WAFANYAKAZI WA BENKI YA CRDB WAKISHIRIKI MICHEZO MBALIMBALI KATIKA SIKU YA FAMILIA YA CRDB
Watoto wakifurahia michezo mbalimbali katika viwanja vya Olasiti Garden
leo katika sherehe za siku ya familia ya CRDB ambazo hufanyika kila mwaka
na kuhudhuriwa na familia za wafnayakazi wa benki pamoja na familia za
wateja. Malindi band ya mkoani kilimanjaro ikitumbuiza sherehe za siku ya familia ya CRDB ambazo hufanyika kila mwaka na kuhudhuriwa na familia za wafanyakazi wa benki pamoja na familia za wateja.
Mfanyakazi wa Benki ya CRDB tawi la USA akikabidhi zawadi kwa mtoto.
KWA PICHA...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
MichuziWAFANYAKAZI WA BENKI YA CRDB WASHEREHEKEA SIKU YA FAMILIA
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-WoWFIzie2aQ/XmJiSfdfAiI/AAAAAAALhnI/cHJ9qLANNhYad0AuROOudvy-gvsqrBsgACLcBGAsYHQ/s72-c/OTMI6887.jpg)
BENKI YA CRDB YAADHIMISHA SIKU YA WANAWAKE DUNIANI 2020 KWA KUHAMASISHA USAWA WA KIJINSIA KATIKA JAMII
![](https://1.bp.blogspot.com/-WoWFIzie2aQ/XmJiSfdfAiI/AAAAAAALhnI/cHJ9qLANNhYad0AuROOudvy-gvsqrBsgACLcBGAsYHQ/s640/OTMI6887.jpg)
Benki ya CRDB imefanya hafla ya kusherehekea ‘Siku ya Wanawake Dunia’ ikilenga kuhamasisha usawa wa kijinsia katika jamii. Akizungumza katika hafla hiyo, Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya CRDB, Abdulmajid Nsekela alisema Benki ya CRDB inachukulia kwa umuhimu suala la kumuwezesha mwanamke na ndiomana
Benki hiyo imetoa kipaumbele cha ajira kwa...
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-e217tcucHMI/VXhOAUZDscI/AAAAAAAHeeY/GH4vx2dKfuY/s72-c/unnamed%2B%252815%2529.jpg)
BENKI YA CRDB YADHAMINI TAMASHA LA MICHEZO NA AFYA JIJINI DAR
![](http://3.bp.blogspot.com/-e217tcucHMI/VXhOAUZDscI/AAAAAAAHeeY/GH4vx2dKfuY/s640/unnamed%2B%252815%2529.jpg)
10 years ago
MichuziBENKI YA CRDB YASAINI MKATABA WA HALI BORA ZA WAFANYAKAZI WAKE
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-l7QQDHEJEPc/XtUtLb1znBI/AAAAAAALsPE/KadnRm2RTNIBKc8_L_TC57llidvO1qXeACLcBGAsYHQ/s72-c/OTMI0141.jpg)
Wafanyakazi sasa kujiachia na riba hadi asilimia 14 kutoka Benki ya CRDB
![](https://1.bp.blogspot.com/-l7QQDHEJEPc/XtUtLb1znBI/AAAAAAALsPE/KadnRm2RTNIBKc8_L_TC57llidvO1qXeACLcBGAsYHQ/s640/OTMI0141.jpg)
===== ===== =====
Benki ya CRDB imezindua kampeni maalumu...
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-LahibZQR4L4/VDfV5JDXXnI/AAAAAAAAILs/KmNyhBBj4Wo/s72-c/IMG-20141008-WA0035.jpg)
WAFANYAKAZI WA BENKI YA CRDB TAWI LA MOSHI WAFURAHIA WIKI YA HUDUMA KWA WATEJA.
![](http://2.bp.blogspot.com/-LahibZQR4L4/VDfV5JDXXnI/AAAAAAAAILs/KmNyhBBj4Wo/s1600/IMG-20141008-WA0035.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-TdgpVauAgio/VDfV7uR4AHI/AAAAAAAAIL4/JuKQQt3u7Ss/s1600/IMG-20141008-WA0041.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-SJGCc8mAFgo/VDfV86J6atI/AAAAAAAAIL8/ja-CU59WrFI/s1600/IMG-20141008-WA0042.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-bGKhwpMfOL4/VDfV9Pm21II/AAAAAAAAIMA/ytCQxpDOQfo/s1600/IMG-20141008-WA0044.jpg)
10 years ago
MichuziBENKI YA CRDB NA TEKNOLOJIA KATIKA SOKA
Benki ya CRDB, imeendelea kuimarisha ushirikiano na Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) katika upatikanaji wa Tiketi za kieelectroniki kwa wapenzi wa soka.
Mfumo wa kupatikana Tiketi kwa njia ya Kielectroniki unalengo la kuongeza mapato ya TFF na hata kwa Vilabu vinavyoshiriki katika ligi inayodhaminiwa na TFF.
Jumapili kesho, tarehe 14/9/2014, Mfumo wa kielektroniki utatumika tena kuwauzia wapenzi wa soka tiketi kwa ajili ya kwenda kushuhudia mechi kali kati ya Yanga na AZAM, kuwania Ngao ya...
11 years ago
MichuziBENKI YA CRDB YAADHIMISHA SIKU YA MTOTO WA AFRIKA KWA KUTUMIA AKAUNTI YA JUNIOR JUMBO
Benki ya CRDB imetoa misaada mbalimbali kwa watoto wasiojiweza katika kituo cha Msimbazi centre.
Hatua hiyo imetokana na maadhimisho ya siku ya mtoto wa Afrika yenye kauli mbiu ya elimu bora kwa wote.
Akizungumza Jana jijini Dar es salaam Meneja wa benki hiyo Tawi la Premier, Fabiola Mussula, alisema kuwa benki hiyo imeadhimisha siku ya mtoto wa Afrika kwa kupitia akaunti ya Junior Jumbo.
Alisema kuwa akaunti ya mtoto humsaidia mzazi kuhakikisha anahifadhi ada na...
10 years ago
MichuziBENKI YA CRDB YAVUTIA WATU WENGI KATIKA MAONYESHO YA SABASABA
Akizungumza katika Maonyesho ya 39 ya Biashara ya Kimataifa maarufu kama sabasaba yanayofanyika katika viwanja vya Sabasaba, Ofisa wa benki hiyo, John Titus amesema kuwa banda lao linashughulika na kufungua akaunti na kumuhudumia mteja.
Aliongeza kuwa Benki ya CRDB pia imeweka Mobile Branch ambayo hufanya kazi zote zinazofanywa na benki hiyo ikiwemo huduma za kuweka fedha na kutoa.
Titus alisema pia...