Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


‘Makanjanja’ michezoni wasipewe nafasi

Michezo ni moja ya sekta muhimu kwa maendeleo ya nchi nyingi duniani. Katika nchi zilizoendelea kuna uwekezaji mkubwa katika sekta hii kwani pamoja na kuwa ni burudani lakini pia ni ajira.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Habarileo

Aagiza waandishi makanjanja wafichuliwe

WAHITIMU wa Uandishi wa Habari wa Chuo cha Uandishi wa Habari Morogoro (MSJ) wametakiwa kuwafichua waandishi wa habari wasio na sifa, waojiingiza kwenye tasnia ya habari. Imeelezwa kuwa waandishi hao wasio na sifa, wanaifanya taaluma hiyo ionekane kuwa ni ya uchochezi mbele ya jamii na iliyokosa mwelekeo.

 

10 years ago

Mwananchi

Sitta awashukia wadokozi bandarini wasipewe dhamana

Waziri wa Uchukuzi, Samuel Sitta amesema angependa kuona sheria inayataja makosa ya udokozi bandarini kama ya uhujumu wa uchumi ili watuhumiwa wanapokamatwa na kushtakiwa wasipewa dhamana.

 

9 years ago

Michuzi

WANAOTAKIWA KUSTAAFU WASIPEWE MIKATABA YA KUENDELEA NA KAZI SERIKALINI - MH. KAIRUKI

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais-UTUMISHI na Utawala Bora Mhe. Angella Kairuki (Mb) akitoa maelekezo kwa watumishi wa Idara ya Uendelezaji Rasilimaliwatu-Utumishi. Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais-UTUMISHI na Utawala Bora Mhe. Angella Kairuki (Mb) akizungumza na watumishi wa Idara ya Uendelezaji Rasilimaliwatu-Utumishi.

 

11 years ago

Mwananchi

BBC MICHEZONI

Kwenye makala zake hizi za kila Jumapili, Tido Mhando, mwanahabari nguli, hususan katika fani ya utangazaji, anadokeza tu baadhi ya mengi aliyokutana nayo kwenye kipindi chake kirefu kazini. 

 

9 years ago

Mwananchi

‘Viongozi ni kikwazo michezoni’

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Jakaya Mrisho Kikwete amewanyooshea kidole viongozi wa michezo mbalimbali nchini kuwa ndio wamesababisha sekta hiyo isipige hatua, licha ya juhudi zake binafsi alizofanya kwa miaka 10.

 

10 years ago

BBCSwahili

Ugaidi waingia michezoni

Mtu mmoja ameshambulia mechi ya Volleyball mashariki mwa wa Afghanstan,na kuua watu wapatao arobaini na watano.

 

10 years ago

BBCSwahili

Mo Farah kurejea michezoni

Mo Farah ametamka kuwa anarejea ulingoni kwa mara ya kwanza baada ya kuwepo kwa tuhuma za matumizi ya dawa za kusisimua misuli

 

10 years ago

Mwananchi

Tumeshindwa kuwekeza michezoni tunajuta

Ni takriban mwezi mmoja umebaki sasa kabla ya kufanyika kwa Michezo ya Afrika huko Kongo na kushirikisha nchi zaidi ya 50 ikiwamo Tanzania.

 

9 years ago

Mwananchi

Halmashauri zaagizwa kuwekeza michezoni

Naibu Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Anastazia Wambura ameagiza halmashauri za wilaya na miji nchini zishiriki kuendeleza michezo kuanzia shule za msingi ili kukuza vipaji vya watoto.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani