Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Xabi Alonso amefikisha mechi hizi za UEFA!

Kiungo wa zamani wa Liverpool na Real Madrid mkongwe ambaye kwa sasa anachezea Bayern Munich, Xabi Alonso jana amefikisha mechi ya 100 ya ligi ya mabingwa barani Ulaya. Hata hivyo mechi hiyo ya raundi ya 16 ya UEFA haikuwa nzuri kwake kwani alioneshwa kadi nyekundu zikisalia dakika 25 mechi kumalizika.

Bongo5

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Michuzi

MECHI ZA UEFA USIKU HU

Hii ni ratiba ya mechi za Jumanne ya September 29Mechi hizi zote zitachezwa saa 21:45 kwa saa za Afrika MasharikiHii ni ratiba ya mechi za Jumatano ya September 30

 

10 years ago

BBCSwahili

UEFA:Hatutambui mechi za Crimea

Shirikisho la soka barani ulaya UEFA limesema halitatambua matokeo yoyote ya mechi itakayochezwa na kilabu ya kandanda ya Crimea

 

9 years ago

Bongo5

Matokeo ya mechi za Uefa Champions League

mtt

Michuano ya vilabu bingwa barani Ulaya iliendelea jana November 24 usiku kwa michezo nane ya hatua ya makundi kupigwa kwenye viwanja mbalimbali barani Ulaya ambapo michezo hiyo ilikuwa kutoka kundi E, F, G pamoja na H.

ufaa

Jiunge na Bongo5.com sasa Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook, Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Bongo5!

 

9 years ago

Bongo5

Matokeo ya mechi za UEFA champions league November 25

2ED0190300000578-3334161-image-a-15_1448489796212

Michuano ya klabu bingwa Ulaya hatua ya makundi iliendelea tena usiku wa Jumatano November 25, 2015 kwenye viwanja mbali mbali ikizikutanisha timu za kundi A, B, C na D. Michezo hiyo ilimalizika kwa matokeo tofauti tofauti,

Matokeo-uefa

Jiunge na Bongo5.com sasa Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook, Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Bongo5!

 

9 years ago

BBCSwahili

Man Utd kumkosa Rooney mechi ya Uefa

Rooney anauguza jeraha na hataweza kuchezea Manchester United dhidi ya PSV Eindhoven mechi ya Ligi ya Kilabu Bingwa Ulaya Jumanne.

 

10 years ago

BBCSwahili

UEFA kuamua mechi ya Man City na CSKA

Kilabu ya soka nchini Uingereza Manchester City kubaini siku ya ijumaa kuhusu mechi ya yake na CSKA Moscow

 

9 years ago

Bongo5

Haya ni matokeo ya mechi za UEFA Champions League

Michuano ya UEFA Champions League iliendelea usiku wa Jumatano kuamkia Alhamis ambapo ilipigwa michezo minane (8). Haya ndio matokeo ya mechi hizo zilizochezwa kwenye viwanja vinane tofauti. Jiunge na Bongo5.com sasa Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook, Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Bongo5!

 

9 years ago

Bongo5

Arsenal yaingia 16 bora, matokeo ya mechi za UEFA Dec 9

2F379FD000000578-0-image-a-69_1449695516399

Michezo ya hatua ya Makundi ya Ligi ya Mabingwa barani Ulaya iliendelea tena usiku wa December 9 kwa mechi nane baada ya makundi ya E, F, G na H, michezo hiyo ilichezwa wakati timu 10 kati ya 32 zikiwa zimeshajihakikishia nafasi ya kwenda hatua ya 16 bora hivyo nafasi 6 pekee ndio zilikuwa zinawaniwa.

2F37676500000578-0-image-a-46_1449694670245

2F379FD000000578-0-image-a-69_1449695516399

Klabu ya Arsenal ambayo ilikuwa nafasi ya tatu katika msimamo wa Kundi F, nafasi yake ya kuendelea hatua ya 16 bora ilikuwa mikononi mwake yenyewe, ilifanikiwa kuifunga Olympiakos ya Ugiriki...

 

9 years ago

Bongo5

Haya ni matokeo ya mechi za UEFA zilizochezwa Jumanne hii

Michuano ya klabu bingwa barani Ulaya iliendelea Jumanne hii kwa michezo kadhaa kupigwa katika viwanja tofauti na haya ndio matokeo ya mechi hizo. Jiunge na Bongo5.com sasa Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook, Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Bongo5!

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani