Mh.Shyrose Bhanji awashukuru wote waliomtakia nafuu alipokuwa amelazwa Hospitalini
Shyrose Bhanji akiwa na Mwanamuziki wa Lady Jay Dee alipomtembelea wakati amelazwa Hospitaali ya Agha Khan, jijini Dar es Salaam.
Na Andrew Chale wa
Mbunge wa Bunge la Afrika Mashariki (Eala), Shy-Rose Bhanji. Aliyekuwa amelezwa hivi karibuni katika hospitali ya Agha Khan, jijni Dar es Salaam amewashukuru watu mbalimbali kwa nafasi zao ikiwemo kumjulia hali ha kumtakia pole wakati alipokuwa amelazwa hospitali kwa siku nne.
Kupitia mtando wake wa kijamii Shyrose alitumia wasaha huo...
Dewji Blog
Habari Zinazoendana
10 years ago
CloudsFM30 Mar
Shyrose Bhanji afunguka ugonjwa unaomsumbua
Mbunge katika bunge la Afrika Mashariki,Shyrose Bhanji amefunguka ugonjwa unaomsumbua kwa muda mrefu uliomfanya alazwe katika hospitali ya Agha Khan,jijini Dar.
Akizungumza na Clouds Fm, Shyrose alisema kuwa amekuwa akisumbuliwa na ugonjwa wa Pumu(asthma) kwa muda mrefu tangu akiwa mdogo lakini safari hii ugonjwa ulizidi sana hali iliomfanya kulazwa hospitali kwa siku kadhaa.
‘’Huu ugonjwa huwa unanisumbua kwa muda mrefu lakini hadi kufikia hatua ya kulazwa ni safari hii hali ilikuwa mbaya...
10 years ago
Mwananchi30 Oct
Shyrose Bhanji ‘alivuruga’ Bunge Eala Mashariki
10 years ago
Dewji Blog10 Feb
Shyrose Bhanji kuwafariji wasiojiweza,wagonjwa siku ya Wapendanao
Mbunge wa Bunge la Afrika Mashariki, Mh. Shyrose Bhanji.
Na Andrew Chale, modewjiblog
Mbunge wa Bunge la Afrika Mashariki, Mh. Shyrose Bhanji anatarajia kusherekea na watu wasiojiweza pamoja na kutembelea watu mbalimbali wanaosumbuliwa na magonjwa waliopo hospitalini ili kuonyesha upendo kwao.
Shyrose alibainisha hilo kupitia ukurasa wake wa mtandao wa kijamii wa facebook, wakati wa kujibu maswali kadhaa ya marafiki na jamaa kufuatia post yake ailiyoitupia kuwaomba fans hao kupiga nao...
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-w1N7MGNHahw/VNY1P2BjIoI/AAAAAAADXww/T792RDu83PU/s72-c/Bana.jpg)
SHYROSE BHANJI MGENI RASMI USIKU WA LADY IN RED 2015
![](http://1.bp.blogspot.com/-w1N7MGNHahw/VNY1P2BjIoI/AAAAAAADXww/T792RDu83PU/s1600/Bana.jpg)
..Kufanyika Nyumbani Lounge Ijumaa Februari 13
Na Andrew Chale
MBUNGE wa Bunge la Afrika Mashariki, Mh. Shy rose Bhanji anatarajiwa kuwa mgeni rasmi kwenye usiku maalum wa Lady In Red 2015, Ijumaa ya Februari 13, kwenye ukumbi wa M.O.G Bar (Zamani Nyumbani Lounge) huku mitindo ya nguo nyekundu zitauzwa kwa ajili ya siku ya wapendanao ‘Valentine day’.
Mwaka huu ni wa 11, tokea kuanzishwa kwa Lady in red, ambapo itajumuisha wanamitindo...
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-mGal7DikqDU/VNaZzuUwiRI/AAAAAAAHCZs/UF2ucM92scM/s72-c/unnamed.jpg)
10 years ago
Vijimambo13 Nov
RAIS KIKWETE ATOKA HOSPITALINI BAADA YA KUPATA NAFUU
![](https://3.bp.blogspot.com/-im4ZssaVwew/VGPd89tB-QI/AAAAAAADM9Y/L87FHyVzHg8/s1600/D92A3572.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-th7Arf60apI/VGPd7fXmYvI/AAAAAAADM9A/-tIzLXA2Ldo/s640/D92A3578.jpg)
Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akisindikizwa na Daktari Bingwa Edward Schaeffer kutoka Hospitali ya Johns Hopkins alipokuwa amelazwa baada ya kufanyiwa upasuaji mwishoni mwa wiki iliyopita.Kulia nia Mke wa Rais Mama Salma Kikwete.
![](https://3.bp.blogspot.com/-yLH6j4ufXYY/VGPd84G4oXI/AAAAAAADM9I/V0aYpAW5LIA/s640/D92A3585.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-wYblzgWf_dU/VGPd_a0dK7I/AAAAAAADM9o/1TYhWZNHSSM/s1600/D92A3589.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-Nex2IG35i0w/VGYF7URXv2I/AAAAAAAGxHY/kqJVGbX7fE8/s72-c/D92A3572.jpg)
Rais Kikwete atoka Hospitalini Baada ya kupata nafuu
![](http://2.bp.blogspot.com/-Nex2IG35i0w/VGYF7URXv2I/AAAAAAAGxHY/kqJVGbX7fE8/s1600/D92A3572.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-LI2HmyCrfJk/VGYF7vzlGWI/AAAAAAAGxHg/Mdp74v-JV-0/s1600/D92A3578.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-F6r1Cxrj1fQ/VGYF8zhCLEI/AAAAAAAGxH4/WKWcGgvEim0/s1600/D92A3585.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-0hLJubOf_0w/VGYF-WXHfOI/AAAAAAAGxIA/vLww_SynnHw/s1600/D92A3589.jpg)
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-_1ZVY5iB9CA/Xtyn5oDmW5I/AAAAAAAC6_s/Jy55OAPnHoob8JHXx3TiJ0S61jEoZ8d3ACLcBGAsYHQ/s72-c/1.jpg)
RAIS MAGUFULI AWASHUKURU VIONGOZI WA DINI NA WATANZANIA WOTE
![](https://1.bp.blogspot.com/-_1ZVY5iB9CA/Xtyn5oDmW5I/AAAAAAAC6_s/Jy55OAPnHoob8JHXx3TiJ0S61jEoZ8d3ACLcBGAsYHQ/s400/1.jpg)
Ametoa shukrani hizo katika Misa takatifu kwenye Kanisa Katoliki Parokia ya Bikira Maria Imaculata Chamwino Dodoma
Akiwa Kanisani hapo, Rais Magufuli ameendesha harambee ya kuchangia upanuzi wa Kanisa hilo na kufanikiwa kuchangisha zaidi ya Tsh. Mil 17 ikiwemo Tsh. Mil 10 aliyochangia yeye mwenyewe na mifuko 76 ya saruji, ametaka upanuzi wa kanisa uanze kesho.
![](https://1.bp.blogspot.com/-5kCfZzkJ2so/Xtyn5odtjtI/AAAAAAAC6_o/0yqx2kCtkTgsTx7DoO8yhOc0foS10qESgCLcBGAsYHQ/s400/2.jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-KjSDqWp6vLo/Xtyb9ntNihI/AAAAAAALs4s/mc-_wjSDJ1s0QYW0HbTxi57ehiwm932KwCLcBGAsYHQ/s72-c/8.jpg)
Rais Magufuli awashukuru Viongozi wa Dini na Watanzania wote kwa kuomba dhidi ya Corona
![](https://1.bp.blogspot.com/-KjSDqWp6vLo/Xtyb9ntNihI/AAAAAAALs4s/mc-_wjSDJ1s0QYW0HbTxi57ehiwm932KwCLcBGAsYHQ/s640/8.jpg)
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt....