Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Hali ya Fernando Alonso yaimarika

Hali ya Dereva wa magari yaendayo kasi ya Fomula 1 Fernando Alonso imeimarika

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Fernando Alonso: atoka hospitalini

Dereva wa timu ya Mclaren fernando alonso ametoka hospitali baada ya kupata ahueni kufuatia kupata ajali.

 

11 years ago

BBCSwahili

Hali ya Schumacher yaimarika

Madaktari wa bingwa wa zamani wa mbio za magari ya langa langa, Michael Schumacher, wamesema hali yake imeimarika kiasi

 

11 years ago

BBCSwahili

Wakala: Hali ya Shumacher yaimarika

Michael Schumacher aanza kupata fahamu baada ya kutojitambua kwa muda mrefu hospitalini

 

10 years ago

Habarileo

Hali ya Rais Kikwete yaimarika

Rais Jakaya Kikwete akizungumza na Balozi wa Tanzania nchini Marekani, Liberata Mulamula aliyekwenda kumjulia hali katika Hospitali ya John Hopkins iliyopo Baltimore, Maryland, nchini Marekani jana, siku moja baada ya kufanyiwa upasuaji wa tezi dume. Hali ya Rais ni nzuri na ameanza mazoezi ya kutembea. (Picha na Ikulu).HALI ya Rais Jakaya Kikwete ambaye mwishoni mwa wiki alifanyiwa operesheni ya tezi dume, inaendelea kuimarika na ameanza kufanya mazoezi ya kutembea.

 

11 years ago

Mtanzania

Hali ya Rage yaimarika Aga Khan

Ismail Aden Rage

Ismail Aden Rage

NA MWALI IBRAHIM, DAR ES SALAAM

HALI ya aliyekuwa Mwenyekiti wa klabu ya Simba, Ismail Aden Rage, imezidi kuimarika ambapo kwa sasa amelazwa katika Hospitali ya Aga Khan, Dar es Salaam.

Rage alipata ajali juzi mkoani Dodoma, akiwa pamoja na majeruhi wenzake wanne walilazwa katika hospitali ya mkoa huo kabla ya kuhamishiwa Aga Khan.

Akizungumza Dar es Salaam jana akiwa hospitalini hapo, Rage alisema anaendelea vizuri ambapo kwa mujibu wa daktari alisema itamchukua wiki tatu...

 

11 years ago

BBCSwahili

Man City yamsajili Fernando wa Porto.

Mabingwa wa ligi ya Uingereza Manchester City wamemsajili Fernando kutoka Porto

 

10 years ago

BBCSwahili

Fernando Torres arejea kwa kishindo

Fernando Torres arejesha ushindi katika klabu yake ya Atletico Madrid kwa kuwabamiza Real Madrid 2-0

 

10 years ago

BBCSwahili

Alonso atashiriki Fomula1: Ron Dennis

Mclaren Ron Dennis amesema dereva Fernando Alonso anatarajiwa kushiriki msimu mpya wa mbio za magari za Grand Prix .

 

10 years ago

Bongo5

Xabi Alonso amefikisha mechi hizi za UEFA!

Kiungo wa zamani wa Liverpool na Real Madrid mkongwe ambaye kwa sasa anachezea Bayern Munich, Xabi Alonso jana amefikisha mechi ya 100 ya ligi ya mabingwa barani Ulaya. Hata hivyo mechi hiyo ya raundi ya 16 ya UEFA haikuwa nzuri kwake kwani alioneshwa kadi nyekundu zikisalia dakika 25 mechi kumalizika.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani