Arsenal yaingia 16 bora, matokeo ya mechi za UEFA Dec 9
Michezo ya hatua ya Makundi ya Ligi ya Mabingwa barani Ulaya iliendelea tena usiku wa December 9 kwa mechi nane baada ya makundi ya E, F, G na H, michezo hiyo ilichezwa wakati timu 10 kati ya 32 zikiwa zimeshajihakikishia nafasi ya kwenda hatua ya 16 bora hivyo nafasi 6 pekee ndio zilikuwa zinawaniwa.
Klabu ya Arsenal ambayo ilikuwa nafasi ya tatu katika msimamo wa Kundi F, nafasi yake ya kuendelea hatua ya 16 bora ilikuwa mikononi mwake yenyewe, ilifanikiwa kuifunga Olympiakos ya Ugiriki...
Bongo5
Habari Zinazoendana
9 years ago
Bongo525 Nov
Matokeo ya mechi za Uefa Champions League
![mtt](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/11/mtt-300x194.jpg)
Michuano ya vilabu bingwa barani Ulaya iliendelea jana November 24 usiku kwa michezo nane ya hatua ya makundi kupigwa kwenye viwanja mbalimbali barani Ulaya ambapo michezo hiyo ilikuwa kutoka kundi E, F, G pamoja na H.
9 years ago
Bongo501 Oct
Haya ni matokeo ya mechi za UEFA Champions League
9 years ago
Bongo526 Nov
Matokeo ya mechi za UEFA champions league November 25
![2ED0190300000578-3334161-image-a-15_1448489796212](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/11/2ED0190300000578-3334161-image-a-15_1448489796212-300x194.jpg)
Michuano ya klabu bingwa Ulaya hatua ya makundi iliendelea tena usiku wa Jumatano November 25, 2015 kwenye viwanja mbali mbali ikizikutanisha timu za kundi A, B, C na D. Michezo hiyo ilimalizika kwa matokeo tofauti tofauti,
9 years ago
Bongo530 Sep
Haya ni matokeo ya mechi za UEFA zilizochezwa Jumanne hii
9 years ago
MillardAyo26 Dec
Yanga waendeleza ubabe wao dhidi ya Mbeya City, cheki pichaz na matokeo ya mechi za Ligi Kuu TZ Dec 26
Ligi Kuu soka Tanzania imeendelea uwanja wa Taifa Dar Es Salaam kwa Mabingwa watetezi wa Ligi hiyo Dar Es Salaam Young Africans kuwakaribisha wagonga nyundo wa jiji la Mbeya klabu ya Mbeya City. Huu ni mchezo wa 13 kwa klabu ya Yanga ambao ndio wapo kileleni mwa msimamo wa Ligi. Yanga ambao ndio wanatajwa kuwa […]
The post Yanga waendeleza ubabe wao dhidi ya Mbeya City, cheki pichaz na matokeo ya mechi za Ligi Kuu TZ Dec 26 appeared first on TZA_MillardAyo.
9 years ago
Bongo514 Dec
Hii ndio droo ya 16 bora UEFA Champions League, Arsenal uso kwa uso na Barcelona
![2F5D041600000578-0-image-a-18_1450092229713](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/12/2F5D041600000578-0-image-a-18_1450092229713-300x194.jpg)
Hii ndio ratiba ya mechi za raundi ya 16 bora katika ligi ya mabingwa barani Ulaya (UEFA champions League) iliyopatikana baada ya droo iliyokuwa ikichezeshwa kukamilika.
Droo hiyo ilifanyika mjini Nyon, Uswisi. Hii itakuwa mara ya tatu kwa Chelsea kukutana na PSG katika michuano ya UEFA.
Arsenal ya Uingereza imepangwa na Barcelona ya Uhispania, ambao ndio mabingwa watetezi.
Mechi hiyo itakuwa kama marudio ya fainali ya 2006, ambayo mabingwa hao wa Uhispania walishinda 2-1 kupitia mabao...
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-L0mE923_GRo/VgpFQcTo2gI/AAAAAAAH7ro/qDjxCGgCPFQ/s72-c/unnamed%2B%25281%2529.jpg)
MECHI ZA UEFA USIKU HU
![](http://2.bp.blogspot.com/-L0mE923_GRo/VgpFQcTo2gI/AAAAAAAH7ro/qDjxCGgCPFQ/s640/unnamed%2B%25281%2529.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-r7mHU_aNmyA/VgpFQaNk2fI/AAAAAAAH7rs/7wH09Xh9Pxg/s640/unnamed.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-K4-qUiz-pgo/VgpFQXdx-CI/AAAAAAAH7rw/UJy_sPiXIAI/s640/unnamed%2B%25282%2529.jpg)
10 years ago
BBCSwahili23 Aug
UEFA:Hatutambui mechi za Crimea