Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Jerusalem Films Kuja na Chale Mvuvi Baada ya Mzee wa Swaga, Hadji Adam, Shamsa Ford na Wakali Wengine wa Zanzibari Ndani!!

Mkurugezi wa kampuni ya utengenezaji wa filamu ya Jerusalem Films, Jacob Stephen ‘JB’ambae pia ni muigizaji na muongozaji wa filamu, amewaeleza mashabiki wake kuwa wakae mkao wa kula kwani baada ya wiki iliyopita kuingiza movie ya Mzee wa Swaga sokoni, sasa hivi wapo katika maandalizi ya kutoa movie nyingine  mwezi ujao.

"Asanteni sana wadau wa Jerusalem films kwa kuipokea vyema Mzee wa Swaga. sasa tunajiandaa kuwaletea movie nyingine inaitwa CHARLE MVUVI : Waigizaji:Hadji Adam,Shamsa...

Bongo Movies

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Bongo Movies

CHALE MVUVI:Baba Haji ni Kiboko-Shamsa Ford

Tukiwa tunaelekea ukingoni mwa mwaka 2014, tegemea kazi nzuri mwaka ujao (2015) kutoka kwa  wakali hawa kwenye tasnia ya filamu  hapa nchini, hawa sio wengine bali ni waigizaji  Shamsa ford na Haji Adam  “baba Haji”. Kazi hiyo itakwenda kwajina la  Chale Mvuvi ,inayofanyika chini ya kampuni ya Jerusalem Film Company.

Mwigizaji Shamsa Ford, katika kuizungumzia kazi hii, kwa mameno mafupi alisema “hatariii baba haji  ni kiboko”

Bado haijatamkwa kazi hii itatoka lini,tuendelee kuisubiri...

 

10 years ago

Bongo Movies

Chozi La Riziki: Shamsa Ford Ndani, Chini ya Jerusalem Film Company

"Kutokana na upendo wake kwangu alithubutu kuniambia kuwa alitamani nizaliwe tumbo moja na yeye ili asiweze kunipoteza katika maisha yake coz tukiishia wapenzi itafika muda tutagombana na tutaachana..But yote yalikuwa ni maneno tu ambayo kila mwanadamu anaweza kutaamka..Siamini kama leo hii nimekua ADUI yake mkubwa.....coming soon hayo maneno utayasikia kwenye bonge la movie CHOZI LA RIZIK".

Shamsa aliandika maneno hayo mtandaoni akiwa ‘lokesheni’ na kuwashukuru Jerusalem Filim Campany...

 

10 years ago

Bongo Movies

‘Mahabusu’ Nyingine Kutoka Jerusalem Films,Wakali Kutoka Norway Ndani

Staa mkonhwe wa bongo movies, Jacob Stephen ambaye  ni mkurugenzi wa kampuni yake inayojihusisha na utengenezaji wa filamu, Jerusalem Films Company amedokeza kuwa filamu inayokwenda kwa jina la MAHABUSU ndiyo kazi mpya inayofuata kuingia sokoni.

JB aliyasema hayo kupitia ukursa wake mtandaoni  ambapo aliweka picha hiyo hapo juu ya kasha la filamu hiyo na kuandika.

Kutoka Jerusalem films hii ndio inakuja.inaitwa MAHABUSU. Washiriki....unaikumbuka Regina unamkumbuka yule dada aliyecheza kama...

 

10 years ago

Bongo Movies

JB: Jerusalem Film Company Inazidi Kupasua Anga, Mzee wa Swaga ya Someka Zambia

"Jerusalem Film Company inazidi kupasua anga....baada ya kumshirikisha msanii mkubwa sana Zambia Cassie Kabwita kwenye sinema ya MZEE WA SWAGA tumepata coverage kwenye gazeti la The Post huko Zambia Cassie akielezea sinema ya Mzee Wa Swaga...Malengo ya Jerusalem ni kujitangaza nje ya nchi tumeanza na Zambia".

"Shukrani kwa Cassie Kabwita na sasa tunajipanga kutusua Zimbabwe!!! Sinema yetu ijayo tutaifanyia Zambia Cassie akiwa mwenyeji wetu na pia tutawaleta wasanii wawili maarufu sana...

 

10 years ago

Bongo Movies

Rammy Kuja na Zakayo Akiwa na Shamsa Ford

Staa wa Bongo Movies, Rammy Galis baada ya kufanya vizuri kupitia filamu yake ya Vocha  anakuja na filamu yake ya Zakayo inayotoka hivi karibuni.

Kwenye filamu hiyo amemshirikisha nyota mwingine wa bongo movie Shamsa Ford,na wengine wengi,filamu hii inauhusu usaliti kwenye mapenzi, hii ni mara ya pili kwa Shamsa Ford na Rammy kufanya kazi pamoja kama utakumbuka wamewai kucheza kwenye filamu ya Chausiku inayosumbua mpaka sasa sokoni.

Wadau na mashabiki kaeni mkao wa kula.

 

9 years ago

Bongo5

Shamsa Ford kuja na kampuni yake ya filamu

Shamsa Ford amesema anatarajia kufungua kampuni yake ya filamu baada ya kumaliza mkataba wake na kampuni ya Jerusalem Films ya Jacob ‘JB’ Stephen. Muigizaji huyo ameiambia Bongo5 jana kuwa kwa sasa anaweza kusimama yeye kama yeye akiwa na kampuni yake ya kuzalisha filamu. “Kwanza kabla sijamaliza mkataba na Jerusalem Films kuna filamu mpya inatoka inaitwa […]

 

10 years ago

Bongo5

Picha: Wastara kuwa mpenzi wa JB ndani ya filamu mpya ‘Mzee wa Swaga’

Jacob Stephan na Wastara Juma wameingia mzigoni kushoot filamu mpya iitwayo ‘Mzee wa Swaga’ ambapo ndani ya filamu hiyo Wastara ni mpenzi wa JB. Wastara akiwa na JB katika filamu mpya ya Mzee wa Swaga Wastara ameiambia Bongo5 kuwa filamu hiyo iliyo chini ya kampuni ya Jerusalem film itahusisha mastaa mbalimbali katika tasnia hiyo. “Tupo […]

 

10 years ago

Bongo Movies

Mzee wa swaga:JB,Cassie Kabwita,Wastara,Wellu Sengo,Thea na Mike Ndani

Tegemea mzigo huu mpya unaokwenda kwajina la  “Mzee wa Swage”kosa la defence...ni goli, Iliyotengenezwa na Shikamoo Mzee na Danija Jerusalem Film.

Wakali  kama, JB,Cassie Kabwita,Wastara,Wellu Sengo,Thea na  Mike wameshiriki kwenye filamu hii ambayo inatarajiwa kutoka hivi karibuni na itasambazwa na kampuni ya Stesps Entertainment.

Hii sio yakukosa madau!!!

 

10 years ago

Bongo Movies

Shamsa Ford ndani ya burundi : Aalikwa kufanya filamu na wasanii wa huko

Mwanadada anayefanya vizuri kwenye filamu nchini Shamsha Ford a.k.a mama Ney wa mitego ameendelea kuiwakilisha vyema tasnia ya filamu nchini baada ya kualikwa nchini Burundi na wasanii wakubwa wa filamu nchini humo kwa ajili ya kufanya filamu pamoja nao.

Shamsa amesema kuwa filamu hiyo itawahusisha wasanii tofauti kutoka Rwanda,Burundi,Uganda Tanzania, na amewaomba watanzania wamuombee heri ili afanye vizuri kwenye filamu hiyo.

Hapo jana mwanadada Shamsa alipata nafasi ya kuongea na...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani