Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


GARI LATUMBUKIA MTO WAMI, DEREVA BADO YUPO CHINI YA MAJI. MTO UNA VIBOKO NA MAMBA (+ VIDEO)


Kutoka Daraja la Wami, zimetokea ajali mbili tofauti ambazo hazijapishana sana, moja ni ya Lori ambalo lilifeli breki na kutumbukia Mtoni na bado halijatolewa huku ikiaminika kuwa Dereva bado yupo ndani ya Lori hilo chini ya maji tangu Ijumaa June 05, 2020 ajali ilipotokea, wenzake wawili tayari wameokolewa .Wakati Watu wakiwa wamejaa kushuhudia ajali hiyo ghafla Lori jingine pia likafeli breki na kuua Watu wawili (Mama na Mtoto) kisha kuyazoa magari zaidi ya sita ambayo yote yameharibika...

CCM Blog

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

Michuzi

WIMBI LA TEMBO LAVAMIA MAENEO YA KATA YA KIWANGWA, KANDO YA MTO WAMI-MALOTA

 NA MWAMVUA MWINYI, CHALINZE
WIMBI la wanyama aina ya tembo ,limevamia baadhi ya maeneo yaliyopo kando ya mto Wami ,kata ya Kiwangwa ,Chalinze wilaya ya Bagamoyo,mkoani Pwani hali inayosababisha uharibifu wa mazao na hasara kubwa kwa wakulima wa maeneo hayo.
Hii ni mara ya tano kutokea kwa wimbi la wanyama tembo ambapo kila mwaka wamekuwa wakijitokeza wakitokea mbuga ya wanyama ya Saadan na kupitia kando ya mto Wami na kuingia kwenye maeneo ya wananchi.
Diwani wa kata ya Kiwangwa Malota Kwaga...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Mamba amuua mvuvi Mto Lwika

MASALIA ya mwili wa Charles Mkoma (37), mwanakijiji wa Liuli, wilayani Nyasa, Ruvuma yamekutwa kandokando ya Mto Lwika. Mkoma, aliuawa baada ya kukamatwa na mamba wakati alipokwenda kuvua samaki kwenye...

 

10 years ago

Michuzi

MUWSA YASAMBAZA BOMBA ZA MAJI MRADI MKUBWA WA MAJI MTO KARANGA

Na Dixon Busagaga wa Globu ya Jamii Kanda ya kaskazini.
TATIZO la upungufu wa maji katika Manispaa ya Moshi linaelekea kuwa historia ifikapo mwezi Desemba mwaka huu kufuatia kukamilika kwa utekelezaji wa  mradi mkubwa wa maji uliopo katika chemchem ya Mto Karanga ambao umegharimu kiasi cha shilingi milioni 382.
Mkurugenzi wa Mamlaka ya Maji safi na Usafi wa Mazingira ( MUWSA), Mhandisi Cyprian Luhemeja amefafanua kuwa, mradi huo utakapokamilika utahudumia maeneo ya Bomambuzi, Pasua ,...

 

10 years ago

GPL

MUWSA YASAMBAZA BOMBA LA MAJI KATIKA MRADI MKUBWA WA MAJI MTO KARANGA

Mkurugenzi wa Mamlaka ya Maji safi na Usafi wa Mazingira mjini Moshi,MUWSA ,Mhandisi Cyprian Luhemeja akiwaonyesha wanahabari chanzo cha maji kilichopo Mto Karanga .…

 

11 years ago

Tanzania Daima

Mtoto afa maji Mto Kizinga

MTOTO Khamis Sungura (11) mkazi wa Mbagala Kiburugwa jijini Dar es Salam amefariki dunia juzi baada ya kuzolewa na maji yaliyokuwa yakitiririka kuelekea Mto Kizinga kutokana na mvua zilizokuwa zikinyesha....

 

11 years ago

Habarileo

NEMC yasema maji ya Mto Ngerengere si salama

BARAZA la Taifa la Usimamizi na Hifadhi ya Mazingira (NEMC) limesema vipimo vya maji machafu yanayotoka katika viwanda vilivyopo eneo la Kihonda Manispaa ya Morogoro na kuelekezwa Mto Ngerengere, yamekuwa na kemikali zenye sumu ambayo ni hatari kwa maisha ya viumbe hai wanaotumia maji hayo.

 

9 years ago

StarTV

Uharibifu Vyanzo Vya Maji Mto Zigi vya waweza kusababisha tatizo la maji Tanga

Mamlaka ya majisafi na majitaka Tanga UWASA imesema uharibifu wa mazingira katika vyanzo vya maji vya mto Zigi unaweza kusababisha jiji hilo kuingia kwenye tatizo la maji.

Tayari Mamlaka hiyo imeanzisha Umoja wa Wakulima hifadhi Mazingira Kihuwhi Zigi, UWAMAKIZI kama harakati ya kukabiliana na uchimbaji wa madini, kilimo na ukataji wa miti kwa ajili ya mbao.

Jiji la Tanga hutegemea maji ya mto zigi kama chanzo pekee cha maji na shughuli za kibinadamu kwenye vyanzo vya mto huo huenda...

 

11 years ago

Habarileo

‘Misri ina haki kupendelewa maji ya Mto Nile’

TANZANIA imesema nchi ya Misri ina haki ya kupata upendeleo wa maji mengi kuliko nchi nyingine tisa za Bonde la Mto Nile kwa kutaka nchi nyingine kujitafakari iwapo ni sahihi kuwa na Mkataba unaoruhusu nchi zote kutumia maji hayo kwa usawa.

 

10 years ago

GPL

JIMBO LA KOROGWE; MTO UMEPITA JIMBONI, MAJI NI SHIDA

Mbunge wa Korogwe Nasir akichangia hoja ya mafuta bungeni. Makala:Mwandishi Wetu,
BAADA ya wiki iliyopita safu hii kutembelea Jimbo la Temeke, wiki hii tupo Jimbo la Korogwe Mjini linaloongozwa na mbunge wa Chama cha Mapinduzi (CCM), Yusuph
Abdallah Nassir. Baadhi ya wapiga kura waliozungumza na safu hii walisema matatizo mengi ya Jimbo la Korogwe yanatokana na usimamizi mbovu wa viongozi wa ngazi za juu. Wapiga kura wa...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani