Rais Kikwete atoka wodini
RAIS Jakaya Kikwete ambaye anaendelea na matitabu yake nchini Marekani, ametoka wodini katika Hospitali ya Johns Hopkins na kuhamishiwa kwenye Hoteli Maalumu, ambako anaendelea kuwa chini ya uangalizi wa madaktari.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
CloudsFM14 Nov
RAIS KIKWETE ATOKA WODINI, AENDELEA VIZURI
Rais Jakaya Kikwete ametoka wodini katika Hospitali ya Johns Hopkins na kuhamishiwa kwenye hoteli maalumu ambako ataendelea kuwa chini ya uangalizi wa madaktari.
Rais Kikwete alifanyiwa upasuaji wa tezi dume wiki iliyopita na afya yake imekuwa ikiimarika siku hadi siku.
Makundi mbalimbali ya wananchi yamekuwa yakimtakia uponaji wa haraka kwa njia ya ujumbe mfupi wa simu. Miongoni mwa waliomtakia afya njema ni familia ya Baba wa Taifa, Mwalimu Julius Nyerere ambayo imeeleza kupokea kwa...
10 years ago
Mwananchi14 Nov
Rais Kikwete atoka wodini, familia ya Nyerere yatuma salamu
10 years ago
Vijimambo13 Nov
RAIS KIKWETE ATOKA HOSPITALINI BAADA YA KUPATA NAFUU
![](https://3.bp.blogspot.com/-im4ZssaVwew/VGPd89tB-QI/AAAAAAADM9Y/L87FHyVzHg8/s1600/D92A3572.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-th7Arf60apI/VGPd7fXmYvI/AAAAAAADM9A/-tIzLXA2Ldo/s640/D92A3578.jpg)
Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akisindikizwa na Daktari Bingwa Edward Schaeffer kutoka Hospitali ya Johns Hopkins alipokuwa amelazwa baada ya kufanyiwa upasuaji mwishoni mwa wiki iliyopita.Kulia nia Mke wa Rais Mama Salma Kikwete.
![](https://3.bp.blogspot.com/-yLH6j4ufXYY/VGPd84G4oXI/AAAAAAADM9I/V0aYpAW5LIA/s640/D92A3585.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-wYblzgWf_dU/VGPd_a0dK7I/AAAAAAADM9o/1TYhWZNHSSM/s1600/D92A3589.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-Nex2IG35i0w/VGYF7URXv2I/AAAAAAAGxHY/kqJVGbX7fE8/s72-c/D92A3572.jpg)
Rais Kikwete atoka Hospitalini Baada ya kupata nafuu
![](http://2.bp.blogspot.com/-Nex2IG35i0w/VGYF7URXv2I/AAAAAAAGxHY/kqJVGbX7fE8/s1600/D92A3572.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-LI2HmyCrfJk/VGYF7vzlGWI/AAAAAAAGxHg/Mdp74v-JV-0/s1600/D92A3578.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-F6r1Cxrj1fQ/VGYF8zhCLEI/AAAAAAAGxH4/WKWcGgvEim0/s1600/D92A3585.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-0hLJubOf_0w/VGYF-WXHfOI/AAAAAAAGxIA/vLww_SynnHw/s1600/D92A3589.jpg)
10 years ago
BBCSwahili14 Mar
Rais wa Zambia atoka hospitali
10 years ago
BBCSwahili16 Nov
Rais wa Algeria atoka hospitalini
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-qZ_taV7lQAc/VURfrlc_KXI/AAAAAAAAtDQ/HowY65av2gE/s72-c/shemeji.jpg)
Kikwete: "Nisingekuwa Rais Ningekuwa Msanii Mkali wa Bongo Fleva.".........HOTUBA Nzima ya Rais Kikwete Aliyoitoa Jana Mei Mosi Iko HAPA
![](http://2.bp.blogspot.com/-qZ_taV7lQAc/VURfrlc_KXI/AAAAAAAAtDQ/HowY65av2gE/s640/shemeji.jpg)
RAIS Dkt. Jakaya Kikwete, ametamba kuwa angakuwa msanii wa muziki wa kizazi kipya basi angelikuwa wa “BongoFleva” kutokana na kuwa na sauti nzuri yenye kumudu kuimba nyimbo kwa ufasaha zaidi.
Kauli hiyo aliitoa jana jijini Mwanza kwenye uwanja wa michezo wa CCM Kirumba wakati wa maadhimisho ya kilele cha sherehe za Mei mosi zilizofanyika Kitaifa jijini Mwanza kwa mwaka huu wa mwisho wa utawala wake.
Dkt. Kikwete aliimba wimbo wa Bendi ya OSS (Ochestra Safari Sound) wenye mashairi yasemayo...
10 years ago
VijimamboRAIS JACOB ZUMA AKUTANA NA RAIS KIKWETE IKULU-MAKAMU WA RAIS AMSINDIKIZA
![](http://3.bp.blogspot.com/-MA1_ZFohI7c/VJgW4lraY4I/AAAAAAAAZho/geWMTtNN3d0/s640/D92A4124.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-wEfe-eW_P48/U_G8E8LO3SI/AAAAAAACnmE/9JtU4Jjc6N8/s72-c/unnamed.jpg)
Rais Kikwete azungumza na Rais Zuma na Rais Kabila Zimbabwe
![](http://3.bp.blogspot.com/-wEfe-eW_P48/U_G8E8LO3SI/AAAAAAACnmE/9JtU4Jjc6N8/s1600/unnamed.jpg)