Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


HUSSEIN MACHOZI ANASWA NA MCHEPUKO WA KIZUNGU


Na Musa Mateja
Baada ya mwanamuziki Hussein Machozi kudaiwa kumtelekeza mkewe aliyemuoa nchini Kenya, hivi karibuni picha yake imenaswa akiwa kimahaba na mchepuko wa Kizungu. Mwanamuziki Hussein Machozi akiwa kimahaba na mchepuko wa Kizungu. Picha hiyo inamuonesha Hussein akiwa kifua wazi huku mwanamke huyo akimchezea kifua sambamba na kumng’atang’ata shingoni na Ijumaa liliipata kupitia kwa rafiki wa msanii...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

GPL

AMANDA ANASWA NA KIJEBA CHA KIZUNGU

Stori: Gladness Mallya MSANII nyota wa filamu Tanzania, Tamrina Poshi maarufu kama Amanda, amenaswa katika picha akiwa na mzungu anayeonekana kumzidi umri ambaye unaweza kumwita kijeba aliyemtambulisha kama rafiki yake. Msanii nyota wa filamu Tanzania, Tamrina Poshi maarufu kama Amanda akiwa na mzungu. Habari kutoka chanzo cha kuaminika zinasema, picha hizo ziliibwa katika simu ya msanii huyo na mtu asiyefahamika, ambaye kwa...

 

10 years ago

Vijimambo

9 years ago

Bongo5

Video: Hussein Machozi — Msinitimue

Hii ni video mpya ya wimbo wa HUSSEIN MACHOZI unaitwa “Msinitimue”..wimbo huu unazungumzia MIRATHI ..HUSSEIN MACHOZI ameamua kuvaa uhusika katika wimbo huu kama mtu aliechaguliwa kusoma husia ulio andikwa na marehemu,,HUSSEIN MACHOZI alitimuliwa na wahusika ambao waliokua wakitaka kudhulumu MALI ambazo zinawahusu familia ya marehemu Jiunge na Bongo5.com sasa Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook, Twitter […]

 

9 years ago

Bongo5

Hussein Machozi atangaza kuacha muziki!

hussein_machozi

Hussein Machozi ametangaza uamuzi wake wa kuacha kufanya muziki kutokana na kuona kwamba hakuna faida yoyote anayoipata kupitia muziki kwa muda mrefu .

hussein

Machozi ambaye jina lake halisi ni Hussein Rashid ni msanii wa Bongo fleva wa muda mrefu ambaye amewahi kutengeneza hits kadhaa ikiwemo ‘Kwaajili Yako, ‘Utaipenda’, Full Shangwe, na zingine.

Hussein ametangaza uamuzi huo kupitia Planet Bongo ya East Africa radio.

“Kubwa ambalo nataka niwasimulie Watanzania ambalo ninalo leo hii kwamba very...

 

10 years ago

Africanjam.Com

10 years ago

GPL

KABLA YA KUVISHWA PETE, ISABELLA ANASWA NA MCHEPUKO

Issa mnally
AMA kweli duniani kuna mambo! Mdada anayehangaika kutafuta jina katika tasnia ya muziki wa Kibongo, Isabella Mpanda ‘Bella’ aliitia doa sherehe yake ya kuvishwa pete ya uchumba baada ya kunaswa akidendeka na mchepuko dakika chache kabla ya tukio hilo muhimu. Mbongo Fleva Masoud Karama ‘Luteni Kalama’ akimvisha pete mpenzi wake wa kitambo, Isabella Mpanda ‘Bella’. Msanii...

 

10 years ago

BBCSwahili

Hussein Machozi asema bado yupo hai

Mwimbaji wa wimbo ''Kafia Ghetto'' na 'Jela' Hussein machozi ameshtumu uvumi unaondelea kwamba amefariki baada ya ajali ya barabarani

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani