Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Serikali za vijiji, mitaa, vitongoji zatakiwa kuwajibika

 

Serikali za vijiji, mitaa na vitongoji nchini zimetakiwa kuweka utaratibu wa kuwatambua watoto wenye ulemavu katika maeneo yao ili kuhakikisha kuwa wanaandikishwa shuleni badala ya kuacha jukumu hilo kwa wazazi na walezi ambao baadhi yao wanawaficha majumbani kwa imani potofu.

Wito huo umetolewa na baadhi ya viongozi wa vyama vya walemavu mkoani Singida wanaotekeleza mradi wa My Rights wilayani Iramba baada ya kuwatambua watoto 15 wenye ulemavu ambao licha ya kuwa na umri wa kwenda shule...

StarTV

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Tanzania Daima

Vijiji, vitongoji vipya kushiriki chaguzi Serikali za mitaa

MKURUGENZI Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Morogoro, Yona Maki, amesema jumla ya vijiji 151 na vitongoji 746 vitashiriki uchaguzi wa Serikali za Mitaa unaotarajiwa kufanyika Desemba mwaka huu. Akizungunguza...

 

5 years ago

Michuzi

RC Gambo Awaonya Wenyeviti wa Mitaa vijiji na Vitongoji

Na Ahmed Mahmoud Arusha

Mkuu wa mkoa wa Arusha Mrisho Gambo amesitisha kwa muda kuendelea na shughuli yeyote kwenye eneo la Losirwa kata ya Moshono hadi Serikali itakapotoa maelekezo Mengine ambapo amewaonya Wenyeviti wa Mitaa kuacha kuchukuwa fedha na kutoa vibali vya Ununuzi wa Ardhi kwenye maeneo yenye Migogoro.

Aidha Amezitaka halmashauri za wilaya kuacha kutoa vibali vya ujenzi kwa wananchi kwenye maeneo yenye migogoro kwa kuwa inaleta mikanganyiko kwenye jamii na kuleta ugumu wakati wa...

 

10 years ago

Michuzi

CCM YAONGOZA UCHAGUZI VIJIJI,VITONGOJI NA MITAA MKOA WA PWANI

Na John Gagarini, Kibaha
CHAMA Cha Mapinduzi (CCM) mkoani Pwani kimeonyesha kufanya vizuri kwenye uchaguzi wa serikali za Mitaa, Vitongoji na Vijiji ambapo kwenye matokeo ya awali kimeonekana kushinda maeneo mengi.
Katika Jimbo la Mafia CCM ilishinda vitongoji  96 kati ya 136 sawa na asilimia 70 Chama Cha Wananchi CUF asilimia 40 sawa na asilimia 29,katika vijiji  CCM ilishinda vijiji 19 kati ya 23 sawa na asilimia 82.6 CUF vijiji 4 sawa na asilimia 17.3.
Katika Jimbo la Kibaha Mjini kati ya...

 

10 years ago

Habarileo

Vitongoji 5 vyatishia kutoshiriki uchaguzi serikali za mitaa

VITONGOJI vitano katika Wilaya ya Chamwino mkoani Dodoma vimetishia kutoshiriki uchaguzi wa serikali za mitaa iwapo havitapewa hadhi ya kuwa vijiji.

 

10 years ago

Michuzi

SERIKALI ZA VIJIJI ZATAKIWA KUHUSISHA MAAFA YA MABADILIKO YA TABIANCHI NA MIPANGO YA MAENDELEO

Mshiriki wa Mafunzo  ya  utekelezaji mradi wa Kuimarisha mfumo wa habari za hali ya hewa na mifumo ya tahadhari ya mapema nchini akichangia wakati wa mafunzo hayo kwa wajumbe wa kamati za maafa za kata ya Makiba, wilayani Arumeru mkoani Arusha, mafunzo hayo yameratibiwa na Ofisi ya Waziri Mkuu kupitia mradi huo , Tarehe 13 Juni, 2015. Mratibu mradi kitaifa wa Kuimarisha mfumo wa habari za hali ya hewa na mifumo ya tahadhari ya mapema nchini, Alfei Daniel akifafanua jambo wakati wa mafunzo ya...

 

10 years ago

Habarileo

Serikali za mitaa zatakiwa kuanza kuhamilisha ng’ombe

WAZIRI Mkuu, Mizengo Pinda amezitaka Mamlaka za Serikali za Mitaa kuanzisha vitengo vidogo vitakavyoshughulikia uhamilishaji wa ng’ombe ili wafugaji wengi waweze kutumia huduma hiyo.

 

10 years ago

StarTV

Serikali za mitaa zatakiwa kutazama usalama wa watoto.

Na Maliganya Charahani,

Mwanza.

 

Serikali za mitaa bado hazijawekeza kudhibiti ipasavyo suala la ulinzi na usalama wa watoto hatua ambayo inaendeleza wimbi la ukatili kwa makundi ya watoto chini ya umri wa miaka kumi na mitano na kusababisha wengi wao kukimbilia mitaani na kulelewa kwenye vituo.

 

Hivi sasa zaidi ya watoto elfu kumi na moja wanaishi na kulelewa kwenye vituo mbalimbali hapa nchini ambapo zaidi ya vituo 180 havijasajiliwa hali ambayo inatia shaka makuzi na malezi sahihi ya...

 

9 years ago

Mwananchi

Lowassa: Nitalipa posho wenyeviti vijiji, vitongoji

Mgombea urais wa Chadema, Edward Lowassa ameahidi kuwalipa posho wenyeviti wa serikali za mitaa, vijiji na vitongoji iwapo atashinda.

 

11 years ago

Michuzi

TAMKO LA KIKUNDI KAZI CHA SERIKALI ZA MITAA CHA POLICY FORUM KUHUSU UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA 2014

 Mwenyekiti wa Kikundi Kazi cha Serikali za Mitaa kilicho chini ya Taasisi ya Policy Forum,Bw. Hebron Mwakageda (kushoto) akizungumza na waandishi wa habari (hawapo pichani) wakati wa kutoa tamkoa lao la Kuhusu Uchaguzi wa Serikali za Mitaa unaotaraji kufanyika mwaka huu.Makamu Mwenyekiti wa Taasisi ya Policy Forum,Bw. Israel Ilunde akifafanua jambo wakati mkutano huo na Waandishi wa habari (hawapo pichani) wakati wa kutoa tamkoa lao la Kuhusu Uchaguzi wa Serikali za Mitaa unaotaraji...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani