Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Hali ya Schumacher yaimarika

Madaktari wa bingwa wa zamani wa mbio za magari ya langa langa, Michael Schumacher, wamesema hali yake imeimarika kiasi

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Hali ya Fernando Alonso yaimarika

Hali ya Dereva wa magari yaendayo kasi ya Fomula 1 Fernando Alonso imeimarika

 

10 years ago

Habarileo

Hali ya Rais Kikwete yaimarika

Rais Jakaya Kikwete akizungumza na Balozi wa Tanzania nchini Marekani, Liberata Mulamula aliyekwenda kumjulia hali katika Hospitali ya John Hopkins iliyopo Baltimore, Maryland, nchini Marekani jana, siku moja baada ya kufanyiwa upasuaji wa tezi dume. Hali ya Rais ni nzuri na ameanza mazoezi ya kutembea. (Picha na Ikulu).HALI ya Rais Jakaya Kikwete ambaye mwishoni mwa wiki alifanyiwa operesheni ya tezi dume, inaendelea kuimarika na ameanza kufanya mazoezi ya kutembea.

 

11 years ago

BBCSwahili

Wakala: Hali ya Shumacher yaimarika

Michael Schumacher aanza kupata fahamu baada ya kutojitambua kwa muda mrefu hospitalini

 

11 years ago

Mtanzania

Hali ya Rage yaimarika Aga Khan

Ismail Aden Rage

Ismail Aden Rage

NA MWALI IBRAHIM, DAR ES SALAAM

HALI ya aliyekuwa Mwenyekiti wa klabu ya Simba, Ismail Aden Rage, imezidi kuimarika ambapo kwa sasa amelazwa katika Hospitali ya Aga Khan, Dar es Salaam.

Rage alipata ajali juzi mkoani Dodoma, akiwa pamoja na majeruhi wenzake wanne walilazwa katika hospitali ya mkoa huo kabla ya kuhamishiwa Aga Khan.

Akizungumza Dar es Salaam jana akiwa hospitalini hapo, Rage alisema anaendelea vizuri ambapo kwa mujibu wa daktari alisema itamchukua wiki tatu...

 

10 years ago

BBCSwahili

Schumacher atoka hospitali

Bingwa wa zamani wa Formula 1 Michael Schumacher ameruhusiwa kutoka hospitali

 

11 years ago

BBCSwahili

Michael Schumacher kuanza 'kuamshwa'

Madaktari wanaomtibu mwendeshaji mashuhuri wa magari ya langalanga mjerumani Michael Schumacher wameanza kumrejeshea fahamu.

 

11 years ago

BBCSwahili

Michael Schumacher apata fahamu

Michael Schumacher alitoka hospitalini Grenoble na ataendelea kuishi kwa hali yake ya kawaida

 

11 years ago

BBCSwahili

Onyo latolewa, afya ya Schumacher

Onyo limetolewa kuhusu taarifa zinazotolewa na watu wasiohusika juu ya afya ya Michael Schumacher

 

11 years ago

BBCSwahili

Michael Schumacher 'aonyesha dalili nzuri'

Bingwa wa zamani wa Fomula 1 Michael Schumacher, amekuwa akionyesha dalili nzuri baada ya madaktari kuanza 'kumuamsha'

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani