JAMII YAASWA KUWASAIDIA WATOTO YATIMA
Mkuu wa Wilaya ya Kilolo Gerald Guninita akimkabidhi zawadi Blessing Kikoti mwanafunzi wa darasa la nne aliyefanya vizuri katika masomo yake kwa kuwa wa kwanza katika masomo.
Mkuu Mkuu wa Wilaya ya Kilolo Gerald Guninita akihutubia.(picha zote na Denis Mlowe)
Kaimu Mkurugenzi wa Wilaya ya Kilolo Ulbad Wampemba akizungumza na watoto na wananchi waliohudhuria maadhimisho ya siku ya mtoto wa afrika kiwalaya yalifanyika katika ofisi za kijiji cha Ilamba kata ya Dabaga tarafa ya Kilolo...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Habarileo01 Sep
Jamii yaaswa kulea yatima
JAMII imetakiwa kushirikiana kwa pamoja kulea yatima na wanaoishi katika mazingira hatarishi kutokana na wengi wao kutokuwa na wazazi huku walezi wao wakiwa hawana uwezo wa kuwapatia mahitaji ya msingi.
10 years ago
StarTV05 Jan
Jamii yaaswa kuzingatia haki za watoto.
Na Marcus/Dida,
Mwanza.
Watanzania wameaswa kuzingatia haki za watoto za kupendwa, kusikilizwa na kupata stahili zote muhimu ili kupata Taifa lenye watu waliopata malezi mema.
Kukithiri kwa vitendo vya unyanyasaji wa watoto ni mfano mbaya kutoka kwa walezi ambao humsababishia mtoto huyo kuishi maisha ya huzuni na kisasi kwa aliyotendewa.
Ni wito kutoka kwa Askofu mkuu wa Jimbo kuu la Mwanza Jude Thaddeus Ruwa’ichi wakati wa maadhimisho ya sikukuu ya Epifania iliyofanyika Parokia ya...
10 years ago
Michuzi![](http://img.youtube.com/vi/6dRkt71jUG8/default.jpg)
10 years ago
Tanzania Daima01 Nov
Jamii yatakiwa kuwasaidia watoto waishio kwenye mazingira magumu
JAMII nchini imetakiwa kuona umuhimu na wajibu wa kuwalea na kuwasaidia watoto wanaoishi katika mazingira magumu ili waweze kufikia ndoto zao katika kimaisha. Ushauri huo umetolewa na Katibu Mtendaji wa...
11 years ago
Dewji Blog17 Jun
DC Makete atoa rai kwa jamii ya Makete kusaidia watoto yatima na waishio kwenye mazingira hatarishi
Mkuu wa wilaya ya Makete mwenye suti nyeusi (aliyesuka nywele) Mh. Josephine Matiro, mkurugenzi wa kituo cha sheria na haki za binadamu Helen Kijo Bisimba (kulia kwa mkuu wa wilaya) wakiwa katika picha ya pamoja na baadhi ya watoto walioshiriki maadhimisho hayo.
Na Mwandishi wetu
Imeelezwa kuwa ni jukumu la kila mmoja kuwasaidia watoto yatima na wanaoishi katika mazingira hatarishi, na si kuiachia serikali ama mashirika yasiyo ya kiserikali peke yao kufanya kazi hiyo
Kauli hiyo imetolewa...
10 years ago
Habarileo17 Aug
Jamii yaaswa kupanda miti
SHIRIKA lisilo la kiserikali la Solar Oven Society Africa limetaka jamii kupanda miti kwa wingi katika maeneo yao ili kulinda na kuhifadhi mazingira na kuepusha nchi kugeuka jangwa.
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-cXVr3TNwQs4/VTYc7LlLr0I/AAAAAAAC3X4/2GgnLYO9lus/s72-c/20150418_164243.jpg)
JAMII YAASWA KUTOWAFICHA WALEMAVU
![](http://2.bp.blogspot.com/-cXVr3TNwQs4/VTYc7LlLr0I/AAAAAAAC3X4/2GgnLYO9lus/s1600/20150418_164243.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-D7QabrBUtHE/VTYcyVuQmHI/AAAAAAAC3Xo/NyHG81Fm2Qg/s1600/20150418_164402.jpg)
NA DENIS...
11 years ago
Michuzi16 Jun
MKUU WA WILAYA YA MAKETE ATOA RAI KWA JAMII YA MAKETE KUSAIDIA WATOTO YATIMA NA WAISHIO KWENYE MAZINGIRA HATARISHI
11 years ago
Habarileo20 Mar
Jamii yaaswa kuhusu dawa ya meno
JAMII imeaswa kukagua dawa ya meno kabla ya kutumia kujiridhisha na ubora na viwango.