Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


BENKI YA CRDB YAWASHAURI WAZAZI KUWAFUNGULIA WATOTO AKAUNTI YA JUMBO JUNIOR

Na Mwandishi Wetu
BENKI ya CRDB imewataka wazazi kuwafungulia watoto akaunti ya Junior Jumbo kwa ajili ya akiba yao ya baadae.

Akizungumza katika maonesho ya 38 ya biashara ya Kimataifa Dar es salaam, Ofisa Masoko wa CRDB, Nazareth Kipingo, alisema akaunti hiyo ni kwa ajili ya watoto ambapo mzazi huifadhi fedha kwa ajili ya ada au akiba ya mtoto  katika maisha yake ya baadae.

Alisema akaunti hiyo itamsaidia mzazi kuweka fedha kimkakati ambapo atatakiwa kutoa mara nne kwa mwaka katika msimu...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Michuzi

BENKI YA CRDB YAADHIMISHA SIKU YA MTOTO WA AFRIKA KWA KUTUMIA AKAUNTI YA JUNIOR JUMBO

Na Mwandishi Wetu
Benki ya CRDB imetoa misaada mbalimbali kwa watoto wasiojiweza katika kituo cha Msimbazi centre.
Hatua hiyo imetokana na maadhimisho ya siku ya mtoto wa Afrika yenye kauli mbiu ya elimu bora kwa wote.


Akizungumza Jana jijini Dar es salaam Meneja wa benki hiyo Tawi la Premier, Fabiola Mussula, alisema kuwa benki hiyo imeadhimisha siku ya mtoto  wa Afrika kwa kupitia akaunti ya Junior Jumbo.


Alisema kuwa akaunti ya mtoto  humsaidia mzazi kuhakikisha anahifadhi ada na...

 

10 years ago

Michuzi

BENKI YA CRDB TAWI LA MLIMANI CITY YAADHIMISHA SIKU YA MTOTO WA AFRIKA NA JUMBO JUNIOR ACCOUNT

Keki iliyoandaliwa na wafanyakazi wa Benki ya CRDB tawi la Mlimani City wakati wa maadhimisho ya Siku ya Mtoto wa Afrika.Watoto Halima Revocatus (7) na Filex Mustach (6) wakikata keki wakati wa maadhimisho ya Siku ya Mtoto Afrika yaliyofanyika katika tawi la Benki ya CRDB Mlimani City jijini Dar es Salaam, Benki ya CRDB uadhimisha Siku ya Mtoto wa Afrika kila mwaka. Ujumbe wa mwaka huu ni Timiza Ndoto Yako na Junior Jumbo Account. Nyuma ya watoto hao ni Naibu Mkurugenzi Uendeshaji na Huduma...

 

11 years ago

Tanzania Daima

CRDB yahamasisha akaunti za watoto

WAZAZI wameshauri kujenga mazoea ya kuwafungulia watoto wao akaunti ya Junior Jumbo itakayowasaidia katika maisha ya baadaye. Ushauri huo ulitolewa jijini Dar es Salaam jana na Ofisa Masoko wa CRDB,...

 

11 years ago

Michuzi

WAZAZI WAKUMBUKENI WATOTO YATIMA-NBC BENKI

Mkuu wa kituo cha Kulelea watoto yatima cha Msimbazi Centre Sister. Ehienne(kushoto),akipokea moja ya msaada wa katoni ya pambazi kwaajili ya matumizi ya watoto wanaolelewa katika kituo hicho toka kwa Mkurugenzi Mtendeji wa Benki ya Biashara ya NBC Tanzania,Bi.Mizinga Melu(katikati) Mkurugenzi huyo alikabidhi vitu mbalimbali kama vile mchele ,mafuta na mashine ya kusagia juisi baada ya kuguswa kama mzazi na maisha ya watoto hao wanaolelewa katika kituo hicho,kulia ni Katibu Mhitasi wa...

 

11 years ago

GPL

WAZAZI WAKUMBUKENI WATOTO YATIMA - BENKI‏ YA NBC

Mkuu wa kituo cha Kulelea watoto yatima cha Msimbazi Centre Sister Ehienne (kushoto), akipokea moja ya msaada wa katoni ya pambasi kwa ajili ya matumizi ya watoto wanaolelewa katika kituo hicho toka kwa Mkurugenzi  Mtendeji wa Benki ya Biashara ya NBC  Tanzania, Bi. Mizinga Melu (katikati) Mkurugenzi huyo alikabidhi vitu mbalimbali kama vile mchele, mafuta na mashine ya kusagia juisi baada ya kuguswa kama mzazi na maisha...

 

9 years ago

Michuzi

WAFANYAKAZI WA BENKI YA CRDB WAKISHIRIKI MICHEZO MBALIMBALI KATIKA SIKU YA FAMILIA YA CRDB


 Watoto wakifurahia michezo mbalimbali   katika viwanja vya Olasiti Garden
leo katika sherehe za siku ya familia ya CRDB ambazo  hufanyika kila mwaka
na kuhudhuriwa na familia za wafnayakazi wa benki pamoja na familia za
wateja. Malindi band ya mkoani kilimanjaro ikitumbuiza sherehe za siku ya familia ya CRDB ambazo  hufanyika kila mwaka na kuhudhuriwa na familia za wafanyakazi wa benki pamoja na familia za wateja.Mfanyakazi wa Benki ya CRDB tawi la USA akikabidhi zawadi kwa mtoto.
KWA PICHA...

 

10 years ago

Michuzi

BENKI YA UWEKEZAJI YA ULAYA (E.I.B), YAIPIGA JEKI BENKI YA CRDB

BENKI ya CRDB imesaini mkataba wa mkopo wa sh. bilioni 43 baina ya benki ya uwekezaji Ulaya (E.I.B) kwa ajili ya kuwakopesha na kuwasaidia wafanyabiashara wanaofanya shughuli za kukuza uchumi.

Akizungumza jijini Dar es Salaam, mwishoni mwa wiki Mkurugenzi Mtendaji wa CRDB, Dk. Charles Kimei alisema benki yake kwa kushirikiana na EIB imeamuwa kusaidia jamii nchini hivyo mkataba huo ni mwanzo wa ushirikiano endelevu utakaohamasisha upatikanaji wa ajira.

Alisema kufanyakazi na benki ya EIB...

 

5 years ago

Michuzi

Benki ya CRDB yaichangia Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete sh. milioni 50 kwa ajili ya upasuaji wa moyo kwa watoto

Mkurugenzi wa Mawasiliano wa Benki ya CRDB, Tully Esther Mwambapa (kushoto) akimkabidhi Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI), Prof. Mohamed Janabi mfano wa hundi ya shilingi milioni 50 kwa ajili ya upasuaji wa moyo kwa watoto wanaotibiwa katika Taasisi hiyo, ikiwa ni kukamilisha ahadi yake ya kuchangia kiasi cha shilingi milioni 100 ili ziweze kufanikisha upasuaji wa moyo kwa watoto, makabidhaino hayo yamefanyika leo kwenye Taasisi hiyo,  jijini Dar es salaam.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani