Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Arsenal yaingia 16 bora, matokeo ya mechi za UEFA Dec 9

2F379FD000000578-0-image-a-69_1449695516399

Michezo ya hatua ya Makundi ya Ligi ya Mabingwa barani Ulaya iliendelea tena usiku wa December 9 kwa mechi nane baada ya makundi ya E, F, G na H, michezo hiyo ilichezwa wakati timu 10 kati ya 32 zikiwa zimeshajihakikishia nafasi ya kwenda hatua ya 16 bora hivyo nafasi 6 pekee ndio zilikuwa zinawaniwa.

2F37676500000578-0-image-a-46_1449694670245

2F379FD000000578-0-image-a-69_1449695516399

Klabu ya Arsenal ambayo ilikuwa nafasi ya tatu katika msimamo wa Kundi F, nafasi yake ya kuendelea hatua ya 16 bora ilikuwa mikononi mwake yenyewe, ilifanikiwa kuifunga Olympiakos ya Ugiriki...

Bongo5

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Bongo5

Matokeo ya mechi za Uefa Champions League

mtt

Michuano ya vilabu bingwa barani Ulaya iliendelea jana November 24 usiku kwa michezo nane ya hatua ya makundi kupigwa kwenye viwanja mbalimbali barani Ulaya ambapo michezo hiyo ilikuwa kutoka kundi E, F, G pamoja na H.

ufaa

Jiunge na Bongo5.com sasa Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook, Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Bongo5!

 

9 years ago

Bongo5

Haya ni matokeo ya mechi za UEFA Champions League

Michuano ya UEFA Champions League iliendelea usiku wa Jumatano kuamkia Alhamis ambapo ilipigwa michezo minane (8). Haya ndio matokeo ya mechi hizo zilizochezwa kwenye viwanja vinane tofauti. Jiunge na Bongo5.com sasa Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook, Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Bongo5!

 

9 years ago

Bongo5

Matokeo ya mechi za UEFA champions league November 25

2ED0190300000578-3334161-image-a-15_1448489796212

Michuano ya klabu bingwa Ulaya hatua ya makundi iliendelea tena usiku wa Jumatano November 25, 2015 kwenye viwanja mbali mbali ikizikutanisha timu za kundi A, B, C na D. Michezo hiyo ilimalizika kwa matokeo tofauti tofauti,

Matokeo-uefa

Jiunge na Bongo5.com sasa Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook, Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Bongo5!

 

9 years ago

Bongo5

Haya ni matokeo ya mechi za UEFA zilizochezwa Jumanne hii

Michuano ya klabu bingwa barani Ulaya iliendelea Jumanne hii kwa michezo kadhaa kupigwa katika viwanja tofauti na haya ndio matokeo ya mechi hizo. Jiunge na Bongo5.com sasa Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook, Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Bongo5!

 

9 years ago

MillardAyo

Yanga waendeleza ubabe wao dhidi ya Mbeya City, cheki pichaz na matokeo ya mechi za Ligi Kuu TZ Dec 26

Ligi Kuu soka Tanzania imeendelea uwanja wa Taifa Dar Es Salaam kwa Mabingwa watetezi wa Ligi hiyo Dar Es Salaam Young Africans kuwakaribisha wagonga nyundo wa jiji la Mbeya klabu ya Mbeya City. Huu ni mchezo wa 13 kwa klabu ya Yanga ambao ndio wapo kileleni mwa msimamo wa Ligi. Yanga ambao ndio wanatajwa kuwa […]

The post Yanga waendeleza ubabe wao dhidi ya Mbeya City, cheki pichaz na matokeo ya mechi za Ligi Kuu TZ Dec 26 appeared first on TZA_MillardAyo.

 

9 years ago

Bongo5

Hii ndio droo ya 16 bora UEFA Champions League, Arsenal uso kwa uso na Barcelona

2F5D041600000578-0-image-a-18_1450092229713

Hii ndio ratiba ya mechi za raundi ya 16 bora katika ligi ya mabingwa barani Ulaya (UEFA champions League) iliyopatikana baada ya droo iliyokuwa ikichezeshwa kukamilika.

uefa-768x533

Droo hiyo ilifanyika mjini Nyon, Uswisi. Hii itakuwa mara ya tatu kwa Chelsea kukutana na PSG katika michuano ya UEFA.

Arsenal ya Uingereza imepangwa na Barcelona ya Uhispania, ambao ndio mabingwa watetezi.

Mechi hiyo itakuwa kama marudio ya fainali ya 2006, ambayo mabingwa hao wa Uhispania walishinda 2-1 kupitia mabao...

 

9 years ago

Michuzi

MECHI ZA UEFA USIKU HU

Hii ni ratiba ya mechi za Jumanne ya September 29Mechi hizi zote zitachezwa saa 21:45 kwa saa za Afrika MasharikiHii ni ratiba ya mechi za Jumatano ya September 30

 

10 years ago

BBCSwahili

UEFA:Hatutambui mechi za Crimea

Shirikisho la soka barani ulaya UEFA limesema halitatambua matokeo yoyote ya mechi itakayochezwa na kilabu ya kandanda ya Crimea

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani