RAIS KIKWETE ATOKA HOSPITALINI BAADA YA KUPATA NAFUU
Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akisindikizwa na Daktari Bingwa Edward Schaeffer kutoka Hospitali ya Johns Hopkins alipokuwa amelazwa baada ya kufanyiwa upasuaji mwishoni mwa wiki iliyopita.Kulia nia Mke wa Rais Mama Salma Kikwete.
Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akisindikizwa na Daktari Bingwa Edward Schaeffer kutoka Hospitali ya Johns Hopkins alipokuwa amelazwa baada ya kufanyiwa upasuaji mwishoni mwa wiki iliyopita.Kulia nia Mke wa Rais Mama Salma Kikwete.Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-Nex2IG35i0w/VGYF7URXv2I/AAAAAAAGxHY/kqJVGbX7fE8/s72-c/D92A3572.jpg)
Rais Kikwete atoka Hospitalini Baada ya kupata nafuu
![](http://2.bp.blogspot.com/-Nex2IG35i0w/VGYF7URXv2I/AAAAAAAGxHY/kqJVGbX7fE8/s1600/D92A3572.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-LI2HmyCrfJk/VGYF7vzlGWI/AAAAAAAGxHg/Mdp74v-JV-0/s1600/D92A3578.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-F6r1Cxrj1fQ/VGYF8zhCLEI/AAAAAAAGxH4/WKWcGgvEim0/s1600/D92A3585.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-0hLJubOf_0w/VGYF-WXHfOI/AAAAAAAGxIA/vLww_SynnHw/s1600/D92A3589.jpg)
10 years ago
Vijimambo14 Nov
VIDEO YA SIKU RAIS JAKAYA KIKWETE ALIPOTOKA HOSPITALI BAADA YA KUPATA NAFUU
Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akisindikizwa na Daktari Bingwa EdwardSchaeffer kutoka Hospitali ya Johns Hopkins iliyoko Baltimore,Maryland, Marekani alipokuwa amelazwa baada ya kufanyiwa upasuaji watezi dume mwishoni mwa wiki iliyopita.Pamoja naye ni Mama Salma Kikwete na wasaidizi wake.
10 years ago
BBCSwahili16 Nov
Rais wa Algeria atoka hospitalini
10 years ago
Dewji Blog15 Nov
VIDEO: Rais Kikwete akitoka hospitali ya Johns Hopkins baada ya kuapata nafuu
Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akisindikizwa na Daktari Bingwa Edward Schaeffer kutoka Hospitali ya Johns Hopkins iliyoko Baltimore, Maryland, Marekani alipokuwa amelazwa baada ya kufanyiwa upasuaji wa tezi dume mwishoni mwa wiki iliyopita. Pamoja naye ni Mama Salma Kikwete na wasaidizi wake.
10 years ago
Bongo Movies22 Apr
Baada ya Kupata Nafuu, Hili ndilo Neno la Shukrani Kutoka kwa Wastara
“Shukrani kwako uliyeniumba na ukanipa pumzi ya bule bila kukulipa chochote. Asante kwa wale wote wenye kuniombea mema na kunitakia mafanikio. Asante pia kwa wale wenye kuniombea mabaya mnanipa changamoto ambayo inanifanya nikaze buti kusaka mafanikio kwa kujua sio wote wanaonipenda nasio wote watalia leo nikianguka kimaisha au kufa asante kwa mnaonipa ushauri . Asante mnaonifariji naamini bila watu hakuna mtu mimi ni mtu nyinyi ni watu naendelea vyema na mtaendelea kupata huduma zangu za...
10 years ago
Vijimambo13 Aug
MBOWE ATOKA HOSPITALINI
![Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo](http://www.mwananchi.co.tz/image/view/-/2830476/highRes/1089166/-/maxw/600/-/u4gjjw/-/pic+mbowe.jpg)
By Raymond Kaminyoge. Mwananchi
Dar es Salaam. Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Freeman Mbowe aliyekuwa amelazwa katika Hospitali ya Taifa Muhimbili (MNH), ameruhusiwa kurudi nyumbani.
Mbowe aliugua ghafla Jumatatu iliyopita akiwa kwenye maandamano ya kumsindikiza mgombea urais kupitia tiketi ya Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa), Edward Lowassa aliyekwenda katika ofisi za Tume ya Taifa ya...
10 years ago
BBCSwahili26 Feb
Fernando Alonso: atoka hospitalini
9 years ago
Global Publishers06 Jan
Davido atoka hospitalini nchini Gambia
Mwanamuziki staa wa Nigeria, Davido.
MWANAMUZIKI staa wa Nigeria, Davido, aliyekuwa nchini Gambia hivi karibuni, alishindwa kuhudhuria tamasha la tuzo za wanamuziki la Headies Award kutokana na uchovu ambapo ilibidi alazwe hospitalini.
Akijibu swali kwa nini hakuhudhuria tamasha hilo, Davido alisema hakuona sababu yoyote ya kufanya hivyo kwani hata tuzo tatu alizoshindwa mwaka 2014 hadi leo hajapewa.
“Nilikuwa Gambia, kaka, lakini hata tuzo tatu nilizoshinda mwaka jana, hazijatua mikononi...
10 years ago
Habarileo14 Nov
Rais Kikwete atoka wodini
RAIS Jakaya Kikwete ambaye anaendelea na matitabu yake nchini Marekani, ametoka wodini katika Hospitali ya Johns Hopkins na kuhamishiwa kwenye Hoteli Maalumu, ambako anaendelea kuwa chini ya uangalizi wa madaktari.