Mabunge Jumuiya ya Madola kuijadili Afrika
Mabunge ya nchi za Jumuiya ya Madola (CPA), Kanda ya Afrika yanakutana Arusha kuanzia leo kujadili utekelezaji wa misingi mikuu ya Jumuiya hiyo ambayo ni utawala bora, demokrasia na haki za binadamu.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-e_u6N5etkyQ/U9F8sQdveQI/AAAAAAAF54g/wyvXwr04D90/s72-c/unnamed+(24).jpg)
DKT BILALI AFUNGUA Mkutano wa 45 wa Chama cha Mabunge ya Nchi Wanachama wa Jumuiya ya Madola kanda ya Afrika (CPA Africa Region)
![](http://4.bp.blogspot.com/-e_u6N5etkyQ/U9F8sQdveQI/AAAAAAAF54g/wyvXwr04D90/s1600/unnamed+(24).jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-mOVzBKK60PI/U9F8sZNXDwI/AAAAAAAF54w/lFWFVWnZnrg/s1600/unnamed+(25).jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-H_oCY5WyiJ8/U8mibF2owSI/AAAAAAAF3nk/l2EA8aIgNAA/s72-c/Spika+akiwasili+Arusha+(1).jpg)
SPIKA ANNE MAKINDA AWASILI ARUSHA, AKAGUA UKUMBI UTAOTUMIKA KATIKA Mkutano wa 45 wa Mabunge wa Nchi wanachama wa Jumuiya ya Madola kwa Kanda ya Bara la Afrika u
![](http://4.bp.blogspot.com/-H_oCY5WyiJ8/U8mibF2owSI/AAAAAAAF3nk/l2EA8aIgNAA/s1600/Spika+akiwasili+Arusha+(1).jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-BSp3XrGLA-c/U8midzZYHaI/AAAAAAAF3nw/jOZkK1uCSdw/s1600/Spika+akikaguwa+ukumbi.jpg)
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/826oIv68Xggv8vEb*aundMkHJQUqIlUVvVd4BHuVJCPwpd6dcXMiLUJxBwMo*0Fxh0fLCksunI17UhHjLsPveGkaXQf-FEHP/spika1.jpg?width=650)
SPIKA ANNE MAKINDA AWASILI ARUSHA, AKAGUA UKUMBI UTAOTUMIKA KATIKA MKUTANO WA 45 WA MABUNGE WA NCHI WANACHAMA WA JUMUIYA YA MADOLA
Spika wa Bunge, Mhe Anne Makinda akizungumza na Mkuu wa Mkoa wa Arusha, Mhe Magese Mulongo (kulia) baada ya kuwasili katika Uwanja wa Ndege wa Arusha, jana tayari kwa kuhudhuria Mkutano wa 45 wa Mabunge wa Nchi wanachama wa Jumuiya ya Madola kwa Kanda ya Bara la Afrika utakaoanza tarehe 20 hadi 27 Julai Mjini Arusha .
Spika wa Bunge, Mhe Anne Makinda akipewa maelezo na Mkurugenzi wa Habari, Elimu kwa Umma na Uhusiano...
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-oOvo2emXnAg/U4Hgzo3RMzI/AAAAAAAFk5s/ccEmCMjoKFI/s72-c/unnamed+(18).jpg)
SPIKA WA BUNGE ANNE MAKINDA KUFUNGUA SEMINA YA 24 YA CHAMA CHA MABUNGE WANACHAMA WA JUMUIYA YA MADOLA (CPA) KESHO, DAR ES SALAAM,
Spika wa Bunge kesho tarehe 26 Mei 2014 atakuwa mgeni rasmi katika ufunguzi wa Semina ya 25 ya Chama cha Wabunge wa Jumuiya ya Madola ambayo itafanyika hapa nchini kuanzia tarehe 25/05/2014 mpaka 31/05/2014.
emina hiyo ambayo ni mfululizo wa hatua za mafunzo na kubadilishana uzoefu kwa Wabunge wa nchi wanachama wa CPA itahudhuriwa na Wabunge zaidi ya 60 toka nchi 18 ambazo ni Australia, Ghana, Seychelles, Kenya Uganda na Nigeria.
Nchi nyingine ni pamoja na Sri Lanka, Bangladesh,...
10 years ago
Michuzi13 Jul
MKUTANO WA 12 WA WAKUU WA UTUMISHI WA UMMA WA NCHI ZA AFRIKA WANACHAMA WA JUMUIYA YA MADOLA K U FUNGULIWA LEO
![om1](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2015/07/om1.jpg)
![om2](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2015/07/om2.jpg)
![om3](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2015/07/om3.jpg)
Katibu Wakuu na watendaji mbalimbali wakijadili wakati wa kikao: kushoto ni Katibu Mkuu, Ofisi ya Waziri Mkuu . Dkt. Florens Turuka, akifuatiwa na Kaimu Katibu Mkuu, Ofisi ya Rais-Menejimneti ya...
10 years ago
MichuziMkutano wa 12 wa Wakuu wa Utumishi wa Umma wanachama wa Jumuiya ya Madola Barani Afrika waendelea jijini Dar es Salaam
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-jGtDXcmyC2o/VaNRNsS7tzI/AAAAAAAHpQA/nEOxWDbfxlk/s72-c/unnamed%2B%252821%2529.jpg)
MKUTANO WA 12 WA WAKUU WA UTUMISHI WA UMMA WA NCHI ZA AFRIKA WANACHAMA WA JUMUIYA YA MADOLA KUFUNGULIWA LEO DAR ES SALAAM
![](http://4.bp.blogspot.com/-jGtDXcmyC2o/VaNRNsS7tzI/AAAAAAAHpQA/nEOxWDbfxlk/s640/unnamed%2B%252821%2529.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-KLOItN84y1s/VaNRNTwnfOI/AAAAAAAHpP8/daBAxUIneC4/s640/unnamed%2B%252823%2529.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-yfZExtANHgE/VaAl6qmdrUI/AAAAAAAHoiw/8sqVkWfR-cA/s72-c/unnamed%2B%25286%2529.jpg)
Mkutano wa 12 wa Wakuu wa Utumishi wa Umma wa Nchi za Afrika wanachama wa Jumuiya ya Madola kufanyika jijini Dar es salaam
![](http://3.bp.blogspot.com/-yfZExtANHgE/VaAl6qmdrUI/AAAAAAAHoiw/8sqVkWfR-cA/s640/unnamed%2B%25286%2529.jpg)
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania