Farah aaga mashindano ya Glascow kunani?
Bingwa na Olimpiki wa mbio za mita elfu tano na kumi kwa wanaume Mo Farah amejiondoa kutoka mashindano ya Jumuiya ya Madola kutokana na jeraha
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/JH0C62scBfBU8xpLL0tH-*2-mCjU2ZK7smz1xFrhv4*2PwQ8vLdfUCn5pDWw3Hture9dOqiQV3uwCtDBAhgpfxKlFybSNqOV/MO.jpg)
MO FARAH AJITOA MASHINDANO YA JUMUIYA YA MADOLA
Mo Farah amejiondoa katika michuano hiyo kwa kutokuwa fiti. MWANARIADHA wa Uingereza, Mo Farah, amejitoa katika Mashindano ya Jumuiya ya Madola yaliyoanza jana mjini Glasgow, Scotland kutokana na kusumbuliwa na maradhi. Mjamaica Usain Bolt yeye atashiriki michuano hiyo. Mo amekuwa akisumbuliwa na maradhi kwa wiki za karibuni ila ataendelea kujifua kwa ajili ya michuano mingine ijayo.… ...
11 years ago
BBCSwahili27 Jul
Cheyech ashinda dhahabu Glascow
Na kuinyakulia Kenya medali yake ya kwanza katika mashindano ya Jumuiya ya Madola
11 years ago
BBCSwahili23 Jul
Michezo ya Jumuiya ya Madola kuanza-Glascow
Mashindano ya Jumuiya ya Madola kufunguliwa rasmi hii leo mjini Glascow, Scotland na Malkia wa Uingereza
11 years ago
BBCSwahili13 May
Mo Farah kushiriki 'Commonwealth'
Mo Farah amesema kuwa atashiriki michezo ya Jumuiya ya madola mwaka huu mjini Glasgow.
10 years ago
BBCSwahili10 Jul
Mo Farah avunja ukimya
Mwanariadha Mo Farah amewajibu wakosoaji wake kwa vitendo kwa mbio za mita elfu tano za Diamond na kuibuka kidedea .
10 years ago
BBCSwahili09 Jul
Mo Farah kurejea michezoni
Mo Farah ametamka kuwa anarejea ulingoni kwa mara ya kwanza baada ya kuwepo kwa tuhuma za matumizi ya dawa za kusisimua misuli
11 years ago
BBCSwahili24 Jul
Mo Farah hatoshiriki Glasgow
Mwanariadha Muingereza mwenye asili ya Kisomali amejiondoa kutoka kwa mashindano ya jumuiya ya Madola huko Glasgow
11 years ago
BBCSwahili12 Aug
Jeraha lililomhofisha sana Mo Farah
Mo Farah alikimbizwa hospitalini baada ya kuzimia wakati akifanya mazoezi.
11 years ago
BBC![](http://news.bbcimg.co.uk/media/images/74210000/jpg/_74210844_74209825.jpg)
Farah eighth in London Marathon
Kenyan athletes come first and second at the London marathon in both men's and women's races, with Mo Farah eight.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania