Jamii yaaswa kulea yatima
JAMII imetakiwa kushirikiana kwa pamoja kulea yatima na wanaoishi katika mazingira hatarishi kutokana na wengi wao kutokuwa na wazazi huku walezi wao wakiwa hawana uwezo wa kuwapatia mahitaji ya msingi.
habarileo
Habari Zinazoendana
11 years ago
MichuziJAMII YAASWA KUWASAIDIA WATOTO YATIMA
10 years ago
Habarileo20 Jun
‘Jukumu la kulea yatima ni la kila mtu’
JUKUMU la malezi ya watoto yatima na waishio katika mazingira magumu nchini linapaswa kutekelezwa na kila Mtanzania pamoja na taasisi mbalimbali nchini ili kupunguza wimbi la wananchi tegemezi.
10 years ago
Mwananchi22 Jul
Kituo cha kulea tembo yatima kina tija kwa Taifa?
10 years ago
MichuziJAMII YAASWA KUTOWAFICHA WALEMAVU
NA DENIS...
10 years ago
Habarileo17 Aug
Jamii yaaswa kupanda miti
SHIRIKA lisilo la kiserikali la Solar Oven Society Africa limetaka jamii kupanda miti kwa wingi katika maeneo yao ili kulinda na kuhifadhi mazingira na kuepusha nchi kugeuka jangwa.
10 years ago
MichuziJWTZ lasherehekea Miaka 50 kwa kuvisaidia vituo vya kulea watoto yatima
10 years ago
GPLJAMII YAASWA KUCHANGIA MAENDELEO YA ELIMU
10 years ago
StarTV05 Jan
Jamii yaaswa kuzingatia haki za watoto.
Na Marcus/Dida,
Mwanza.
Watanzania wameaswa kuzingatia haki za watoto za kupendwa, kusikilizwa na kupata stahili zote muhimu ili kupata Taifa lenye watu waliopata malezi mema.
Kukithiri kwa vitendo vya unyanyasaji wa watoto ni mfano mbaya kutoka kwa walezi ambao humsababishia mtoto huyo kuishi maisha ya huzuni na kisasi kwa aliyotendewa.
Ni wito kutoka kwa Askofu mkuu wa Jimbo kuu la Mwanza Jude Thaddeus Ruwa’ichi wakati wa maadhimisho ya sikukuu ya Epifania iliyofanyika Parokia ya...
11 years ago
Habarileo20 Mar
Jamii yaaswa kuhusu dawa ya meno
JAMII imeaswa kukagua dawa ya meno kabla ya kutumia kujiridhisha na ubora na viwango.