MO FARAH AJITOA MASHINDANO YA JUMUIYA YA MADOLA
![](http://api.ning.com:80/files/JH0C62scBfBU8xpLL0tH-*2-mCjU2ZK7smz1xFrhv4*2PwQ8vLdfUCn5pDWw3Hture9dOqiQV3uwCtDBAhgpfxKlFybSNqOV/MO.jpg)
Mo Farah amejiondoa katika michuano hiyo kwa kutokuwa fiti. MWANARIADHA wa Uingereza, Mo Farah, amejitoa katika Mashindano ya Jumuiya ya Madola yaliyoanza jana mjini Glasgow, Scotland kutokana na kusumbuliwa na maradhi. Mjamaica Usain Bolt yeye atashiriki michuano hiyo. Mo amekuwa akisumbuliwa na maradhi kwa wiki za karibuni ila ataendelea kujifua kwa ajili ya michuano mingine ijayo.… ...
GPL
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi23 Jul
Kumekucha mashindano ya Jumuiya ya Madola Glasgow
11 years ago
Michuzi24 Jul
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-AqZEobzNKkw/U7Ef-qzej0I/AAAAAAAFtmc/56JERmnRL40/s72-c/unnamed+(18).jpg)
Wanamichezo waahidi kuleta medali katika mashindano ya Jumuiya ya Madola huko Glasgow, Scotland.
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-a5dqNNOXk20/U9IZq9D9aeI/AAAAAAAF59g/oemB8J9n2BE/s72-c/20140723-232442-84282351.jpg)
RATIBA YA MABONDIA WA TANZANIA WANAOWAKILISHA TAIFA KATIKA MASHINDANO YA JUMUIYA YA MADOLA SCOTLAND (NDONDI)
![](http://3.bp.blogspot.com/-a5dqNNOXk20/U9IZq9D9aeI/AAAAAAAF59g/oemB8J9n2BE/s1600/20140723-232442-84282351.jpg)
Ratiba hiyo inaonyesha kuwa mashindanoo yataanza tarehe 25/07/14 na yatamalizika tarehe 02/08/14.katika ukumbi wa Secc (Hall 4A) na inaonyesha kuwa captain wa timu ya Tanzania Selemani kidunda ndiye atayeanza...
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-BGk4h7ibQAI/U1-5iHWQnYI/AAAAAAAFeA0/yxKrISM1ZYk/s72-c/PIX1.jpg)
Wanamichezo 45 waagwa rasmi kwa ajili ya kwenda nje kufanya maandalizi ya mashindano ya Jumuiya ya Madola
![](http://3.bp.blogspot.com/-BGk4h7ibQAI/U1-5iHWQnYI/AAAAAAAFeA0/yxKrISM1ZYk/s1600/PIX1.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-juWxgzWqjC0/U1-5h23Fj0I/AAAAAAAFeAs/UQbP99ROMic/s1600/PIX2.jpg)
11 years ago
Dewji Blog05 Jul
Wanamichezo waliokuwa China kujiandaa na Mashindano ya Jumuiya ya Madola warejea nchini huku wakiwa na matumaini makubwa
Baadhi ya wanamichezo waliokuwa nchini China kwa ajili ya maandalizi ya mashindano ya Jumuiya ya Madola wakiwasili katika Uwanja wa ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere jana jijini Dar es Salaam.
Mkurugenzi wa Maendeleo ya Michezo nchini Bw. Leonard Thadeo akisukuma mzizigo ya baadhi ya makocha wa China waliombatana na Wanamichezo wa Tanzania waliokuwa China kwa ajili ya mazoezi ya kujiandaa na mashindano ya Olympic yanayotarajiwa kuanza mwishoni mwa mwezi huu mjini Glasgow Scotland,...
11 years ago
MichuziWANARIADHA WA MBIO NDEFU WAWASILI ADDIS ABABA KWA AJILI YA MAZOEZI YA KUJIAANDAA NA MASHINDANO YA JUMUIYA YA MADOLA
11 years ago
BBCSwahili24 Jul
Farah aaga mashindano ya Glascow kunani?
10 years ago
Mwananchi30 Dec
Hakimu ajitoa kesi ya jumuiya ya Uamsho