Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


‘Nilianza kazi nikamkuta amelazwa, sasa nakaribia kustaafu nitamwacha’

>Muuguzi wa Wodi Namba Nne katika Hospitali ya Mkoa wa Singida, Belta Lyamboko amesema alipoanza kazi katika hospitali hiyo mwanzoni mwa mwaka 1981, alimkuta Mzee Abdi Lanjuu (75) na sasa anajiandaa kustaafu akiamini atamwacha mzee huyo hospitalini.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

GPL

BANZA: NILIANZA SIGARA, BANGI, UNGA ILA SASA…

MWIMBAJI mkongwe wa muziki wa dansi nchini, Ramadhan Masanja ‘Banza Stone’ amefunguka mazito juu ya matumizi mabaya ya bangi na madawa ya kulevya ikiwa ni pamoja na jinsi alivyokuwa akiyatumia. Ramadhan Masanja ‘Banza Stone’ kabla ya kufanya mahojiano na Global TV Online. Akizungumza kupitia Kipindi cha Mtu Kati cha Global TV Online mwanzoni mwa wiki hii, Banza alikiri kutumia madawa ya kulevya na...

 

9 years ago

Michuzi

WANAOTAKIWA KUSTAAFU WASIPEWE MIKATABA YA KUENDELEA NA KAZI SERIKALINI - MH. KAIRUKI

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais-UTUMISHI na Utawala Bora Mhe. Angella Kairuki (Mb) akitoa maelekezo kwa watumishi wa Idara ya Uendelezaji Rasilimaliwatu-Utumishi. Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais-UTUMISHI na Utawala Bora Mhe. Angella Kairuki (Mb) akizungumza na watumishi wa Idara ya Uendelezaji Rasilimaliwatu-Utumishi.

 

9 years ago

Dewji Blog

2016 mwaka wangu wa mwisho – Gerrard, hii ndiyo kazi anayowaza kufanya baada ya kustaafu

football-gerrard-steven_3304393

Na Rabi Hume, Modewjiblog

Mchezaji wa zamani wa Liverpool ambaye kwa sasa anakipiga katika klabu ya LA Galaxy ya nchini Marekani, Steven Gerrard (pichani) amesema anapenda kustaafu kucheza soka mwaka huu na kufanya kazi nyingine.

Gerrard ambaye ambaye aliondoka Liverpool mwaka uliyopita na kwenda kucheza Ligi ya Marekani MLS ambayo kwa sasa imemalizika aliliambia gazeti la Telegraph kuwa hana uhakika kwa asilimia zote kama utakuwa mwaka wake wa mwisho lakini anapendelea iwe hivyo.

“Sina...

 

10 years ago

Dewji Blog

Mh.Shyrose Bhanji awashukuru wote waliomtakia nafuu alipokuwa amelazwa Hospitalini

Pole sana my friend Shy-Rose Bhanji Safari ulikuwa nazo nyingi sana this time. Ni mabadiliko tu ya hali ya hewa muda si mrefu Mnyezi Mungu atakuafu

 

Shyrose Bhanji akiwa na Mwanamuziki wa Lady Jay Dee alipomtembelea wakati amelazwa Hospitaali ya Agha Khan, jijini Dar es Salaam.

Na Andrew Chale wa 

 Mbunge wa Bunge la Afrika Mashariki (Eala), Shy-Rose Bhanji.  Aliyekuwa amelezwa hivi karibuni katika hospitali ya Agha Khan, jijni Dar es Salaam  amewashukuru watu mbalimbali  kwa nafasi zao ikiwemo kumjulia hali ha kumtakia pole wakati alipokuwa amelazwa hospitali kwa siku nne.

Kupitia mtando wake wa kijamii Shyrose alitumia wasaha huo...

 

10 years ago

Mwananchi

Dickson Marwa: Nilianza kulea familia nikiwa shule

“Hakuna ubishi kwamba ukiweka juhudi kwenye michezo mafanikio yapo, familia yangu ina historia kubwa bila mimi kuwa mwanariadha sijui leo hii tungekuwa wapi.”

 

11 years ago

Mwananchi

Ruth Odinga : Nilianza siasa nikiwa na umri wa miaka sita

Ruth Odinga ni Mbunge wa zamani na dada wa mwanasiasa machahari nchini Kenya, Raila Odinga.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Mawaziri sasa chapeni kazi

HATIMAYE Rais Jakaya Kikwete juzi alikata mzizi wa fitina kwa kufanya mabadiliko katika Baraza lake la Mawaziri. Katika Baraza hilo ambalo liliapishwa jana, zimo sura mpya kumi, huku watano wakitupiwa...

 

10 years ago

Habarileo

Kinana: Kazi sasa ni kutekeleza Ilani

KATIBU Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Abdulrahman Kinana, amesema ushindi wa urais wa Dk John Magufuli kupitia chama hicho, ni ishara kuwa wananchi wameendelea kuiamini CCM.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani