Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Fernando Alonso: atoka hospitalini

Dereva wa timu ya Mclaren fernando alonso ametoka hospitali baada ya kupata ahueni kufuatia kupata ajali.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Hali ya Fernando Alonso yaimarika

Hali ya Dereva wa magari yaendayo kasi ya Fomula 1 Fernando Alonso imeimarika

 

10 years ago

Vijimambo

MBOWE ATOKA HOSPITALINI

Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na MaendeleoMwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Freeman Mbowe .
By Raymond Kaminyoge. Mwananchi

Dar es Salaam. Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Freeman Mbowe aliyekuwa amelazwa katika Hospitali ya Taifa Muhimbili (MNH), ameruhusiwa kurudi nyumbani.

Mbowe aliugua ghafla Jumatatu iliyopita akiwa kwenye maandamano ya kumsindikiza mgombea urais kupitia tiketi ya Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa), Edward Lowassa aliyekwenda katika ofisi za Tume ya Taifa ya...

 

10 years ago

BBCSwahili

Rais wa Algeria atoka hospitalini

Rais wa Algeria Abdelaziz Bouteflika amerudi nchini Algeria baada ya kulazwa kwa siku mbili katika hospitali moja ya Ufaransa.

 

9 years ago

Global Publishers

Davido atoka hospitalini nchini Gambia

davido-beardsMwanamuziki staa wa Nigeria, Davido.

MWANAMUZIKI staa wa Nigeria, Davido, aliyekuwa nchini Gambia hivi karibuni, alishindwa kuhudhuria tamasha la tuzo za wanamuziki la Headies Award kutokana na uchovu ambapo ilibidi alazwe hospitalini.

Akijibu swali kwa nini hakuhudhuria tamasha hilo, Davido alisema hakuona sababu yoyote ya kufanya hivyo  kwani hata tuzo tatu alizoshindwa mwaka 2014 hadi leo hajapewa.

“Nilikuwa Gambia, kaka, lakini hata tuzo tatu nilizoshinda mwaka jana, hazijatua mikononi...

 

10 years ago

Vijimambo

RAIS KIKWETE ATOKA HOSPITALINI BAADA YA KUPATA NAFUU

Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akisindikizwa na Daktari Bingwa Edward Schaeffer kutoka Hospitali ya Johns Hopkins alipokuwa amelazwa baada ya kufanyiwa upasuaji mwishoni mwa wiki iliyopita.Kulia nia Mke wa Rais Mama Salma Kikwete.
Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akisindikizwa na Daktari Bingwa Edward Schaeffer kutoka Hospitali ya Johns Hopkins alipokuwa amelazwa baada ya kufanyiwa upasuaji mwishoni mwa wiki iliyopita.Kulia nia Mke wa Rais Mama Salma Kikwete.Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete...

 

10 years ago

Michuzi

Rais Kikwete atoka Hospitalini Baada ya kupata nafuu

Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akisindikizwa na Daktari Bingwa Edward Schaeffer kutoka Hospitali ya Johns Hopkins alipokuwa amelazwa baada ya kufanyiwa upasuaji mwishoni mwa wiki iliyopita.Kulia nia Mke wa Rais Mama Salma Kikwete.Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akiagana na Daktari Edward Schaeffer muda mfupi baada ya kuruhusiwa kutoka katika hospitali ya Johns Hopkins huko Baltimore, Maryland nchini Marekani ambapo alifanyiwa upasuaji mwishoni mwa wiki iliyopita.(picha na Freddy Maro)

 

10 years ago

BBCSwahili

Fernando Torres arejea kwa kishindo

Fernando Torres arejesha ushindi katika klabu yake ya Atletico Madrid kwa kuwabamiza Real Madrid 2-0

 

11 years ago

BBCSwahili

Man City yamsajili Fernando wa Porto.

Mabingwa wa ligi ya Uingereza Manchester City wamemsajili Fernando kutoka Porto

 

10 years ago

BBCSwahili

Alonso atashiriki Fomula1: Ron Dennis

Mclaren Ron Dennis amesema dereva Fernando Alonso anatarajiwa kushiriki msimu mpya wa mbio za magari za Grand Prix .

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani