Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mo Farah kurejea michezoni

Mo Farah ametamka kuwa anarejea ulingoni kwa mara ya kwanza baada ya kuwepo kwa tuhuma za matumizi ya dawa za kusisimua misuli

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mwananchi

BBC MICHEZONI

Kwenye makala zake hizi za kila Jumapili, Tido Mhando, mwanahabari nguli, hususan katika fani ya utangazaji, anadokeza tu baadhi ya mengi aliyokutana nayo kwenye kipindi chake kirefu kazini. 

 

9 years ago

Mwananchi

‘Viongozi ni kikwazo michezoni’

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Jakaya Mrisho Kikwete amewanyooshea kidole viongozi wa michezo mbalimbali nchini kuwa ndio wamesababisha sekta hiyo isipige hatua, licha ya juhudi zake binafsi alizofanya kwa miaka 10.

 

10 years ago

BBCSwahili

Ugaidi waingia michezoni

Mtu mmoja ameshambulia mechi ya Volleyball mashariki mwa wa Afghanstan,na kuua watu wapatao arobaini na watano.

 

10 years ago

BBCSwahili

Dawa za kulevya michezoni ni faida?

Wanariadha waliofungiwa kutokana na kutumia dawa za kusisimua misuli hunufaika na dawa hizo hata baada ya kumaliza muda wa adhabu.

 

10 years ago

BBCSwahili

Wanaotumia dawa michezoni wafungiwe

Bingwa wa dunia Olimpik riadha Valerie Adams amependekeza kufungiwa maisha kwa mwanariadha atakayebainika kutumia dawa.

 

10 years ago

BBCSwahili

Gremio yafungiwa ubaguzi michezoni

Klabu maarufu ya soka nchini Brazili Gremio imefungiwa kushiriki mashindano makubwa kutokana na tuhuma za ubaguzi wa rangi.

 

9 years ago

Mwananchi

Halmashauri zaagizwa kuwekeza michezoni

Naibu Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Anastazia Wambura ameagiza halmashauri za wilaya na miji nchini zishiriki kuendeleza michezo kuanzia shule za msingi ili kukuza vipaji vya watoto.

 

11 years ago

Mwananchi

‘Makanjanja’ michezoni wasipewe nafasi

Michezo ni moja ya sekta muhimu kwa maendeleo ya nchi nyingi duniani. Katika nchi zilizoendelea kuna uwekezaji mkubwa katika sekta hii kwani pamoja na kuwa ni burudani lakini pia ni ajira.

 

10 years ago

Mwananchi

Tumeshindwa kuwekeza michezoni tunajuta

Ni takriban mwezi mmoja umebaki sasa kabla ya kufanyika kwa Michezo ya Afrika huko Kongo na kushirikisha nchi zaidi ya 50 ikiwamo Tanzania.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani