Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Hussein Machozi asema bado yupo hai

Mwimbaji wa wimbo ''Kafia Ghetto'' na 'Jela' Hussein machozi ameshtumu uvumi unaondelea kwamba amefariki baada ya ajali ya barabarani

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

CloudsFM

Baada ya kuzushiwa kifo,Hussein Machozi asema ameamini thamani ya msanii huonekana akishafariki dunia.

Msanii wa Bongo Fleva,Hussein Machozi amefunguka na kusikitishwa na habari zilizoenea kuwa amefariki dunia baada ya kupata ajali ya gari mkoani Dodoma.

Alisema kuwa tangu habari hizo kuenea siku ya jana amekuwa akipigiwa sana simu na watu tofautitofauti wakimuuliza kama mzima wa afya. ‘’Jana nilikuwa nimezima simu kwa muda mrefu nilikuwa nimeenda mazoezini baada ya kurudi nilipowasha tu simu ziliingia kama mvua kilichonishangaza wengi walikuwa wakipiga wakisikia sauti yangu wanakata...

 

9 years ago

Bongo5

Hussein Machozi asema ameng’atuka kwenye muziki kukwepa vishawishi vya kutumia dawa za kulevya

machozi-2

Hussein Machozi ambaye hapo jana ametangaza kuachana na muziki amesema kuwa kuna wasanii wengi ambao hujiingiza kwenye matumizi ya dawa za kulevya kutoka na stress.

machozi-2

Stress anazozizungumzia Hussein ni pamoja na kushindwa kufanya vizuri kwenye muziki kama ilivyomtokea yeye, na pia maneno ya watu wanaowasema vibaya wasanii wanaoamua kuachana na muziki kuwa wamefulia.

“Ngoja leo niwaeleze jambo watanzania unajua kuambiwa umefulia inaumiza sana, hivyo kuna kundi kubwa la wasanii wameingia katika...

 

11 years ago

GPL

NISHA BADO YUPO YUPO SANA

Stori: Chande Abdallah Staa mkubwa wa Bongo Movies, Salma Jabu ‘Nisha’ ameweka wazi kwamba bado yupoyupo sana linapokuja suala la kuolewa. Staa mkubwa wa Bongo Movies, Salma Jabu ‘Nisha’. Akizungumza na mwanahabari wetu, mwigizaji huyo alisema kuwa anatambua kuwa yeye kama mwanamke aliyetimia lazima atakuja. kuolewa siku moja, lakini siyo hivi karibuni.
“Natambua mwanamke aliyetimia lazima...

 

10 years ago

Vijimambo

9 years ago

Bongo5

Video: Hussein Machozi — Msinitimue

Hii ni video mpya ya wimbo wa HUSSEIN MACHOZI unaitwa “Msinitimue”..wimbo huu unazungumzia MIRATHI ..HUSSEIN MACHOZI ameamua kuvaa uhusika katika wimbo huu kama mtu aliechaguliwa kusoma husia ulio andikwa na marehemu,,HUSSEIN MACHOZI alitimuliwa na wahusika ambao waliokua wakitaka kudhulumu MALI ambazo zinawahusu familia ya marehemu Jiunge na Bongo5.com sasa Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook, Twitter […]

 

10 years ago

GPL

HUSSEIN MACHOZI ANASWA NA MCHEPUKO WA KIZUNGU


Na Musa Mateja
Baada ya mwanamuziki Hussein Machozi kudaiwa kumtelekeza mkewe aliyemuoa nchini Kenya, hivi karibuni picha yake imenaswa akiwa kimahaba na mchepuko wa Kizungu. Mwanamuziki Hussein Machozi akiwa kimahaba na mchepuko wa Kizungu. Picha hiyo inamuonesha Hussein akiwa kifua wazi huku mwanamke huyo akimchezea kifua sambamba na kumng’atang’ata shingoni na Ijumaa liliipata kupitia kwa rafiki wa msanii...

 

9 years ago

Bongo5

Hussein Machozi atangaza kuacha muziki!

hussein_machozi

Hussein Machozi ametangaza uamuzi wake wa kuacha kufanya muziki kutokana na kuona kwamba hakuna faida yoyote anayoipata kupitia muziki kwa muda mrefu .

hussein

Machozi ambaye jina lake halisi ni Hussein Rashid ni msanii wa Bongo fleva wa muda mrefu ambaye amewahi kutengeneza hits kadhaa ikiwemo ‘Kwaajili Yako, ‘Utaipenda’, Full Shangwe, na zingine.

Hussein ametangaza uamuzi huo kupitia Planet Bongo ya East Africa radio.

“Kubwa ambalo nataka niwasimulie Watanzania ambalo ninalo leo hii kwamba very...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani