Rais wa Algeria atoka hospitalini
Rais wa Algeria Abdelaziz Bouteflika amerudi nchini Algeria baada ya kulazwa kwa siku mbili katika hospitali moja ya Ufaransa.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
MichuziRais Kikwete atoka Hospitalini Baada ya kupata nafuu
10 years ago
Vijimambo13 Nov
RAIS KIKWETE ATOKA HOSPITALINI BAADA YA KUPATA NAFUU
Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akisindikizwa na Daktari Bingwa Edward Schaeffer kutoka Hospitali ya Johns Hopkins alipokuwa amelazwa baada ya kufanyiwa upasuaji mwishoni mwa wiki iliyopita.Kulia nia Mke wa Rais Mama Salma Kikwete.Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete...
10 years ago
BBCSwahili15 Nov
Rais wa Algeria alazwa hospitalini
10 years ago
Vijimambo13 Aug
MBOWE ATOKA HOSPITALINI
By Raymond Kaminyoge. Mwananchi
Dar es Salaam. Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Freeman Mbowe aliyekuwa amelazwa katika Hospitali ya Taifa Muhimbili (MNH), ameruhusiwa kurudi nyumbani.
Mbowe aliugua ghafla Jumatatu iliyopita akiwa kwenye maandamano ya kumsindikiza mgombea urais kupitia tiketi ya Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa), Edward Lowassa aliyekwenda katika ofisi za Tume ya Taifa ya...
10 years ago
BBCSwahili26 Feb
Fernando Alonso: atoka hospitalini
9 years ago
Global Publishers06 Jan
Davido atoka hospitalini nchini Gambia
Mwanamuziki staa wa Nigeria, Davido.
MWANAMUZIKI staa wa Nigeria, Davido, aliyekuwa nchini Gambia hivi karibuni, alishindwa kuhudhuria tamasha la tuzo za wanamuziki la Headies Award kutokana na uchovu ambapo ilibidi alazwe hospitalini.
Akijibu swali kwa nini hakuhudhuria tamasha hilo, Davido alisema hakuona sababu yoyote ya kufanya hivyo kwani hata tuzo tatu alizoshindwa mwaka 2014 hadi leo hajapewa.
“Nilikuwa Gambia, kaka, lakini hata tuzo tatu nilizoshinda mwaka jana, hazijatua mikononi...
10 years ago
Habarileo14 Nov
Rais Kikwete atoka wodini
RAIS Jakaya Kikwete ambaye anaendelea na matitabu yake nchini Marekani, ametoka wodini katika Hospitali ya Johns Hopkins na kuhamishiwa kwenye Hoteli Maalumu, ambako anaendelea kuwa chini ya uangalizi wa madaktari.
10 years ago
BBCSwahili14 Mar
Rais wa Zambia atoka hospitali
10 years ago
CloudsFM14 Nov
RAIS KIKWETE ATOKA WODINI, AENDELEA VIZURI
Rais Jakaya Kikwete ametoka wodini katika Hospitali ya Johns Hopkins na kuhamishiwa kwenye hoteli maalumu ambako ataendelea kuwa chini ya uangalizi wa madaktari.
Rais Kikwete alifanyiwa upasuaji wa tezi dume wiki iliyopita na afya yake imekuwa ikiimarika siku hadi siku.
Makundi mbalimbali ya wananchi yamekuwa yakimtakia uponaji wa haraka kwa njia ya ujumbe mfupi wa simu. Miongoni mwa waliomtakia afya njema ni familia ya Baba wa Taifa, Mwalimu Julius Nyerere ambayo imeeleza kupokea kwa...