Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Jamii yaaswa mapambano dhidi ya mihadarati

KAMANDA wa Polisi Mkoa wa Dodoma, David Misime, ametoa wito kwa jamii kuwa mstari wa mbele katika mapambano dhidi ya dawa za kulevya kwa kuwa vita hiyo ni ya kimataifa....

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Michuzi

JAMII YATAKIWA KUUNGA MKONO MAPAMBANO DHIDI YA UKOSEFU LISHE BORA-MNG’ONG’O

Na Chalila Kibuda,Globu ya Jamii.JAMII imeaswa kuunga mkono juhudi mbalimbali dhidi ya mapambano  ya ukosefu lishe bora  kutokana kudumaza watoto na kushindwa taifa kukosa nguvu kazi katika jitihada za kusukuma uchumi.


Hayo ameyasema Mwenyekiti wa Mtandao wa Wabunge wa Masuala ya Lishe pamoja na Haki za Watoto,Lediana Mng’ong’o wakati akizindua ripoti lishe Duniani iliyokutanisha nchi mbalimbali kwa ajili ya kuweza kupata nguvu katika kupamba na lishe iliyofanyika leo katika Hoteli ya Protea,...

 

10 years ago

Michuzi

Waziri wa Afya na Ustawi wa Jamii,Dkt.Seif S.Rshid akishiriki mkutano wa mapambano dhidi ya UKIMWI,Malaria na TB Marekani

Waziri wa Afya na Ustawi wa Jamii,Dkt.Seif S.Rshid(Mb), akishiriki mkutano  ambao ulijadili juu ya mapambano dhidi ya magonjwa Kama UKIMWI,Malaria na TB.walijadili jinsi ya kuimarisha huduma za kuwafikia wananchi Wengi zaidi kwa kutumia rasilimali zilizopo. Washiriki wengine wanaoonekana katika picha hii ni katibu mkuu wa Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii Dkt.Donnan Mmbando(kulia kwa waziri), Mkurugenzi mtendaji wa mfumo wa Dunia wa kupambana na UKIMWI, Malaria na Kifua Kikuu. Dkt.Mark Dybul...

 

10 years ago

Habarileo

Jamii yaaswa kupanda miti

SHIRIKA lisilo la kiserikali la Solar Oven Society Africa limetaka jamii kupanda miti kwa wingi katika maeneo yao ili kulinda na kuhifadhi mazingira na kuepusha nchi kugeuka jangwa.

 

10 years ago

Michuzi

JAMII YAASWA KUTOWAFICHA WALEMAVU

   .Mkurugenzi wa Hazina Foundation William Mungai na mkurugenzi wa shirika lisilo la kiserikali la Mufindi Community Walefare Amina Rajab wakikabidhi kabati likiwa na madawa mbalimbali kwa  kituo cha Makalala kilichoko mafinga liganga.  Mkurugenzi wa Hazina Foundation William Mungai na mkurugenzi wa shirika lisilo la kiserikali la Mufindi Community Walefare Amina Rajab, wakiwa katika picha ya pamoja na walimu na wanafunzi walemavu wa kituo cha Makalala kilichoko mafinga liganga.

NA DENIS...

 

10 years ago

Habarileo

Jamii yaaswa kulea yatima

JAMII imetakiwa kushirikiana kwa pamoja kulea yatima na wanaoishi katika mazingira hatarishi kutokana na wengi wao kutokuwa na wazazi huku walezi wao wakiwa hawana uwezo wa kuwapatia mahitaji ya msingi.

 

11 years ago

Michuzi

JAMII YAASWA KUWASAIDIA WATOTO YATIMA

 Mkuu wa Wilaya ya Kilolo Gerald Guninita akimkabidhi zawadi Blessing Kikoti mwanafunzi wa darasa la nne aliyefanya vizuri katika masomo yake kwa kuwa wa kwanza katika masomo. Mkuu Mkuu wa Wilaya ya Kilolo Gerald Guninita akihutubia.(picha zote na Denis Mlowe)  Kaimu Mkurugenzi wa Wilaya ya Kilolo Ulbad Wampemba akizungumza na watoto na wananchi waliohudhuria maadhimisho ya siku ya mtoto wa afrika kiwalaya yalifanyika katika ofisi za kijiji cha Ilamba kata ya Dabaga tarafa ya Kilolo...

 

10 years ago

Mtanzania

Jamii yaaswa kununua bidhaa mtandaoni

Na Mwandishi Wetu, Dar es Salaam
JAMII imetakiwa kuendelea kuwa na imani na wafanyabiashara wanaouza bidhaa kupitia mitandao kwa kuwa ni moja ya njia rahisi ya kuwafikia wateja waliokuwa katika maeneo mbalimbali.
Akizungumza Dar es Salaam jana katika warsha ya wauzaji wa magari kutoka Tanzania Bara na Zanzibar, Meneja wa Masoko wa Mtandao wa Cheki kuwakutanisha wafanyabiashara wa magari Tanzania, Mori Bencus, alisema wananchi wana tatizo kubwa la kutowaamini wafanyabiashara wa mitandao na...

 

10 years ago

StarTV

Jamii yaaswa kuzingatia haki za watoto.

Na Marcus/Dida,

Mwanza.

 

Watanzania wameaswa kuzingatia haki za watoto za kupendwa, kusikilizwa na kupata stahili zote muhimu ili kupata Taifa lenye watu waliopata malezi mema.

Kukithiri kwa vitendo vya unyanyasaji wa watoto ni mfano mbaya kutoka kwa walezi ambao humsababishia mtoto huyo kuishi maisha ya huzuni na kisasi kwa aliyotendewa.

Ni wito kutoka kwa Askofu mkuu wa Jimbo kuu la Mwanza Jude Thaddeus Ruwa’ichi wakati wa maadhimisho ya sikukuu ya Epifania iliyofanyika Parokia ya...

 

11 years ago

Habarileo

Jamii yaaswa kuhusu dawa ya meno

JAMII imeaswa kukagua dawa ya meno kabla ya kutumia kujiridhisha na ubora na viwango.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani