WANAOTAKIWA KUSTAAFU WASIPEWE MIKATABA YA KUENDELEA NA KAZI SERIKALINI - MH. KAIRUKI
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais-UTUMISHI na Utawala Bora Mhe. Angella Kairuki (Mb) akitoa maelekezo kwa watumishi wa Idara ya Uendelezaji Rasilimaliwatu-Utumishi. Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais-UTUMISHI na Utawala Bora Mhe. Angella Kairuki (Mb) akizungumza na watumishi wa Idara ya Uendelezaji Rasilimaliwatu-Utumishi.
Michuzi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Mwananchi22 Dec
Mikataba wastaafu serikalini sasa basi
10 years ago
MichuziSerikali kuendelea kuiwezesha Tume Opresheni Tokomeza - Mh. Kairuki
Naibu Waziri wa Katiba na Sheria Mheshimiwa Angellah Jasmine Kairuki amesema hayo jijini Dar es Salaam leo (Jumatano, Oktoba 22, 2014) wakati akizungumza na Wajumbe wa Tume hiyo waliomtembelea ofisini kwake ili kubadilishana mawazo.
“Serikali itaendelea kuwapa ushirikiano na kuwawezesha ili mtekeleze...
10 years ago
Dewji Blog23 Oct
KAIRUKI: Serikali kuendelea kuiwezesha Tume Oparesheni Tokomeza
Naibu Waziri wa Katiba na Sheria Mhe. Angellah Kairuki (MB) akibadilishana mawazo na Mwenyekiti wa Tume ya Rais ya Uchunguzi wa Operesheni Tokomeza Jaji Kiongozi Mstaafu Hamis Amir Msumi (kushoto) na Wajumbe wengine wa Tume hiyo, Majaji Wastaafu Stephen Ihema (kulia) na Vincent Lyimo ofisini kwake jijini Dar es Salaam jana. (Oktoba 22, 2014).
Na Mwandishi wetu
Serikali imeahidi kuendelea kuiwezesha na kuipa ushirikiano Tume ya Rais ya Uchunguzi wa Operesheni Tokomeza ili iendelee kutekeleza...
11 years ago
Mwananchi09 May
‘Nilianza kazi nikamkuta amelazwa, sasa nakaribia kustaafu nitamwacha’
10 years ago
Dewji Blog24 Dec
Kairuki: Tuache kufanya kazi kwa mazoea
Katibu Mkuu Mstaafu wa Wizara ya Katiba na Sheria Bw. Fanuel Mbonde akijaribu baiskeli ya mazoezi aliyokabiodhiwa kama zawadi katika hafla ya kuwapongeza watumishi wa Wizara waliostaafu iliyofanyika mwishoni mwa wiki jijini Dar es Salaam. Kushoto ni Naibu Waziri wa Katiba na Sheria Mhe. Angellah Kairuki na kulia ni Katibu Mkuu Bi. Maimuna Tarishi.
Na Mwandishi Wetu
Watumishi wa Wizara ya Katiba na Sheria wakumbushwa kuwa chachu ya mabadiliko katika utumishi wa umma na kuondokana na utendaji...
10 years ago
MichuziTuache kufanya kazi kwa mazoea - Kairuki
9 years ago
Dewji Blog02 Jan
2016 mwaka wangu wa mwisho – Gerrard, hii ndiyo kazi anayowaza kufanya baada ya kustaafu
Na Rabi Hume, Modewjiblog
Mchezaji wa zamani wa Liverpool ambaye kwa sasa anakipiga katika klabu ya LA Galaxy ya nchini Marekani, Steven Gerrard (pichani) amesema anapenda kustaafu kucheza soka mwaka huu na kufanya kazi nyingine.
Gerrard ambaye ambaye aliondoka Liverpool mwaka uliyopita na kwenda kucheza Ligi ya Marekani MLS ambayo kwa sasa imemalizika aliliambia gazeti la Telegraph kuwa hana uhakika kwa asilimia zote kama utakuwa mwaka wake wa mwisho lakini anapendelea iwe hivyo.
“Sina...
10 years ago
Habarileo17 Jul
Madereva walia na mikataba mipya ya kazi
MADEREVA wa magari nchini wameitaka serikali kuharakisha kutoa tamko kuhusu kuanza kutumika mikataba mipya, ambayo ilitakiwa kuanza kutumika tangu Julai mosi.
11 years ago
Dewji Blog03 Aug
Nafasi za kazi Serikalini mwisho wa kutuma maombi ni tarehe 19 Agosti, 2014
Watanzania wenye sifa na uwezo wa kujaza nafasi za 146 za kazi kwa ajili ya Wizara, Idara zinazojitegemea,wakala, Taasisi za umma na Mamlaka ya Serikali za Mitaa kama zilivyoorodheshwa katika tangazo kwa kubofya hapa