Michezo ya Jumuiya ya Madola kuanza-Glascow
Mashindano ya Jumuiya ya Madola kufunguliwa rasmi hii leo mjini Glascow, Scotland na Malkia wa Uingereza
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-tw3I4pGpTrs/U81B9I1IQJI/AAAAAAAF4Zk/gsfvIwWNHE8/s72-c/unnamed+(25).jpg)
Timu ya Tanzania kwenye michezo ya Jumuiya ya Madola yakaribishwa rasmi leo katika kijiji maalum cha michezo hiyo Glasgow
![](http://2.bp.blogspot.com/-tw3I4pGpTrs/U81B9I1IQJI/AAAAAAAF4Zk/gsfvIwWNHE8/s1600/unnamed+(25).jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-MsQsA4MGUH4/U81CPq1azgI/AAAAAAAF4Zs/Ez3Ku5uJzjo/s1600/unnamed+(27).jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-q9fCvirgHPg/U81CR6aWs3I/AAAAAAAF4Z0/TR6-ys7TT3Y/s1600/unnamed+(26).jpg)
9 years ago
BBCSwahili02 Sep
Michezo ya Jumuiya ya madola kuandaliwa AK
Mji wa Durban nchini Afrika Kusini utakuwa mji wa kwanza barani Afrika kuandaa mashindano ya Jumuiya ya Madola mwaka wa 2022
11 years ago
Mwananchi24 Feb
Bingwa wa Michezo ya Jumuiya ya Madola anayeosha magari
Maisha yangu yalianza kuwa magumu baada ya kutolewa amri nifukuzwe kazi ndani ya saa 24,†ndivyo anaanza kusimulia kwa huzuni bingwa wa uzani wa bantam na bondia pekee aliyewahi kuiletea Tanzania medali ya dhahabu ya Michezo ya Jumuiya ya Madola, Michael Yombayomba ‘Golden Boy’ .
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-CmF120L7dSQ/U8zjoFd81yI/AAAAAAAF4Us/H5gePgEsZVk/s72-c/unnamed+(35).jpg)
MH. NKAMIA ASHIRIKI MKUTANO WA MAWAZIRI WA MICHEZO WA JUMUIYA YA MADOLA NCHINI SCOTLAND
![](http://4.bp.blogspot.com/-CmF120L7dSQ/U8zjoFd81yI/AAAAAAAF4Us/H5gePgEsZVk/s1600/unnamed+(35).jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-WYXpvkBiGUY/U8jMRs-BtyI/AAAAAAAF3O0/6ZXyLblFyBk/s72-c/unnamed+(32).jpg)
TIMU YA TANZANIA KATIKA MICHEZO YA JUMUIYA YA MADOLA YATUA JIJINI GLASGOW, SCOTLAND
![](http://4.bp.blogspot.com/-WYXpvkBiGUY/U8jMRs-BtyI/AAAAAAAF3O0/6ZXyLblFyBk/s1600/unnamed+(32).jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-hEegx7oY_3M/U8jMR7Qlf2I/AAAAAAAF3PA/jwMeUAij4R0/s1600/unnamed+(33).jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-L8sihgQbiEI/U9A3VOjifwI/AAAAAAAF5VA/W2gMTx3Vda0/s72-c/20140723-232442-84282351.jpg)
Bendera ya Tanzania yameremeta katika sherehe za ufunguzi wa Michezo ya Jumuiya ya madola Glasgow, Scotland
![](http://3.bp.blogspot.com/-L8sihgQbiEI/U9A3VOjifwI/AAAAAAAF5VA/W2gMTx3Vda0/s1600/20140723-232442-84282351.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-wzK4qKjPzJ0/U9A3VfBx1dI/AAAAAAAF5VE/6MAsEp4_j94/s1600/20140723-232442-84282431.jpg)
11 years ago
Tanzania Daima16 Jul
Kikwete ataka medali Jumuiya ya Madola
RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Jakaya Kikwete, amewataka wachezaji wa michezo mbalimbali wanaokwenda leo kushiriki mashindano ya Jumuiya ya Madola, kutambua heshima ya ushiriki wao na nchi pia....
10 years ago
GPLMKUTANO WA JUMUIYA YA MADOLA KUFANYIKA DAR
Ofisa Habari wa Ofisi ya Rais Utumishi wa Umma, Florence Temba (kushoto), Kaimu Katibu Mkuu Ofisi ya Rais Utumishi wa Umma, HAB Mkwizu, Mkurugenzi wa Idara ya Maendeleo ya Rasilimaliwatu katika Utumishi wa Umma, Roxana Kijazi pamoja na meneja mafunzo wa wakala wa utumishi kwa njia ya mtandao, Dickson Mwanyika (kulia). Kaimu Katibu Mkuu wa Utumishi wa Umma, Hab Mkwizu akizungumza jambo katika… ...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/JH0C62scBfBU8xpLL0tH-*2-mCjU2ZK7smz1xFrhv4*2PwQ8vLdfUCn5pDWw3Hture9dOqiQV3uwCtDBAhgpfxKlFybSNqOV/MO.jpg)
MO FARAH AJITOA MASHINDANO YA JUMUIYA YA MADOLA
Mo Farah amejiondoa katika michuano hiyo kwa kutokuwa fiti. MWANARIADHA wa Uingereza, Mo Farah, amejitoa katika Mashindano ya Jumuiya ya Madola yaliyoanza jana mjini Glasgow, Scotland kutokana na kusumbuliwa na maradhi. Mjamaica Usain Bolt yeye atashiriki michuano hiyo. Mo amekuwa akisumbuliwa na maradhi kwa wiki za karibuni ila ataendelea kujifua kwa ajili ya michuano mingine ijayo.… ...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania