Hali ya Schumacher yaimarika
Madaktari wa bingwa wa zamani wa mbio za magari ya langa langa, Michael Schumacher, wamesema hali yake imeimarika kiasi
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
BBCSwahili24 Feb
Hali ya Fernando Alonso yaimarika
10 years ago
Habarileo11 Nov
Hali ya Rais Kikwete yaimarika
HALI ya Rais Jakaya Kikwete ambaye mwishoni mwa wiki alifanyiwa operesheni ya tezi dume, inaendelea kuimarika na ameanza kufanya mazoezi ya kutembea.
11 years ago
BBCSwahili04 Apr
Wakala: Hali ya Shumacher yaimarika
11 years ago
Mtanzania06 Aug
Hali ya Rage yaimarika Aga Khan
![Ismail Aden Rage](http://mtanzania.co.tz/wp-content/uploads/2014/06/Mwenyekiti-wa-Simba.jpg)
Ismail Aden Rage
NA MWALI IBRAHIM, DAR ES SALAAM
HALI ya aliyekuwa Mwenyekiti wa klabu ya Simba, Ismail Aden Rage, imezidi kuimarika ambapo kwa sasa amelazwa katika Hospitali ya Aga Khan, Dar es Salaam.
Rage alipata ajali juzi mkoani Dodoma, akiwa pamoja na majeruhi wenzake wanne walilazwa katika hospitali ya mkoa huo kabla ya kuhamishiwa Aga Khan.
Akizungumza Dar es Salaam jana akiwa hospitalini hapo, Rage alisema anaendelea vizuri ambapo kwa mujibu wa daktari alisema itamchukua wiki tatu...
10 years ago
BBCSwahili10 Sep
Schumacher atoka hospitali
11 years ago
BBCSwahili30 Jan
Michael Schumacher kuanza 'kuamshwa'
11 years ago
BBCSwahili16 Jun
Michael Schumacher apata fahamu
11 years ago
BBCSwahili06 Jan
Onyo latolewa, afya ya Schumacher
11 years ago
BBCSwahili12 Mar
Michael Schumacher 'aonyesha dalili nzuri'