Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Onyo latolewa, afya ya Schumacher

Onyo limetolewa kuhusu taarifa zinazotolewa na watu wasiohusika juu ya afya ya Michael Schumacher

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Michuzi

KABLA YA KUANZA KWA MTANANGE WA WATANI WA JADI SIMBA NA YANGA-SOMO LATOLEWA KUHUSU MALARIA NO MORE

 Wasanii mahiri wanaounda kundi la THT wakiimba wimbo wa Malaria No More  kabla ya mechi kuanza ya watani wa jadi Simba na Yanga.Wakati Vodacom Tanzania  kushirikiana na Taasisi ya Malaria No More na THTwalipokuwa wakitangaza namba maalumu ambayo wateja wanaotumia huduma za kampuni hiyo wanaweza kuitumia kupata taarifa zinazohusiana na ugonjwa wa malaria. Ili mteja kuweza kupata taarifa hizo zinazohusisha jinsi ya kujikinga, tiba na masuala mengine mbalimbali ya Malaria anachopaswa mteja...

 

10 years ago

BBCSwahili

Schumacher atoka hospitali

Bingwa wa zamani wa Formula 1 Michael Schumacher ameruhusiwa kutoka hospitali

 

11 years ago

BBCSwahili

Hali ya Schumacher yaimarika

Madaktari wa bingwa wa zamani wa mbio za magari ya langa langa, Michael Schumacher, wamesema hali yake imeimarika kiasi

 

11 years ago

BBCSwahili

Michael Schumacher kuanza 'kuamshwa'

Madaktari wanaomtibu mwendeshaji mashuhuri wa magari ya langalanga mjerumani Michael Schumacher wameanza kumrejeshea fahamu.

 

11 years ago

BBCSwahili

Michael Schumacher apata fahamu

Michael Schumacher alitoka hospitalini Grenoble na ataendelea kuishi kwa hali yake ya kawaida

 

11 years ago

BBCSwahili

Michael Schumacher 'aonyesha dalili nzuri'

Bingwa wa zamani wa Fomula 1 Michael Schumacher, amekuwa akionyesha dalili nzuri baada ya madaktari kuanza 'kumuamsha'

 

11 years ago

GPL

MICHAEL SCHUMACHER BADO YUPO KWENYE COMA

Michael Schumacher akicheza katika barafu. Schumacher mmoja wa wanamichezo wanaopendwa sana Ujerumani. BINGWA mara saba wa zamani wa mbio za magari za Formula One, Michael Schumacher bado yuko mahututi akiwa kwenye ‘coma’ katika hospitali ya Chuo cha Grenoble, Ufaransa baada ya kuanguka na kujigonga kwenye mwamba wakati akicheza michezo ya kwenye barafu jana pamoja na mwanaye wa kiume.… ...

 

11 years ago

GPL

MASHABIKI WAMPONGEZA SCHUMACHER HOSPITALINI BETHIDEI YAKE YA MIAKA 45

Michael Schumacher. MASHABIKI wa Michael Schumacher leo walimtumia salamu za kuadhimisha kutimiza mwaka wa 45 tangu kuzaliwa kwake wakati akiwa amelazwa hospitalini kutokana na kujeruhiwa vibaya kichwani wakati alipokuwa akishiriki mchezo wa kuteleza kwenye barafu maeneo ya Alps nchini Ufaransa. Schumacher ambaye ni mshindi wa mara kadhaa wa mbio za kuendesha magari  za Formula One (F1) hivi sasa anapata matibabu akiwa...

 

10 years ago

Vijimambo

Mawaziri wa Afya wa Zanzibar na wa Afya wa Jamuhuri ya Muungano wakutana na waTanzania Ujerumani

Waziri wa afya na ustawi wa jamii wa Jamuhuri ya muungano Mhe.Bw.Seif Rashid na waziri wa afya wa Zanzibar Mhe. Rashid Seif Suleiman, Siku ya jumapili 25 januari 2015 walikutana na kuongea na baadhi ya watanzania waishio nchini ujerumani katika hoteli ya Martim Hotel mjini Berlin,mawaziri hao kwa pamoja waliongozana na balozi Tanzania nchini Ujerumani mheshimiwa Bw.Philip Malmo,katika mkutano huo mawaziri hao wote walielezea jinsi wizara zao zinavyofanya kazi kuhakikisha kuwa huduma za afya...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani