Geita Gold Mining Limited (GGML) imetoa Shilingi bilioni 1.6 kuunga mkono juhudi za Serikali katika kudhibiti maambukizi ya Virusi vya Corona ambayo hadi sasa yamesambaa katika nchi 210 duniani Tanzania ikiwemo.

Pia GGML imezindua mikakati...

 

5 years ago

Michuzi

KAMPUNI YA BIA YA SERENGETI YACHANGIA MSAADA WA LITA 1,250 ZA VITAKASA MIKONO KUUNGA MKONO MAPAMBANO DHIDI YA UGONJWA WA CORONA,

Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Ummy Mwalimu (kulia) akipokea kutoka kwa Mkurugenzi wa Uhusiano wa Kampuni ya Bia ya Serengenti, Bw. John Wanyancha sehemu ya lita za Vitakasa mikono,ambapo kampuni hiyo imetoa lita 1,250 ya vitakasa mikono nyenye thamani ya shilingi milioni 15 kwa ajili ya kuunga mkono juhudi za Serikali za kupambana na maambukiza ya virusi.
====== ========== ======== ========
Kampuni ya Bia ya Serengeti (SBL) leo imeunga mkono mapambano dhidi ya...

 

10 years ago

Tanzania Daima

Wananchi waaswa kuunga mkono mapambano mabadiliko tabia nchi

WAZIRI wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais Mazingira, Binilith Mahenge, amewataka wananchi kuunga mkono juhudi za serikali na Bara la Afrika katika kupambana na changamoto za mabadiliko ya tabia...

 

10 years ago

Michuzi

TANZANIA KUPAMBANA NA UKOSEFU WA LISHE BORA

 Waziri wa Fedha  Mhe. Saada Salum akisalimiana na mwakilishi kutoka UNICEF katika mkutano wa Lishe mjini Washington DC.  Waziri wa Fedha  Mhe. Saada Salum akisikiliza kwa makini hoja iliyokuwa ikitolewa na mwakilishi kutoka CIFF katika mkutano wa Lishe mjini Washington DC.

 Wajumbe kutoka nchi mbali mbali Duniani wakimsikiliza Waziri wa Fedha  Mhe. Saada Salum Mkuya ( hayupo kwenye picha) alipokuwa akiwasilisha mada na kuchangia hoja mbalimbali katika mkutano uliohusu Lishe bora kwa mtoto...

 

9 years ago

Dewji Blog

Mtandao wa Act Alliance wataka nchi kuunga mkono mapambano ya kufikia nyuzi joto 1.5!!

DSC_4066

Mmoja wa watu wanaohudhuria mkutano mkuu wa 21 wa mabadiliko ya tabianchi wa Umoja wa Mataifa COP 21 akipita huku akionyesha madaha ya kucheza kwenye zuria la kijani kuhamasisha upunguzaji wa joto Duiani. (Picha zote na Andrew Chale, Modewjiblog, Paris).

Na Andrew Chale, Modewjiblog

[PARIS] Mtandao wa kimataifa wa  dhidi ya mambo ya mazingira wa Act Alliance umepaza sauti yao kwa kushinikiza mataifa ya dunia katika  uungaji mkono mapambano ya kufikia nyuzi joto 1.5, ifikapo 2050.

Act...

 

5 years ago

CCM Blog

WANANCHI WATAKIWA KUUNGA MKONO SERIKALI DHIDI YA VITENDO VYA KIKATILI HASA KWA WANAWAKE NA WTOTO

  Na Mwandishi Wetu TaboraMkuu wa Mkoa wa Tabora Aggrey Mwanri amewataka wananchi wa Mkoa huo kuunga mkono juhudi za Serikali katika mapambano dhidi ya vitendo vya kikatili hasa kwa wanawake na watoto.
Mkuu wa mkoa huyo ameyasema hayo jana mkoani humo wakati akiupokea Msafara wa Kijinsia kutokomeza ukatili unaolenga kutoa elimu kwa jamii kuhusu madhara ya kufanya vitendo vya ukatili wa kijinsia kuelekea Maadhimisho ya Siku ya Wanawake Duniani yatakayofanyika Kitaifa Simiyu Machi 08,...

 

10 years ago

Tanzania Daima

Jamii yaaswa mapambano dhidi ya mihadarati

KAMANDA wa Polisi Mkoa wa Dodoma, David Misime, ametoa wito kwa jamii kuwa mstari wa mbele katika mapambano dhidi ya dawa za kulevya kwa kuwa vita hiyo ni ya kimataifa....

 

5 years ago

Michuzi

Absa Tanzania yaunga mkono juhudi za serikali mapambano dhidi ya Covid-19

Waziri wa Afya, Maendeleo ya. Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Ummy Mwalimu, (katikati), akimshukuru Mkurugenzi Rasilimali Watu na Utumishi wa Benki ya AbsaTanzania, Patrick Foya (kushoto), baada yakupokea msaada wa vifaa tiba kwa ajili ya kuisaidia serikali katika kupambana na ugonjwa wa homa kali ya mapafu inayotokana na virusi vya Corona (Covid-19). kulia ni Katibu Mkuu wa Wizara ya Afya, Maendeleoya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Prof. Mabula Daudi Mchembe. Vifaa hivyo vikiwemo barakoa,...

 

10 years ago

Michuzi

Warsha ya uhamasishaji ,mawasiliano na utetezi wa Lishe bora katika jamii itakayochukua siku tatu imefunguliwa leo

Watanzania, Asasi zisizo za serikali na wadau mbalimbali hapa nchini wametakiwa kuwa mabalozi waLishe Bora katika jamii zinazo wazunguka, hayo yamesemwa na Katibu Mkuu wa Wizara ya Afya na Ustawi wa jamii Ndugu Charles A. Pallangyo katika warsha ya siku 3 iliyofunguliwa leo tarehe 23 hadi 25 September 2014 katika Hotel ya Serena jijin Dar es salaam.
“Serikali ya Tanzania kupitia Ofisi ya Waziri Mkuu, Wizara yake ya Afya na Taasisi ya Chakula na Lishe Tanzania imeendelea kuratibu...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani