Magufuli: Nendeni vituoni kifua mbele
MGOMBEA urais kupitia CCM, Dk John Magufuli amewataka wananchi hasa wanawake, vijana na wazee kutotishika na maneno ya kuwazuia wasiende kumpigia kura na kuwataka waende vituoni kifua mbele, kumchagua kuwa Rais wa Awamu ya Tano ya Jamhuri ya Muungano ya Tanzania.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo24 Dec
Mkwasa: Yanga tembeeni kifua mbele.
![](http://www.ippmedia.com/media/picture/large/maswa-24Dec2014.jpg)
Kocha msaidizi wa Yanga, Boniface Mkwasa amewataka mashabiki wao kutembea kifua mbele kwa kuwa mafanikio yanakuja.Katika mkutano na waandishi wa habari kwenye ofisi za makao makuu ya Yanga jijini Dar es Salaam jana, Mkuu wa Idara ya Habari na Mawasiliano ya klabu hiyo, Jerry Muro alisema Mkwasa amemhakikisha kikosi chao kiko vizuri kambini mjini Bagamoyo, Pwani kujiandaa kwa mechi inayofuata dhidi ya Azam FC.
"Tumewasiliana na kocha msaidizi (Mkwasa)...
10 years ago
Mwananchi18 May
Wakulima wa Pareto waanza kutembea kifua mbele
11 years ago
Habarileo13 Apr
Watanzania watembea kifua mbele kwa tuzo ya Kikwete
TUZO ya uongozi bora aliyotunukiwa Rais Jakaya Kikwete jijini hapa Jumatano iliyopita na jarida moja la kimataifa la African Leadership imeelezwa kuwa imeliongezea nuru bara la Afrika na Tanzania kwa kutambua uongozi wake mahiri katika utawala na maendeleo.
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-Uvn2v8EsoTU/Xkv4Tfr_4jI/AAAAAAAAIHQ/78ZnBc47oZkR2ggV1rtNEO3E76aLYSbiQCEwYBhgL/s72-c/IMG-20200218-WA0061.jpg)
GAMBO WENYEVITI WA MITAA VIJIJI TEMBEENI KIFUA MBELE KWA KUJIAMINI
![](https://1.bp.blogspot.com/-Uvn2v8EsoTU/Xkv4Tfr_4jI/AAAAAAAAIHQ/78ZnBc47oZkR2ggV1rtNEO3E76aLYSbiQCEwYBhgL/s640/IMG-20200218-WA0061.jpg)
Aidha Mkoa wa Arusha unaweza kudhibiti vitendo vya kiuhalifu kwa raia iwapo viongozi kuanzia ngazi ya mtaa wataweza kuwajibika kwa nafasi zao kutekeleza majukumu ya kulinda usalama wa maeneo yao kwa kufichua wahalifu na vitendo vya kihalifu.
Hayo yameelezwa na Mkuu wa mkoa wa Arusha Mrisho Gambo...
10 years ago
VijimamboTAKUKURU YAMKINGIA KIFUA MKURUGENZI WA MANISPAA YA TABORA MBELE YA BARAZA LA MAADILI YA VIONGOZI WA UMMA
Na Dotto Mwaibale
KAMANDA wa Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (Takukuru), Wilaya ya Mkuranga, Damas...
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/pezQEPsid2gbW2uKNva7UdYsnIeYKwGMFH6pXR*zKZMlFsATJnkQGQ4QMXmEd1ww0uGkETWx152QLVxRuxZ5PqUn5CR4uYHX/bibi.jpg?width=650)
BIBI AANGUA KILIO MBELE YA MAGUFULI!
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-RNps0mWsUao/Vggdn6CjNDI/AAAAAAAH7bo/aw6kb8OvgEo/s72-c/unnamed%2B%252830%2529.jpg)
Dkt Magufuli aiteka makambako, wagombea wa Mafinga wa-Magufulikwa mbele yake
![](http://1.bp.blogspot.com/-RNps0mWsUao/Vggdn6CjNDI/AAAAAAAH7bo/aw6kb8OvgEo/s640/unnamed%2B%252830%2529.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-azsBK3-wUqk/Vggdn3UQtmI/AAAAAAAH7bw/A53IUJ7brS8/s640/unnamed%2B%252831%2529.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-dtP7xXStb0I/VggdnzTuMXI/AAAAAAAH7bs/Hz-nGXDo8s0/s640/unnamed%2B%252832%2529.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-qwqAbz2Fj78/VggdzyqIOfI/AAAAAAAH7cA/GmE-2Lo_SGM/s640/unnamed%2B%252828%2529.jpg)
9 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-RNps0mWsUao/Vggdn6CjNDI/AAAAAAAH7bo/aw6kb8OvgEo/s72-c/unnamed%2B%252830%2529.jpg)
DKT MAGUFULI AITEKA MAKAMBAKO, WAGOMBEA WA MAFINGA WA-MAGUFULIKA MBELE YAKE
![](http://1.bp.blogspot.com/-RNps0mWsUao/Vggdn6CjNDI/AAAAAAAH7bo/aw6kb8OvgEo/s640/unnamed%2B%252830%2529.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-azsBK3-wUqk/Vggdn3UQtmI/AAAAAAAH7bw/A53IUJ7brS8/s640/unnamed%2B%252831%2529.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-dtP7xXStb0I/VggdnzTuMXI/AAAAAAAH7bs/Hz-nGXDo8s0/s640/unnamed%2B%252832%2529.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-qwqAbz2Fj78/VggdzyqIOfI/AAAAAAAH7cA/GmE-2Lo_SGM/s640/unnamed%2B%252828%2529.jpg)
5 years ago
Bongo514 Feb
Juventus na Monaco mbele kwa mbele UEFA, Barca na Dortmund nje
Timu za Juventus na Monaco zimefanikiwa kufuzu katika hatua ya nusu fainali ya kombe la klabu bingwa barani Ulaya (Uefa) usiku wa Jumatano huku zikiungana na Real Madrid na Atletico Madrid ambazo zilifuzu katika hatua hiyo siku ya Jumanne.
Juventus imefanikiwa kuingia katika hatua hiyo kwa kuitoa Barcelona ya Hispania kwa jumla ya mabao 3-0 ambayo walishinda katika mchezo wao wa kwanza wiki iliyopita huku katika mchezo wa jana wakitoka sare ya 0-0.
Nao Monaco wametinga hatua hiyo kwa...