MICHAEL SCHUMACHER BADO YUPO KWENYE COMA

Michael Schumacher akicheza katika barafu. Schumacher mmoja wa wanamichezo wanaopendwa sana Ujerumani. BINGWA mara saba wa zamani wa mbio za magari za Formula One, Michael Schumacher bado yuko mahututi akiwa kwenye ‘coma’ katika hospitali ya Chuo cha Grenoble, Ufaransa baada ya kuanguka na kujigonga kwenye mwamba wakati akicheza michezo ya kwenye barafu jana pamoja na mwanaye wa kiume.… ...
GPL
Habari Zinazoendana
11 years ago
BBCSwahili16 Jun
Michael Schumacher apata fahamu
11 years ago
BBCSwahili30 Jan
Michael Schumacher kuanza 'kuamshwa'
11 years ago
BBCSwahili12 Mar
Michael Schumacher 'aonyesha dalili nzuri'
11 years ago
GPL
NISHA BADO YUPO YUPO SANA
11 years ago
BBCSwahili23 Oct
Ajidai kuwa kwenye 'Coma' kwa miaka 2
10 years ago
BBCSwahili17 Apr
Hussein Machozi asema bado yupo hai
9 years ago
Bongo508 Dec
Bado yupo na Weusi? Lord Eyez ausema ukweli

Kwa muda mrefu kumekuwepo na sintofahamu iwapo rapper Lord Eyez bado ni member wa kundi la Weusi.
Wao wenyewe Weusi walidai kuwa Lord Eyez haonekani akifanya juhudi za kuachia ngoma yoyote wala kushirikiana na wenzake.
Hata hivyo Lord Eyez amesema bado yupo fresh na kundi hilo na anatarajia kuachia ngoma mbili, ‘Hardcore’ na ‘Shida Mpya’ alizomshirikisha member wa kundi hilo G -Nako.
Amekiambia kipindi cha Planet Bongo cha EATV kuwa sasa amejipanga vizuri kwaajili ya kufanya...
10 years ago
Bongo502 Feb
Mtoto wa Whitney Houston, Bobbi Kristina bado yupo mahututi, ni baada ya kukutwa bafuni hapumui
5 years ago
CCM Blog
GARI LATUMBUKIA MTO WAMI, DEREVA BADO YUPO CHINI YA MAJI. MTO UNA VIBOKO NA MAMBA (+ VIDEO)
