JAMII YAASWA KUWAFUNGULIA WATOTO AKAUNTI KWA AKIBA YA BAADAE
![](http://img.youtube.com/vi/6dRkt71jUG8/default.jpg)
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-RcXmsxxaQ4c/U7qrDThkV1I/AAAAAAABCAA/Et20o0zs3aE/s72-c/w1.jpg)
BENKI YA CRDB YAWASHAURI WAZAZI KUWAFUNGULIA WATOTO AKAUNTI YA JUMBO JUNIOR
BENKI ya CRDB imewataka wazazi kuwafungulia watoto akaunti ya Junior Jumbo kwa ajili ya akiba yao ya baadae.
Akizungumza katika maonesho ya 38 ya biashara ya Kimataifa Dar es salaam, Ofisa Masoko wa CRDB, Nazareth Kipingo, alisema akaunti hiyo ni kwa ajili ya watoto ambapo mzazi huifadhi fedha kwa ajili ya ada au akiba ya mtoto katika maisha yake ya baadae.
Alisema akaunti hiyo itamsaidia mzazi kuweka fedha kimkakati ambapo atatakiwa kutoa mara nne kwa mwaka katika msimu...
10 years ago
StarTV05 Jan
Jamii yaaswa kuzingatia haki za watoto.
Na Marcus/Dida,
Mwanza.
Watanzania wameaswa kuzingatia haki za watoto za kupendwa, kusikilizwa na kupata stahili zote muhimu ili kupata Taifa lenye watu waliopata malezi mema.
Kukithiri kwa vitendo vya unyanyasaji wa watoto ni mfano mbaya kutoka kwa walezi ambao humsababishia mtoto huyo kuishi maisha ya huzuni na kisasi kwa aliyotendewa.
Ni wito kutoka kwa Askofu mkuu wa Jimbo kuu la Mwanza Jude Thaddeus Ruwa’ichi wakati wa maadhimisho ya sikukuu ya Epifania iliyofanyika Parokia ya...
11 years ago
MichuziJAMII YAASWA KUWASAIDIA WATOTO YATIMA
10 years ago
Habarileo01 Sep
Jamii yaaswa kulea yatima
JAMII imetakiwa kushirikiana kwa pamoja kulea yatima na wanaoishi katika mazingira hatarishi kutokana na wengi wao kutokuwa na wazazi huku walezi wao wakiwa hawana uwezo wa kuwapatia mahitaji ya msingi.
10 years ago
Habarileo17 Aug
Jamii yaaswa kupanda miti
SHIRIKA lisilo la kiserikali la Solar Oven Society Africa limetaka jamii kupanda miti kwa wingi katika maeneo yao ili kulinda na kuhifadhi mazingira na kuepusha nchi kugeuka jangwa.
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-cXVr3TNwQs4/VTYc7LlLr0I/AAAAAAAC3X4/2GgnLYO9lus/s72-c/20150418_164243.jpg)
JAMII YAASWA KUTOWAFICHA WALEMAVU
![](http://2.bp.blogspot.com/-cXVr3TNwQs4/VTYc7LlLr0I/AAAAAAAC3X4/2GgnLYO9lus/s1600/20150418_164243.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-D7QabrBUtHE/VTYcyVuQmHI/AAAAAAAC3Xo/NyHG81Fm2Qg/s1600/20150418_164402.jpg)
NA DENIS...
10 years ago
Tanzania Daima22 Sep
Jamii yaaswa kuacha imani potofu
JAMII imetakiwa kuacha imani potofu na kutoa ushirikiano kikamilifu katika ukusanyaji wa takwimu kwa kila kaya nchini ili kuwezesha Serikali kupanga mipango mbalimbali ya maendeleo katika kuboresha huduma na sera...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/JSct6ft9ycTmep8PGjb61Pa7kN7XFGCWGLWn*cydTAFV0EGPe6SnOSrnEXR*WrqlQI3p0KvO5jrnxfWRxNRgo2Ga0AfgmnYM/1CBE1.jpg?width=650)
JAMII YAASWA KUCHANGIA MAENDELEO YA ELIMU
10 years ago
Tanzania Daima30 Oct
Jamii yaaswa mapambano dhidi ya mihadarati
KAMANDA wa Polisi Mkoa wa Dodoma, David Misime, ametoa wito kwa jamii kuwa mstari wa mbele katika mapambano dhidi ya dawa za kulevya kwa kuwa vita hiyo ni ya kimataifa....