Jamii yaaswa kuhusu dawa ya meno
JAMII imeaswa kukagua dawa ya meno kabla ya kutumia kujiridhisha na ubora na viwango.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Habarileo17 Aug
Jamii yaaswa kupanda miti
SHIRIKA lisilo la kiserikali la Solar Oven Society Africa limetaka jamii kupanda miti kwa wingi katika maeneo yao ili kulinda na kuhifadhi mazingira na kuepusha nchi kugeuka jangwa.
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-cXVr3TNwQs4/VTYc7LlLr0I/AAAAAAAC3X4/2GgnLYO9lus/s72-c/20150418_164243.jpg)
JAMII YAASWA KUTOWAFICHA WALEMAVU
![](http://2.bp.blogspot.com/-cXVr3TNwQs4/VTYc7LlLr0I/AAAAAAAC3X4/2GgnLYO9lus/s1600/20150418_164243.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-D7QabrBUtHE/VTYcyVuQmHI/AAAAAAAC3Xo/NyHG81Fm2Qg/s1600/20150418_164402.jpg)
NA DENIS...
10 years ago
Habarileo01 Sep
Jamii yaaswa kulea yatima
JAMII imetakiwa kushirikiana kwa pamoja kulea yatima na wanaoishi katika mazingira hatarishi kutokana na wengi wao kutokuwa na wazazi huku walezi wao wakiwa hawana uwezo wa kuwapatia mahitaji ya msingi.
10 years ago
Tanzania Daima22 Sep
Jamii yaaswa kuacha imani potofu
JAMII imetakiwa kuacha imani potofu na kutoa ushirikiano kikamilifu katika ukusanyaji wa takwimu kwa kila kaya nchini ili kuwezesha Serikali kupanga mipango mbalimbali ya maendeleo katika kuboresha huduma na sera...
10 years ago
Tanzania Daima30 Oct
Jamii yaaswa mapambano dhidi ya mihadarati
KAMANDA wa Polisi Mkoa wa Dodoma, David Misime, ametoa wito kwa jamii kuwa mstari wa mbele katika mapambano dhidi ya dawa za kulevya kwa kuwa vita hiyo ni ya kimataifa....
10 years ago
Mtanzania12 Jun
Jamii yaaswa kununua bidhaa mtandaoni
Na Mwandishi Wetu, Dar es Salaam
JAMII imetakiwa kuendelea kuwa na imani na wafanyabiashara wanaouza bidhaa kupitia mitandao kwa kuwa ni moja ya njia rahisi ya kuwafikia wateja waliokuwa katika maeneo mbalimbali.
Akizungumza Dar es Salaam jana katika warsha ya wauzaji wa magari kutoka Tanzania Bara na Zanzibar, Meneja wa Masoko wa Mtandao wa Cheki kuwakutanisha wafanyabiashara wa magari Tanzania, Mori Bencus, alisema wananchi wana tatizo kubwa la kutowaamini wafanyabiashara wa mitandao na...
11 years ago
MichuziJAMII YAASWA KUWASAIDIA WATOTO YATIMA
10 years ago
StarTV05 Jan
Jamii yaaswa kuzingatia haki za watoto.
Na Marcus/Dida,
Mwanza.
Watanzania wameaswa kuzingatia haki za watoto za kupendwa, kusikilizwa na kupata stahili zote muhimu ili kupata Taifa lenye watu waliopata malezi mema.
Kukithiri kwa vitendo vya unyanyasaji wa watoto ni mfano mbaya kutoka kwa walezi ambao humsababishia mtoto huyo kuishi maisha ya huzuni na kisasi kwa aliyotendewa.
Ni wito kutoka kwa Askofu mkuu wa Jimbo kuu la Mwanza Jude Thaddeus Ruwa’ichi wakati wa maadhimisho ya sikukuu ya Epifania iliyofanyika Parokia ya...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/JSct6ft9ycTmep8PGjb61Pa7kN7XFGCWGLWn*cydTAFV0EGPe6SnOSrnEXR*WrqlQI3p0KvO5jrnxfWRxNRgo2Ga0AfgmnYM/1CBE1.jpg?width=650)
JAMII YAASWA KUCHANGIA MAENDELEO YA ELIMU