Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Sitta awashukia wadokozi bandarini wasipewe dhamana

Waziri wa Uchukuzi, Samuel Sitta amesema angependa kuona sheria inayataja makosa ya udokozi bandarini kama ya uhujumu wa uchumi ili watuhumiwa wanapokamatwa na kushtakiwa wasipewa dhamana.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mwananchi

‘Makanjanja’ michezoni wasipewe nafasi

Michezo ni moja ya sekta muhimu kwa maendeleo ya nchi nyingi duniani. Katika nchi zilizoendelea kuna uwekezaji mkubwa katika sekta hii kwani pamoja na kuwa ni burudani lakini pia ni ajira.

 

9 years ago

Michuzi

WANAOTAKIWA KUSTAAFU WASIPEWE MIKATABA YA KUENDELEA NA KAZI SERIKALINI - MH. KAIRUKI

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais-UTUMISHI na Utawala Bora Mhe. Angella Kairuki (Mb) akitoa maelekezo kwa watumishi wa Idara ya Uendelezaji Rasilimaliwatu-Utumishi. Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais-UTUMISHI na Utawala Bora Mhe. Angella Kairuki (Mb) akizungumza na watumishi wa Idara ya Uendelezaji Rasilimaliwatu-Utumishi.

 

9 years ago

Habarileo

Hofu bandarini

MAJINA ya watumishi wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) na Mamlaka ya Bandari Tanzania (TPA), waliohusika kutoa makontena 2,431 bila kulipa ushuru kati ya Machi hadi Septemba 2014 katika Bandari ya Dar es Salaam, yamepatikana na kufikishwa kwa Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa.

 

11 years ago

BBCSwahili

Urasimu bandarini Mombasa kushughulikiwa

Watumiaji wa bandari ya Mombasa nchini Kenya huenda wakawa na afueni, kufuatia mkataba wa kupunguza urasimu utakaosainiwa leo

 

11 years ago

Tanzania Daima

Uingizaji shehena waongezeka bandarini

UINGIZAJI wa shehena katika bandari za mamlaka umeongezeka kutoka tani 1.185 wakati wa uhuru mwaka 1961 hadi kufikia tani 13,500  mwaka jana. Hayo yalibainishwa jijini Dar es Salaam jana na...

 

11 years ago

Mwananchi

Mwakyembe, bandarini hapako vizuri

Tanzania ni nchi ambayo kijiografia imekuwa na bahati ya kutoa huduma kwa nchi sita zinazotegemea Bandari ya Dar es Salaam kupokea mizigo yao kutoka ng’ambo.

 

10 years ago

Habarileo

TPA kuimarisha huduma bandarini

UONGOZI wa Mamlaka ya Usimamizi wa Bandari Tanzania (TPA), umeelezea nia yake ya kuzidi kuboresha Bandari ya Dar es Salaam na kuifanya kuwa lango kuu la kupitisha mizigo kwa nchi za ukanda wa Afrika Mashariki, Kati na Kusini.

 

10 years ago

Mtanzania

JK awashukia mabalozi

Rais Jakaya Kikwete

Rais Jakaya Kikwete

NA MWANDISHI WETU, DAR ES SALAAM

RAIS Jakaya Kikwete amesema kuna ushahidi unaothibitisha baadhi ya mabalozi wanaoziwakilisha nchi zao hapa nchini,wamekuwa wakichaganya dini na siasa na hata kutumia udini kuunga mkono shughuli za baadhi ya vyama vya siasa.

Kutokana na hali hiyo, amewaomba mabalozi hao kuiokoa Tanzania katika majanga makubwa yanayoweza kuipata kwa kutumia dini kuendeleza siasa, hatua ambayo amesema ni ya hatari.

Rais Kikwete alitoa kauli hiyo juzi wakati...

 

11 years ago

Tanzania Daima

DC awashukia wafugaji

 MKUU wa Wilaya (DC) ya Kiteto, Martha Umbula, amewashukia wafugaji wa jamii ya Kimasai kuwa ni wakorofi na ndiyo maana kunatokea majanga kati ya wakulima na wafugaji. Amesema jamii hiyo...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani