Mamba amuua mvuvi Mto Lwika
MASALIA ya mwili wa Charles Mkoma (37), mwanakijiji wa Liuli, wilayani Nyasa, Ruvuma yamekutwa kandokando ya Mto Lwika. Mkoma, aliuawa baada ya kukamatwa na mamba wakati alipokwenda kuvua samaki kwenye...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
5 years ago
CCM Blog![](https://img.youtube.com/vi/bBE8eiH8od4/default.jpg)
GARI LATUMBUKIA MTO WAMI, DEREVA BADO YUPO CHINI YA MAJI. MTO UNA VIBOKO NA MAMBA (+ VIDEO)
![](https://millardayo.com/wp-content/uploads/2020/06/james-660x400.jpg)
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-X8OwQup7njw/Xs7LL-OIfWI/AAAAAAABMQc/0s6usAMSJb0lO7P692GUxWBwN71lfMqNQCLcBGAsYHQ/s72-c/99284450_3462504267111567_5372765501862707200_o.jpg)
DC APSON AMJULIA HALI MVUVI ALIYENG'ATWA MKONO NA MAMBA, AAHIDI KUMUANZISHIA BIASHARA, KUSIMAMIA MATIBABU
![](https://1.bp.blogspot.com/-X8OwQup7njw/Xs7LL-OIfWI/AAAAAAABMQc/0s6usAMSJb0lO7P692GUxWBwN71lfMqNQCLcBGAsYHQ/s400/99284450_3462504267111567_5372765501862707200_o.jpg)
Baada ya hapo, DC Apson aliamua kwenda nyumbani kwa majeruhi kutoa pole kwa familia, ndugu, jamaa na marafiki. Pia alijumuika na viongozi wa kijiji na kata ya Kigonigoni.
"Hata hivyo kama Kiongozi Mkuu wa Serikali wilayani Mwanga nimeamua tutasimamia...
10 years ago
Bongo Movies28 Dec
CHALE MVUVI:Baba Haji ni Kiboko-Shamsa Ford
Tukiwa tunaelekea ukingoni mwa mwaka 2014, tegemea kazi nzuri mwaka ujao (2015) kutoka kwa wakali hawa kwenye tasnia ya filamu hapa nchini, hawa sio wengine bali ni waigizaji Shamsa ford na Haji Adam “baba Haji”. Kazi hiyo itakwenda kwajina la Chale Mvuvi ,inayofanyika chini ya kampuni ya Jerusalem Film Company.
Mwigizaji Shamsa Ford, katika kuizungumzia kazi hii, kwa mameno mafupi alisema “hatariii baba haji ni kiboko”
Bado haijatamkwa kazi hii itatoka lini,tuendelee kuisubiri...
9 years ago
StarTV25 Nov
 Afisa Wanyamapori, mvuvi Singida jela miaka 40 Kumiliki Nyara Za Serikali
Afisa Wanyamapori na mvuvi mmoja wa mkoani Singida wamehukumiwa adhabu ya kifungo cha miaka 40 jela kila mmoja baada ya kupatikana na hatia ya kumiliki nyara za Serikali zenye thamani shilingi milioni 4.3.
Hukumu hiyo imetolewa na mahakama ya Wilaya ya Singida dhidi ya washitakiwa Afisa Wanyamapori katika halmashauri ya Wilaya ya Singida Augustino Lori (44) na mvuvi Hamza Mbella (40).
Awali mwendesha mashitaka mwanasheria wa Serikali Neema Mwapiana alidai kuwa washitakiwa kwa pamoja...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/vu2giU6L5Od4W3ligBdVrKzdDI6oD7e20CT2QaGpJ5sF*RNoKQMnMRissUVKAaLHybY7Ax4YWCCa58CNTn6K2gRZx26PL3wj/Picture1.jpg)
MVUVI KATIKA KISIWA CHA YOZU WILAYA YA SENGEREMA AIBUKA NA TOYOTA IST
10 years ago
Bongo Movies03 Feb
Jerusalem Films Kuja na Chale Mvuvi Baada ya Mzee wa Swaga, Hadji Adam, Shamsa Ford na Wakali Wengine wa Zanzibari Ndani!!
Mkurugezi wa kampuni ya utengenezaji wa filamu ya Jerusalem Films, Jacob Stephen ‘JB’ambae pia ni muigizaji na muongozaji wa filamu, amewaeleza mashabiki wake kuwa wakae mkao wa kula kwani baada ya wiki iliyopita kuingiza movie ya Mzee wa Swaga sokoni, sasa hivi wapo katika maandalizi ya kutoa movie nyingine mwezi ujao.
"Asanteni sana wadau wa Jerusalem films kwa kuipokea vyema Mzee wa Swaga. sasa tunajiandaa kuwaletea movie nyingine inaitwa CHARLE MVUVI : Waigizaji:Hadji Adam,Shamsa...
10 years ago
Tanzania Daima22 Oct
Mamba ala mwanafunzi
MWANAFUNZI wa darasa la sita katika Shule ya Msingi Ugalla, Wilaya ya Mlele Mkoa wa Katavi, Yohana Ramadhani (14), ameliwa na Mamba wakati akioga na wenzake katika mto Ugalla. Kwa mujibu wa Diwani...
11 years ago
Mwananchi22 Jun
Jasiri wa kulishana na mamba
10 years ago
Tanzania Daima23 Nov
Wabunge msilie machozi ya Mamba
KITENDO cha Wabunge wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, kuamua kusimama kidete na kuonyesha ushupavu na nguvu za kuikalia kooni serikali kuhusu kashfa ya Escrow kusifanane na machozi ya...