Michezo ya Jumuiya ya madola kuandaliwa AK
Mji wa Durban nchini Afrika Kusini utakuwa mji wa kwanza barani Afrika kuandaa mashindano ya Jumuiya ya Madola mwaka wa 2022
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-tw3I4pGpTrs/U81B9I1IQJI/AAAAAAAF4Zk/gsfvIwWNHE8/s72-c/unnamed+(25).jpg)
Timu ya Tanzania kwenye michezo ya Jumuiya ya Madola yakaribishwa rasmi leo katika kijiji maalum cha michezo hiyo Glasgow
![](http://2.bp.blogspot.com/-tw3I4pGpTrs/U81B9I1IQJI/AAAAAAAF4Zk/gsfvIwWNHE8/s1600/unnamed+(25).jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-MsQsA4MGUH4/U81CPq1azgI/AAAAAAAF4Zs/Ez3Ku5uJzjo/s1600/unnamed+(27).jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-q9fCvirgHPg/U81CR6aWs3I/AAAAAAAF4Z0/TR6-ys7TT3Y/s1600/unnamed+(26).jpg)
11 years ago
BBCSwahili23 Jul
Michezo ya Jumuiya ya Madola kuanza-Glascow
Mashindano ya Jumuiya ya Madola kufunguliwa rasmi hii leo mjini Glascow, Scotland na Malkia wa Uingereza
11 years ago
Mwananchi24 Feb
Bingwa wa Michezo ya Jumuiya ya Madola anayeosha magari
Maisha yangu yalianza kuwa magumu baada ya kutolewa amri nifukuzwe kazi ndani ya saa 24,†ndivyo anaanza kusimulia kwa huzuni bingwa wa uzani wa bantam na bondia pekee aliyewahi kuiletea Tanzania medali ya dhahabu ya Michezo ya Jumuiya ya Madola, Michael Yombayomba ‘Golden Boy’ .
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-CmF120L7dSQ/U8zjoFd81yI/AAAAAAAF4Us/H5gePgEsZVk/s72-c/unnamed+(35).jpg)
MH. NKAMIA ASHIRIKI MKUTANO WA MAWAZIRI WA MICHEZO WA JUMUIYA YA MADOLA NCHINI SCOTLAND
![](http://4.bp.blogspot.com/-CmF120L7dSQ/U8zjoFd81yI/AAAAAAAF4Us/H5gePgEsZVk/s1600/unnamed+(35).jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-WYXpvkBiGUY/U8jMRs-BtyI/AAAAAAAF3O0/6ZXyLblFyBk/s72-c/unnamed+(32).jpg)
TIMU YA TANZANIA KATIKA MICHEZO YA JUMUIYA YA MADOLA YATUA JIJINI GLASGOW, SCOTLAND
![](http://4.bp.blogspot.com/-WYXpvkBiGUY/U8jMRs-BtyI/AAAAAAAF3O0/6ZXyLblFyBk/s1600/unnamed+(32).jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-hEegx7oY_3M/U8jMR7Qlf2I/AAAAAAAF3PA/jwMeUAij4R0/s1600/unnamed+(33).jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-L8sihgQbiEI/U9A3VOjifwI/AAAAAAAF5VA/W2gMTx3Vda0/s72-c/20140723-232442-84282351.jpg)
Bendera ya Tanzania yameremeta katika sherehe za ufunguzi wa Michezo ya Jumuiya ya madola Glasgow, Scotland
![](http://3.bp.blogspot.com/-L8sihgQbiEI/U9A3VOjifwI/AAAAAAAF5VA/W2gMTx3Vda0/s1600/20140723-232442-84282351.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-wzK4qKjPzJ0/U9A3VfBx1dI/AAAAAAAF5VE/6MAsEp4_j94/s1600/20140723-232442-84282431.jpg)
10 years ago
GPLMKUTANO WA JUMUIYA YA MADOLA KUFANYIKA DAR
Ofisa Habari wa Ofisi ya Rais Utumishi wa Umma, Florence Temba (kushoto), Kaimu Katibu Mkuu Ofisi ya Rais Utumishi wa Umma, HAB Mkwizu, Mkurugenzi wa Idara ya Maendeleo ya Rasilimaliwatu katika Utumishi wa Umma, Roxana Kijazi pamoja na meneja mafunzo wa wakala wa utumishi kwa njia ya mtandao, Dickson Mwanyika (kulia). Kaimu Katibu Mkuu wa Utumishi wa Umma, Hab Mkwizu akizungumza jambo katika… ...
11 years ago
Mwananchi20 Jul
Mabunge Jumuiya ya Madola kuijadili Afrika
Mabunge ya nchi za Jumuiya ya Madola (CPA), Kanda ya Afrika yanakutana Arusha kuanzia leo kujadili utekelezaji wa misingi mikuu ya Jumuiya hiyo ambayo ni utawala bora, demokrasia na haki za binadamu.
11 years ago
Habarileo20 Jul
Wabunge Jumuiya ya Madola wakutana Arusha
MKUTANO wa 45 wa Umoja wa Mabunge ya Jumuiya ya Madola Kanda ya Afrika (CPA) unatarajia kufanyika kwa wiki moja kuanza leo jijini hapa, huku masuala ya afya ya mama na mtoto, unyanyasaji wa wanawake na ajira kwa vijana vikiwa ni kipaumbele katika mkutano huo.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania