Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Rais wa Algeria atoka hospitalini

Rais wa Algeria Abdelaziz Bouteflika amerudi nchini Algeria baada ya kulazwa kwa siku mbili katika hospitali moja ya Ufaransa.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Michuzi

Rais Kikwete atoka Hospitalini Baada ya kupata nafuu

Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akisindikizwa na Daktari Bingwa Edward Schaeffer kutoka Hospitali ya Johns Hopkins alipokuwa amelazwa baada ya kufanyiwa upasuaji mwishoni mwa wiki iliyopita.Kulia nia Mke wa Rais Mama Salma Kikwete.Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akiagana na Daktari Edward Schaeffer muda mfupi baada ya kuruhusiwa kutoka katika hospitali ya Johns Hopkins huko Baltimore, Maryland nchini Marekani ambapo alifanyiwa upasuaji mwishoni mwa wiki iliyopita.(picha na Freddy Maro)

 

10 years ago

Vijimambo

RAIS KIKWETE ATOKA HOSPITALINI BAADA YA KUPATA NAFUU

Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akisindikizwa na Daktari Bingwa Edward Schaeffer kutoka Hospitali ya Johns Hopkins alipokuwa amelazwa baada ya kufanyiwa upasuaji mwishoni mwa wiki iliyopita.Kulia nia Mke wa Rais Mama Salma Kikwete.
Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akisindikizwa na Daktari Bingwa Edward Schaeffer kutoka Hospitali ya Johns Hopkins alipokuwa amelazwa baada ya kufanyiwa upasuaji mwishoni mwa wiki iliyopita.Kulia nia Mke wa Rais Mama Salma Kikwete.Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete...

 

10 years ago

BBCSwahili

Rais wa Algeria alazwa hospitalini

Rais wa Algeria Abdelaziz Bouteflika amelazwa katika hospitali moja nchini Ufaransa.

 

10 years ago

Vijimambo

MBOWE ATOKA HOSPITALINI

Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na MaendeleoMwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Freeman Mbowe .
By Raymond Kaminyoge. Mwananchi

Dar es Salaam. Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Freeman Mbowe aliyekuwa amelazwa katika Hospitali ya Taifa Muhimbili (MNH), ameruhusiwa kurudi nyumbani.

Mbowe aliugua ghafla Jumatatu iliyopita akiwa kwenye maandamano ya kumsindikiza mgombea urais kupitia tiketi ya Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa), Edward Lowassa aliyekwenda katika ofisi za Tume ya Taifa ya...

 

10 years ago

BBCSwahili

Fernando Alonso: atoka hospitalini

Dereva wa timu ya Mclaren fernando alonso ametoka hospitali baada ya kupata ahueni kufuatia kupata ajali.

 

9 years ago

Global Publishers

Davido atoka hospitalini nchini Gambia

davido-beardsMwanamuziki staa wa Nigeria, Davido.

MWANAMUZIKI staa wa Nigeria, Davido, aliyekuwa nchini Gambia hivi karibuni, alishindwa kuhudhuria tamasha la tuzo za wanamuziki la Headies Award kutokana na uchovu ambapo ilibidi alazwe hospitalini.

Akijibu swali kwa nini hakuhudhuria tamasha hilo, Davido alisema hakuona sababu yoyote ya kufanya hivyo  kwani hata tuzo tatu alizoshindwa mwaka 2014 hadi leo hajapewa.

“Nilikuwa Gambia, kaka, lakini hata tuzo tatu nilizoshinda mwaka jana, hazijatua mikononi...

 

10 years ago

Habarileo

Rais Kikwete atoka wodini

Rais Jakaya Kikwete akisindikizwa na Daktari Bingwa, Edward Schaeffer (kushoto) kutoka Hospitali ya Johns Hopkins alipokuwa amelazwa baada ya kufanyiwa upasuaji mwishoni mwa wiki iliyopita. Kulia ni mkewe, Mama Salma Kikwete. (Picha na Freddy Maro).RAIS Jakaya Kikwete ambaye anaendelea na matitabu yake nchini Marekani, ametoka wodini katika Hospitali ya Johns Hopkins na kuhamishiwa kwenye Hoteli Maalumu, ambako anaendelea kuwa chini ya uangalizi wa madaktari.

 

10 years ago

BBCSwahili

Rais wa Zambia atoka hospitali

Edgar Lungu, rais wa Zambia, aruhusiwa kutoka hospitali baada ya upasuaji

 

10 years ago

CloudsFM

RAIS KIKWETE ATOKA WODINI, AENDELEA VIZURI

Rais Jakaya Kikwete ametoka wodini katika Hospitali ya Johns Hopkins na kuhamishiwa kwenye hoteli maalumu ambako ataendelea kuwa chini ya uangalizi wa madaktari.
Rais Kikwete alifanyiwa upasuaji wa tezi dume wiki iliyopita na afya yake imekuwa ikiimarika siku hadi siku.

Makundi mbalimbali ya wananchi yamekuwa yakimtakia uponaji wa haraka kwa njia ya ujumbe mfupi wa simu. Miongoni mwa waliomtakia afya njema ni familia ya Baba wa Taifa, Mwalimu Julius Nyerere ambayo imeeleza kupokea kwa...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani