Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


NISHA BADO YUPO YUPO SANA

Stori: Chande Abdallah Staa mkubwa wa Bongo Movies, Salma Jabu ‘Nisha’ ameweka wazi kwamba bado yupoyupo sana linapokuja suala la kuolewa. Staa mkubwa wa Bongo Movies, Salma Jabu ‘Nisha’. Akizungumza na mwanahabari wetu, mwigizaji huyo alisema kuwa anatambua kuwa yeye kama mwanamke aliyetimia lazima atakuja. kuolewa siku moja, lakini siyo hivi karibuni.
“Natambua mwanamke aliyetimia lazima...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

GPL

MICHAEL SCHUMACHER BADO YUPO KWENYE COMA

Michael Schumacher akicheza katika barafu. Schumacher mmoja wa wanamichezo wanaopendwa sana Ujerumani. BINGWA mara saba wa zamani wa mbio za magari za Formula One, Michael Schumacher bado yuko mahututi akiwa kwenye ‘coma’ katika hospitali ya Chuo cha Grenoble, Ufaransa baada ya kuanguka na kujigonga kwenye mwamba wakati akicheza michezo ya kwenye barafu jana pamoja na mwanaye wa kiume.… ...

 

10 years ago

BBCSwahili

Hussein Machozi asema bado yupo hai

Mwimbaji wa wimbo ''Kafia Ghetto'' na 'Jela' Hussein machozi ameshtumu uvumi unaondelea kwamba amefariki baada ya ajali ya barabarani

 

9 years ago

Bongo5

Bado yupo na Weusi? Lord Eyez ausema ukweli

WEUSI_full

Kwa muda mrefu kumekuwepo na sintofahamu iwapo rapper Lord Eyez bado ni member wa kundi la Weusi.

WEUSI_full

Wao wenyewe Weusi walidai kuwa Lord Eyez haonekani akifanya juhudi za kuachia ngoma yoyote wala kushirikiana na wenzake.

Hata hivyo Lord Eyez amesema bado yupo fresh na kundi hilo na anatarajia kuachia ngoma mbili, ‘Hardcore’ na ‘Shida Mpya’ alizomshirikisha member wa kundi hilo G -Nako.

Amekiambia kipindi cha Planet Bongo cha EATV kuwa sasa amejipanga vizuri kwaajili ya kufanya...

 

10 years ago

Bongo5

Mtoto wa Whitney Houston, Bobbi Kristina bado yupo mahututi, ni baada ya kukutwa bafuni hapumui

Mtoto wa kike wa marehemu, Whitney Houston, Bobbi Kristina yupo mahututi na ubongo wake umedaiwa kushindwa kufanya kazi. Madaktari wamedai kuwa hiyo si dalili nzuri. Msichana huyo mwenye umri wa miaka 21 alikutwa bafuni kwenye ‘bathtub’ uso wake ukiwa kwenye maji Jumamosi iliyopita na alikuwa hapumui. Alizinduka na kupelekwa hospitali ambako amelazwa kwenye wodi ya […]

 

5 years ago

CCM Blog

GARI LATUMBUKIA MTO WAMI, DEREVA BADO YUPO CHINI YA MAJI. MTO UNA VIBOKO NA MAMBA (+ VIDEO)


Kutoka Daraja la Wami, zimetokea ajali mbili tofauti ambazo hazijapishana sana, moja ni ya Lori ambalo lilifeli breki na kutumbukia Mtoni na bado halijatolewa huku ikiaminika kuwa Dereva bado yupo ndani ya Lori hilo chini ya maji tangu Ijumaa June 05, 2020 ajali ilipotokea, wenzake wawili tayari wameokolewa .Wakati Watu wakiwa wamejaa kushuhudia ajali hiyo ghafla Lori jingine pia likafeli breki na kuua Watu wawili (Mama na Mtoto) kisha kuyazoa magari zaidi ya sita ambayo yote yameharibika...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Nani yupo nyuma ya UDA?

WIKI iliyopita serikali ilitoa tamko bungeni kuwa hisa za Shirika la Usafiri Dar es Salaam (UDA), hazijauzwa popote na bado ni mali yake hadi sasa ingawa Kampuni ya Simon Group,...

 

11 years ago

Habarileo

'Mtoto wa boksi' yupo Muhimbili

MTOTO mwenye umri wa miaka minne aliyefungiwa ndani ya boksi kwa zaidi na miaka mitatu mkoani Morogoro, amehamishiwa katika Hos- pitali ya Taifa Muhimbili (MNH) kwa ajili ya uchunguzi na tiba zaidi huku wataalamu wakikuna vichwa namna ya kumrudishia afya yake.

 

10 years ago

Bongo5

Ginuwine yupo mbioni kutangaza kufilisika

Mmoja kati ya wasanii waliofanya vizuri kwenye muziki wa R&B mwishoni mwaka miaka ya 1990s mpaka mwanzoni mwa 2000, Genuwine anakaribia kufilisika, kwa mujibu wa mwanasheria wake, aliyetoa kauli juu ya kesi ya madai inayomkabili Ginuwine iliyofunguliwa na Robert Reives, aliyekuwa executive producer album yake iliyotamba, The Bachelor. Inaonesha kuwa Ginuwine, ambaye jina lake halisi […]

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani